Ujumbe alioukimbia Rais Samia nchini US apokelewe nao nyumbani arudipo

Ujumbe alioukimbia Rais Samia nchini US apokelewe nao nyumbani arudipo

Mengine yapo sawa na Sijali kuhusu hayo.....
Ila sio mara moja au mbili naona mnatumia jina la dada wa watu kwa faida zenu.
Tusidanganyane hapa hakuna ndugu yake hapo.
Kwa hiyo wewe unatakaje?
Wewe ni ndugu yako?

Umeongea na ndugu zake wakakwambia jina lake linatumiwa vibaya?

Serikali ilipotaka kuwafunga akina Mbowe na kujaribu kulaumu msiba wake juu yao ulifurahi?
 
Hawezi soma hayo mambo, yupo akiupiga mwingi...
 
Usiniunganishe na CCM mkuu....
Ila mnatumia jina lake namna ambayo hata yeye inamshangaza kaburini.
Honestly, wewe unayatazama na kutafsiri mambo katika viwango vya chini sana vya uelewa na ufahamu..

Mimi nakuhakikishia jambo moja, kuwa, huko aliko Aquillina anafurahia sana kwa sababu anaona kuwa, kumbe wapo watu wanapigania haki yake na kuzuia polisi wasije wakaua wengine tena kama walivyomuua yeye..

Kumbuka kuwa, huyu binti Aquillina aliuwawa kikatili na Jeshi la polisi kwa makusudi kabisa ili mwisho wa siku hawa polisi kwa kutumwa na watawala wawauzie kesi kina Freeman Mbowe na CHADEMA..

Nakushauri, ujifunze kuyatazama na kuyatafsiri mambo katika viwango sahihi vya ufahamu...!!
 
Honestly, wewe unayatazama na kutafsiri mambo katika viwango vya chini sana vya uelewa na ufahamu..

Mimi nakuhakikishia jambo moja, kuwa, huko aliko Aquillina anafurahia sana kwa sababu anaona kuwa, kumbe wapo watu wanapigania haki yake na kuzuia polisi wasije wakaua wengine tena kama walivyomuua yeye..

Kumbuka kuwa, huyu binti Aquillina aliuwawa kikatili na Jeshi la polisi kwa makusudi kabisa ili mwisho wa siku hawa polisi kwa kutumwa na watawala wawauzie kesi kina Freeman Mbowe na CHADEMA..

Nakushauri, ujifunze kuyatazama na kuyatafsiri mambo katika viwango sahihi vya ufahamu...!!
Hakuwahi fungamana na harakati zenu....
Aliuwawa kwa Ujinga wa Polisi na Viongozi wenu.
Msilitumie jina lake kujinufaisha, kwanini uzunguke wakati sote tunaelewa lengo ni nini.
 
Hakuwahi fungamana na harakati zenu....
Aliuwawa kwa Ujinga wa Polisi na Viongozi wenu.
Msilitumie jina lake kujinufaisha, kwanini uzunguke wakati sote tunaelewa lengo ni nini.
Ni kama vile huelewi na kwa hiyo tunakuwa hatuelewani...

Kwa heri, na asante sana!
 
Hata kina Hitler, Mussolini, Amini, Pol Pot, Putin, Paka, Museveni, Mugabe, nk hawataacha kunangwa wakiwa hai au wafu.
Unaona sasa akili zako....ulishawahi kukaa katika nchi hizo na kuwasikiliza wenyeji au vitabu vya propaganda vinakudanganya....unafikiri hao uliowataja wasingefanya hivyo nchi zao zingesimama? Elimu yetu hii ya kujibia mtihani hakika inatupoteza
 
Mengine yapo sawa na Sijali kuhusu hayo.....
Ila sio mara moja au mbili naona mnatumia jina la dada wa watu kwa faida zenu.
Tusidanganyane hapa hakuna ndugu yake hapo.
Siyo dada acquilina pekee. Hata katiba inatumika kwa manufaa ya kundi japo ina uhitaji ila watanzania wa kawaida hawana habari nayo
 
Unaona sasa akili zako....ulishawahi kukaa katika nchi hizo na kuwasikiliza wenyeji au vitabu vya propaganda vinakudanganya....unafikiri hao uliowataja wasingefanya hivyo nchi zao zingesimama? Elimu yetu hii ya kujibia mtihani hakika inatupoteza

"Hivyo" ina maana kuuwa watu?
 
Chanzo cha marehemu kufa ni vurugu za chadema na upinzani zisizotii mamlaka husika so hapo chanzo cha kifo ni hayo mavurugu yenu.
Vurugu unazijua ww? Risasi za moto za nini kwenye mkutano wa siasa Kwa watu wasio na silaha!! Msichokoze wenye Nchi. Wao ndio waajiri wa Askari.
 
Back
Top Bottom