Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Mngewapenda Wapagani, Wakristu, Wayahudi n.k msongekuwa na aya za kuhimiza muwaue na kuwasema vibaya
lete aya inayosema hivyo. tatizo lenu napotoshwa na wchungaji ili muingie kwa wingi makanisani wapate sadaka
 
Hivi Qurani haitambui kuwa kuna Dini nyingine kubwa na kabla ya Uislamu hapa kwetu duniani ?
Ni kwanini ipo Kimya kuhusu Dini nyingine, mfano,
Uhindu na Ubudha ?
 
Surat Al-Mumtahanah (60:8):

"Mwenyezi Mungu hawakatazi wale wanaokutendea mema na kuwaadilisha na nyinyi kwa sababu ya dini, kutowachukia kwa sababu ya dini wakiwa ni wale waliojitenga na kuishi kwa amani na nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu anapenda wale wanaoshikamana na haki."
Aya hii inasema kuwa Waislamu hawapaswi kuwa na uadui na wale ambao wanawaelewa vizuri na wanaishi kwa amani pamoja nao, licha ya tofauti za kidini.
 


Labda uniambie lini umeskia wamechinja ustadh kwa kufanya hivyo?
 
swali kwa mleta mada,
1.kwann habari za Allah ilibidi uletewe na binadamu mwenzio kutoka mashariki ya kati?

2.Kwann tunatakiwa kuamini kuwa Quran ni maneno ya Allah na sio ya mtume mwenyew kwa utashi wake?

3.kwann tunatakiwa kuamini kuwa Muhammad ni mtume wa Allah, nani anathibitisha hilo?
 
Labda uniambie lini umeskia wamechinja ustadh kwa kufanya hivyo?
nchi za kiislam Saudia ,Afaghanistanb. wanafanya hivyo- nchi za kikiristo wanaofata katiba na sheria za binaadam wamekatazwa kufaya hivyo
 
kwani biblia si kaleta Yesu nabii Issa aliezaliwa Palestina? unashangaa nini? tumia akili japo za kuvujia barabara
 
Kama dini nyingine hazimuabudu MUNGU unayemuamini wewe, mbona uislam na waislam ukiwalinganisha na wakristo kwa mfano, mbona kuna ufanano mkubwa sana eneo la ibada na hata maagizo yao waliyopewa kuyafuata.

Nikikwambia tu hapa kwa mfano, waislam si wanafuata amri 10 zile zile walizoagizwa wakristo kuzishika?
 
KAZI YANGU KULETA UJUMBE NA USHAUSOMA NI JUKUMU LAKO KUUTAFUTA UKWELI, UKIBAKI HIVYO HIVYO NA GIZA LAKO HIO SIO KAZI YANGU MIMI
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe ndugu mdau
 
Kuswali swala 5 ?
 
Wastage of time nani ka kwambia mtu asipokuwa muislam haendi mbinguni (peponi kulingana na waislam)
 
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe ndugu mdau
ndio hoja zako zilizobaki na yeye si kaumbwa? unadhani ataishi milele? watu katika seriosu issue weye unaleta hoja za Hitler kuwaangamiza mayahudi?
 
Surah Al-Jinn ni surah ya 72 katika Quran. Inaitwa hivyo kwa sababu inaelezea kisa cha Majinni (jinn) ambao walisikiliza Quran na kisha wakaamini. Hii sura ina aya 28 na iliteremshwa Makka.
Vinateremshwa kutoka wap
Na nan anateremsha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…