Uchaguzi 2020 Ujue Tundu Lissu unakera, unakera, unakera!

Uchaguzi 2020 Ujue Tundu Lissu unakera, unakera, unakera!

Mitano tena
107530571_3426505757394230_3375537061730439151_o.jpg
 
Ccm waliingia na matokeo mfukoni wakizani waliowafungia wasifanye mazoezi hawawezi kucheza na wao lakini 35'' tayari tundu lissu anaongoza 2-0
Lisu ni ugonjwa siyo mgonjwa. Ugonjwa hauugui amayeugua ni binadamu. Mgonjwa utakuwa wewe na unamuugua Lissu. Kupona kwako ni kumpigia Lissu kura.
 
Kibushuti mmoja wa watesi wa Lissu anena haya:
"Huyu Lissu nilimfukuza Bungeni kwa sababu ni mtoro alikua anazurura Ulaya anaisema vibaya nchi anasema nchi haina Uhuru amerudi hakuna aliyemkamata, anasema tunataka uhuru wakati Nyerere alishauleta anataka uhuru upi?"~Spika Job Ndugai
View attachment 1568276
Maskini akipata matako hulia Mbwiiii...hulia mbwata...!!!hulia mbwitu..
 
Kibushuti mmoja wa watesi wa Lissu anena haya:
"Huyu Lissu nilimfukuza Bungeni kwa sababu ni mtoro alikua anazurura Ulaya anaisema vibaya nchi anasema nchi haina Uhuru amerudi hakuna aliyemkamata, anasema tunataka uhuru wakati Nyerere alishauleta anataka uhuru upi?"~Spika Job Ndugai
View attachment 1568276
Katika historia ya nchi hii,haijawahi tokea Spika mjinga kama huyu.

Kiufupi wabunge wote wanaotokana na ccm wenye kuelewa nini maana MBUNGE ni asilimia 5/% tu.

Awamu hii nchi ilikosa Binge mahili.viva BASHE.
 
Watu wamekwama huku wakiwa wanafanya kazi, biashara nyingi zinafungwa huku watu wakiwa hawajui kesho yao. Nyie mnaofaidi mezani kwa bwana ndio mnapiga kelele. Ukitaka kujua hii lugha yako ya kipuuzi ni kejeli kwa watu, omba siku kabla ya kura uende TRA ukaone trend ya kufunga biashara, kisha uje uhimize watu kufanya kazi. We baki ukitazama TBC na hizo nyomi zinazokuja kupunguza stress kwa kutazama wasanii, udhani watu wako kwenye furaha.
 
Mnamjaza leo baada ya uchaguzi hamtaamini kitakachotokea..mim kama mtumishi wa serikali siko tayari kupoteza ugali wangu sababu ya uyu bwana mnaemjaza..ngoja azunguke nchi nzima akaitusimulia tukio lake after thet ataburuzwa mahakamani mpaka akome.
 
Lissu ni mgonjwa, serkali imwache ajitibu kwa kuropoka kila neno baya mpaka October atakuwa amepata nafuu

Baada ya hapo awahi ubeligiji akatibiwe
Lissu atawapa gonjwa la moyo nyie madhulmati!
Kidume kimerudi, mnakiita beberu, na ni beberu kweli kweli ngoja aanze kufanya yake, miezi 9 mbele mkamletee watoto "leba"
 
Mnamjaza leo baada ya uchaguzi hamtaamini kitakachotokea..mim kama mtumishi wa serikali siko tayari kupoteza ugali wangu sababu ya uyu bwana mnaemjaza..ngoja azunguke nchi nzima akaitusimulia tukio lake after thet ataburuzwa mahakamani mpaka akome.
Hongera mtumishi wa serikali ,je TL anayoyasma yapo sahihi au hapana?
 
Lissu atawapa gonjwa la moyo nyie madhulmati!
Kidume kimerudi, mnakiita beberu, na ni beberu kweli kweli ngoja aanze kufanya yake, miezi 9 mbele mkamletee watoto "leba"
 
View attachment 1568644
[/QUOTE
Mmmmmmm!,kumbe ni shoo ya ccm na si mkutano wa kampeni.

Maskini wasanii wengi walipigwa biti na wale manyang'au wanaojiita BUTIKA MKUU NA MWENDOKASI.

Eti wanaendesha kampeni kisayansi!.khahahahaha,kumbe wameshindwa.duh poleni.nendeni kavu muone palivo pakavu.

Harafu acheni kuwafokea watumishi was Tanzania,wafokeeni watumishi was ccm ktk chama.

Mtumishi wa Tanzania anafanya Nazi mpaka kustaafu.lakini Chama kinastafishwa kwenye sanduku.
 
Back
Top Bottom