Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hawezi kunijibu labda wakimpa semina ya Kingai.Akikujibu usiache kutuletea mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kunijibu labda wakimpa semina ya Kingai.Akikujibu usiache kutuletea mrejesho
Chanzo cha marehemu kufa ni vurugu za chadema na upinzani zisizotii mamlaka husika so hapo chanzo cha kifo ni hayo mavurugu yenu.
Hakika tuna upinzani wa hovyo sijapata kuona....kwanza wakulaumiwa kuhusu kifo cha huyo binti ni wao kwa kutotii mamlaka. Saizi wanapiga mayowe kila sehemu.
Umevuta bangi la wapi? Maana siku zimerudi zile enzi na RUKSATunamlaani shetani na malaika zake kwa kutaka Matajiri waishi Kama mashetani na wakulima kulimia meno huku yeye akipora wanyonge pesa na kuwapa vitambulisho feki. Swala la kumkemea shetani halina muda ni kila wakati kwa kuwa kazi za Ibilisi ni kuua na kuangamiza.
Yanahusu utawala wa kiimla wa ccm. Magufuli na Samia wote ccm.Hayo mabango mbona yanahusu awamu ya 5
cc: Zitto Kabwe
Ila kwanini mnapenda kumtumia huyo dada Aquilina kwa manufaa yenu Aseee?
Acheni kuchekesha jamaniYasemekana mama Samia alitokea mlango wa nyuma hotelini na ubalozini kuutoroka ujumbe wake:
View attachment 2198430
Kwa kuwa yaliyoandikwa ni ukweli mtupu, itapendeza akaribishwe hivi hivi nyumbani atakaporudi.
View attachment 2198432
Kazi ya kumfikishia ujumbe wake na iendelee.
View attachment 2198433
Wewe wala hulaumu waliomwaga damu isiyo na hatia wala hata hujawahi kusema sheria ichukue mkondo wake ila wale unaowaona ni wanaolaani kuuliwa kwake.Issue ni hivi yule Dada alipigwa risasi nadhani ni kwa bahati mbaya.....najua ni pengo kubwa kwa familia lakini jina LA binti huyo kuendelea kutumika kisiasa kwenu ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu...mnafikiri mama yake anajisikia vipi kila siku kutumia jina LA mwanae aliyetangulia mbele ya haki.
Staarabikeni bwana. Njoo na agenda sio chuki.
Mama anayekimbia kupitia uchochoroni hakuchekeshi?Acheni kuchekesha jamani
Mnamtumia ili kupata mileage kisiasa.Anatumika kwa manufaa ya taifa la Tanzania!
Lakini mbona wewe unatumika na ccm lakini hatuulizi?
Chadomo mnahangaika bure tuuMana anayekimbia kupitia uchochoroni hakuchekeshi?
Chadomo mnahangaika bure tuu
Na nyie Kwa nini mlimuua Kwa manufaa yenu?Ila kwanini mnapenda kumtumia huyo dada Aquilina kwa manufaa yenu Aseee?
Kuna mhuni humu anajiita Monica Mgeni anasema hao diaspora siyo watanzania!!!Yasemekana mama Samia alitokea mlango wa nyuma hotelini na ubalozini kuutoroka ujumbe wake:
View attachment 2198430
Kwa kuwa yaliyoandikwa ni ukweli mtupu, itapendeza akaribishwe hivi hivi nyumbani atakaporudi.
View attachment 2198432
Kazi ya kumfikishia ujumbe wake na iendelee.
View attachment 2198433
Chadomo mnahangaika bure tuu
Mkurugenzi wa Kinondoni angetenda HAKI kwa mawakala wa CHADEMA hayo yote yasingetokea.Chanzo cha marehemu kufa ni vurugu za chadema na upinzani zisizotii mamlaka husika so hapo chanzo cha kifo ni hayo mavurugu yenu.
Usijitoe ufahamu. Mlaumuni Mkurugenzi wa Kinondoni kwa upuuzi alioufanyaHakika tuna upinzani wa hovyo sijapata kuona....kwanza wakulaumiwa kuhusu kifo cha huyo binti ni wao kwa kutotii mamlaka. Saizi wanapiga mayowe kila sehemu.
Umeongea sahihi kabisa, muhimu na wewe UKAE MBELE KABISA na BANGO LAKOYasemekana mama Samia alitokea mlango wa nyuma hotelini na ubalozini kuutoroka ujumbe wake:
View attachment 2198430
Kwa kuwa yaliyoandikwa ni ukweli mtupu, itapendeza akaribishwe hivi hivi nyumbani atakaporudi.
View attachment 2198432
Kazi ya kumfikishia ujumbe wake na iendelee.
View attachment 2198433