Hiyo dawa unatoa bure au kwa kuuza?Mwenye Shida atafuata Maelekezo
sasa si ungekaa kimya usaidie familia yako?Maisha bila kua Tapeli hayaendi .
Watasaidika wenye Imani .
Naendelea kusisitiza Mwenye Shida atafuata maelekezo yangu. Tusipangiane namna ya kufanya Mambo.Hiyo dawa unatoa bure au kwa kuuza?
Kama ni kwa kuuza, unamlazimishaje mteja akufate badala ya kumtengenezea mazingira rafiki ya kupata huduma?
Hebu toa maelezo, dawa yako ni aina gani (miti shamba au hospital), je inatengenezwaje? Inapatikana wapi? Mawasiliano ya muuzaji vipi? Ofisi kama ipo itakuwa wapi?
Vinginevyo, endelea kutumia wewe Mkuu.
asanteHiyo dawa unatoa bure au kwa kuuza?
Kama ni kwa kuuza, unamlazimishaje mteja akufate badala ya kumtengenezea mazingira rafiki ya kupata huduma?
Hebu toa maelezo, dawa yako ni aina gani (miti shamba au hospital), je inatengenezwaje? Inapatikana wapi? Mawasiliano ya muuzaji vipi? Ofisi kama ipo itakuwa wapi?
Vinginevyo, endelea kutumia wewe Mkuu.
sawa kaa na dawa yako watu mna roho mbaya kama nini huelewi km saa hizi sina funguz badae nakuwa nayo ukiweka elimu hapa itasaidia mpaka wajukuu huna lolote hatutakiiNaendelea kusisitiza Mwenye Shida atafuata maelekezo yangu. Tusipangiane namna ya kufanya Mambo.
Sina Ofisi , Mm sio Daktari , wala Sijihusishi na Maswala ya Uatabibu .
Maelezo yangu Juu yapo Clear .
Nilikua nasumbuliwa na Same Problem , nikasaidika Sasa Mwenye Kuhitaji hilo anipm nitampa maelezo .
Otherwise Wasio na Shida Hamna haja ya kucomment wala Kuja PM .
Hakalazimishwa mtu hapa.
Ka ugonjwa kenyewe kadogo mmba tumnyenyeke Mpka inbo au anashida na wake za watu weka hadharani like dis ugonjwa unasababishwa na tinia capities hao n aina ya fungus ambao wanaambukiza superficial Area mostly extrnded on neck right down to the trunk and back ss kinachotakiwa n kupa creams like cotrimazole cream nystatin creams ama better methods n kusaga cotromoxazole tabs unachanganya kwny mafuta mgando Kama bby care hizi ama totos then unapaka de same na iyo ya cream ya cotrimazole iyo n locally ila unapaka twice a day kila baada ya kuoga zipo madawa mengi local herbs Kama mafuta ya break na vitu kama ivoosawa kaa na dawa yako watu m=naroho mbaya kama nini huelewi km saa hizi sina funguz badae nakuwa nayo ukiweka elimu hapa itasaidia mpaka wajukuu huna lolote hatutakii
Kama jpm?Naendelea kusisitiza Mwenye Shida atafuata maelekezo yangu. Tusipangiane namna ya kufanya Mambo.
Sina Ofisi , Mm sio Daktari , wala Sijihusishi na Maswala ya Uatabibu .
Maelezo yangu Juu yapo Clear .
Nilikua nasumbuliwa na Same Problem , nikasaidika Sasa Mwenye Kuhitaji hilo anipm nitampa maelezo .
Otherwise Wasio na Shida Hamna haja ya kucomment wala Kuja PM .
Hakalazimishwa mtu hapa.
Nitakupataje swahiba ili nipate hiyo dawa yako?Nimesumbuliwa na Ugonjwa huo kwa mda Mrefu ., nilikua nashauriwa Kutumia Vitu vingi sana ila tatizo lilibaki. Hatimaye nimepata ufumbuzi , ndani ya Week tu Ngozi yangu Imerudi Mahala Pake.
Nadhani wengi mnaelewa ilivyo karaha kuupata huo Ugonjwa.
Ni PM kama Utahitaji Dawa Hiyo.
Hizi za Grace mkuu!??Asee sabuni ya zoazoa ni kiboko
[emoji1] [emoji1] [emoji1] c atababukaaa???Apake mafuta ya break
Hyo kitu haitasaidia kama tatizo limekua la mda mref, mm nlitumia lakn ckupona. Bt flucconazole ilkuja kunisaidia.sasa apo cjui inakuaje km hyo dawa imeshndwa kumsaidiaApake mafuta ya break