Ujumbe alioukimbia Rais Samia nchini US apokelewe nao nyumbani arudipo

Ujumbe alioukimbia Rais Samia nchini US apokelewe nao nyumbani arudipo

Chanzo cha marehemu kufa ni vurugu za chadema na upinzani zisizotii mamlaka husika so hapo chanzo cha kifo ni hayo mavurugu yenu.

Kwa udadavuzi huu ni hakika ndiyo maana kama kibaka katokea milango ya nyuma.

Vurugu ina standard definition ambayo hamna nayo hati miliki.

Kuuwa mtu au kumpiga mtu risasi hakuwezi kuwekewa kisingizio chochote ili kuhalilishwa.

No wonder wanakimbia. Si muda mrefu hakutakuwa na a kukimbilia.
 
Hakika tuna upinzani wa hovyo sijapata kuona....kwanza wakulaumiwa kuhusu kifo cha huyo binti ni wao kwa kutotii mamlaka. Saizi wanapiga mayowe kila sehemu.

Wanaolaumiwa kikiwamo kifo cha binti huyu wanakimbia kutokea milango ya nyuma.

Aibu kubwa kabisa ugenini.
 
Tunamlaani shetani na malaika zake kwa kutaka Matajiri waishi Kama mashetani na wakulima kulimia meno huku yeye akipora wanyonge pesa na kuwapa vitambulisho feki. Swala la kumkemea shetani halina muda ni kila wakati kwa kuwa kazi za Ibilisi ni kuua na kuangamiza.
 
Tunamlaani shetani na malaika zake kwa kutaka Matajiri waishi Kama mashetani na wakulima kulimia meno huku yeye akipora wanyonge pesa na kuwapa vitambulisho feki. Swala la kumkemea shetani halina muda ni kila wakati kwa kuwa kazi za Ibilisi ni kuua na kuangamiza.
Umevuta bangi la wapi? Maana siku zimerudi zile enzi na RUKSA
 
Ila kwanini mnapenda kumtumia huyo dada Aquilina kwa manufaa yenu Aseee?

Aliuwa mmarekani mweusi mmoja George Floyd hadi wewe Mtz uliyeko huko Nyarukoko madongo kuinama ulimlillia na kutaka haki ipatikane!
Kauwawa Mtz mwenzako unaona anayemlilia ni kwa manufaa yake binafsi!
Baadhi ya Watz kama wewe mna mtindio wa ubongo si bure!
 
Issue ni hivi yule Dada alipigwa risasi nadhani ni kwa bahati mbaya.....najua ni pengo kubwa kwa familia lakini jina LA binti huyo kuendelea kutumika kisiasa kwenu ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu...mnafikiri mama yake anajisikia vipi kila siku kutumia jina LA mwanae aliyetangulia mbele ya haki.

Staarabikeni bwana. Njoo na agenda sio chuki.
Wewe wala hulaumu waliomwaga damu isiyo na hatia wala hata hujawahi kusema sheria ichukue mkondo wake ila wale unaowaona ni wanaolaani kuuliwa kwake.

Ingekuwa kwamba ni dada yako ndio kauliwa kikatili vile sidhani kama leo ungeleta hizo siasa za kijinga unazoleta leo hapa mtandaoni.

Ingekuwa ni kada wa ccm ndio kauwawa wale polisi labda leo wangekuwa wameshatiwa kitanzi lakini kwa kuwa marehemu hakuwa na mafungamano na chama chenu basi mnaona kama ni ngedere tu aliyeuawa, lkn iko siku.
 
Yasemekana mama Samia alitokea mlango wa nyuma hotelini na ubalozini kuutoroka ujumbe wake:

View attachment 2198430

Kwa kuwa yaliyoandikwa ni ukweli mtupu, itapendeza akaribishwe hivi hivi nyumbani atakaporudi.

View attachment 2198432

Kazi ya kumfikishia ujumbe wake na iendelee.

View attachment 2198433
Kuna mhuni humu anajiita Monica Mgeni anasema hao diaspora siyo watanzania!!!
 
Chanzo cha marehemu kufa ni vurugu za chadema na upinzani zisizotii mamlaka husika so hapo chanzo cha kifo ni hayo mavurugu yenu.
Mkurugenzi wa Kinondoni angetenda HAKI kwa mawakala wa CHADEMA hayo yote yasingetokea.
 
Hakika tuna upinzani wa hovyo sijapata kuona....kwanza wakulaumiwa kuhusu kifo cha huyo binti ni wao kwa kutotii mamlaka. Saizi wanapiga mayowe kila sehemu.
Usijitoe ufahamu. Mlaumuni Mkurugenzi wa Kinondoni kwa upuuzi alioufanya
 
Back
Top Bottom