Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaaa...wewe kibokoKwa ushauri anza na mafuta ya breki kwanza kabla hujaenda kulipa milioni moja kwa dr wa agha khan,
hizi ishu ndogondogo watu tunajitibia kupitia online tu,mpaka issue ya surgery ndo utaniona hos
Fanya kwanza skin scrappingHabari za zenu wapendwa...
Nauliza nani anafahamu dawa ya Utango tango..?
ndio nini[emoji24]Fanya kwanza skin scrapping
KOH test for fungal
.hii tabia ya kutumia tumia dawa bila kufanya kipimo haifai
umeshapata?Jipake DOT 3.
Nenda kwenye maduka ya spea za magari kisha ulizia hii kitu.
Dawa nyingine kuna majani fulani hivi ambayo unayatwanga kisha unachanganya na mafuta ya taa. Baada ya hapo unajipaka kwenye sehemu zote zilizo shambuliwa na likoto.
Jina na aina ya majani haya ngoja nikutafutie maana nilijifunza hii kwa msure.
whitefield haifanyi kaziJaribu hizo...ikushindikana tell me nikupe recipe utengeneze dawa kiboko ya fungus.......
Disclaimer: I'm not a pharmacist ,mi niliona pharmacist akitengeneza nikajifunza...But anasema yaani ni kiboko...
Pole sana madamwhitefield haifanyi kazi
ngoja nikavitafute nikuonyeshe ndio nichanganyePole sana madam
Sasa nunua hiyo hiyo Whitfield ya kopo, nunua griseofluvin kidonge kimoja na sulphur..... ponda hicho kidonge cha griseofluvin weka kwenye Whitefield halafu chukua sulphur kijiko mimi na weka kwenye Whitefield.....
Changanya vizuri ili ichanganyike vizuri halafu paka asubuhi na jioni baada ya kuoga vizuri na kujikausha..
Baada ya siku 5 leta feedback ma'am..
Yes nimetumia sana hayoSijaelewa yaani mafuta ya break yanawekwa kwenye mwili wa binadamu?? AU unatania
Mimi naifahamu tena unapona fasta nitafute pmHabari za zenu wapendwa...
Nauliza nani anafahamu dawa ya Utango tango..?
Njoo nikupe usipopona usilipeDactari wangu namtoa wapi ndugu[emoji23]
nikanunue hio whitefield tu
NipeNjoo nikupe usipopona usilipe
Ukipona nipe mrejesho kwa pmDawa ya uhakika ni NIZORAL shampoo. Paka kama lotion
nitafute kuna sabuni ambayo ni dawa pia ndani ya siku tatu imeisha, elfu 15 tuKwa english sijui kwakweli.
ila huwa ni mabaka mabaka yanayotokea kwenye ngozi yanakua meupe ila sio meupe kama chokaa.
NtajitahidiUsipate shida sana Mkuu Nenda pharmacy kubwa kubwa kanunue dawa Fulani hivi ya tube inaitwa Dermovate cream active ingredient : Clobetasol propionate
Paka iyo dawa twice a day... Asubuhi na jioni unapomaliza kuoga then njoo hapa ulete mrejesho... Usitumie zaidi ya two weeks Nimeambatanisha picha yake hapo chini..
Wish You all the best...
View attachment 515232