Uchaguzi 2020 Ujue Tundu Lissu unakera, unakera, unakera!

Ccm waliingia na matokeo mfukoni wakizani waliowafungia wasifanye mazoezi hawawezi kucheza na wao lakini 35'' tayari tundu lissu anaongoza 2-0
Lisu ni ugonjwa siyo mgonjwa. Ugonjwa hauugui amayeugua ni binadamu. Mgonjwa utakuwa wewe na unamuugua Lissu. Kupona kwako ni kumpigia Lissu kura.
 
Maskini akipata matako hulia Mbwiiii...hulia mbwata...!!!hulia mbwitu..
 
Katika historia ya nchi hii,haijawahi tokea Spika mjinga kama huyu.

Kiufupi wabunge wote wanaotokana na ccm wenye kuelewa nini maana MBUNGE ni asilimia 5/% tu.

Awamu hii nchi ilikosa Binge mahili.viva BASHE.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mnamjaza leo baada ya uchaguzi hamtaamini kitakachotokea..mim kama mtumishi wa serikali siko tayari kupoteza ugali wangu sababu ya uyu bwana mnaemjaza..ngoja azunguke nchi nzima akaitusimulia tukio lake after thet ataburuzwa mahakamani mpaka akome.
 
Lissu ni mgonjwa, serkali imwache ajitibu kwa kuropoka kila neno baya mpaka October atakuwa amepata nafuu

Baada ya hapo awahi ubeligiji akatibiwe
Lissu atawapa gonjwa la moyo nyie madhulmati!
Kidume kimerudi, mnakiita beberu, na ni beberu kweli kweli ngoja aanze kufanya yake, miezi 9 mbele mkamletee watoto "leba"
 
Mnamjaza leo baada ya uchaguzi hamtaamini kitakachotokea..mim kama mtumishi wa serikali siko tayari kupoteza ugali wangu sababu ya uyu bwana mnaemjaza..ngoja azunguke nchi nzima akaitusimulia tukio lake after thet ataburuzwa mahakamani mpaka akome.
Hongera mtumishi wa serikali ,je TL anayoyasma yapo sahihi au hapana?
 
Lissu atawapa gonjwa la moyo nyie madhulmati!
Kidume kimerudi, mnakiita beberu, na ni beberu kweli kweli ngoja aanze kufanya yake, miezi 9 mbele mkamletee watoto "leba"
Your browser is not able to display this video.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…