Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Kipindi Niko darasa la saba Kuna mwalimu alinishawishi sana nijiunge na dini yake ya uislamu, mwishowe nikashawishika maana kwa kipindi kile nilikuwa Bado siko full matured maana nilikuwa Bado hata sijabelehe,nikapewa na jina la middle east,nilihudhuria kama week hivi nikagundua nimepanda mtumbwi wa vibwengo,nikarudi zangu nilipokuwaga,

Ukikaa na waislamu story kubwa atakwambia hamia kwenye dini ya haki lakini sisi wakristu tunakwambia usitende dhambi Mungu hapendi dhambi wapende jirani zako kama unavyojipenda wewe tofauti kabisa na islamists
 
kwani biblia si kaleta Yesu nabii Issa aliezaliwa Palestina? unashangaa nini? tumia akili japo za kuvujia barabara
Biblia kaleta Yesu?
Wakati Yesu alisoma Biblia kitabu cha Isaya alipofundisha kwenye Sinagogi.
Luka 4:17
Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,
18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.

Kwanini ukiwa Mwislamu na kuamua kutangaza hiyo dini, ni lazima ujitoe ufahamu na kuongopa ?
 
yesu ni binaadam kama wewe , yeye kazaliwa hakuwa na baba tu. anakunya, akajoa, anakula, akiumbwa na tumbo kama wewe na mimi
 
wenzio waliosma bIblia wakawiva wamejiunga na uislam. wewe hata biblia hujui rangi yake unakuja na story za vijiweni hapa
 
Kwani mimi nimesema ni Jini ?
Kichwani kwako yamejaa Majini tu ya Kisharifu.
Jinni ni kiumbe ameumbwa. akili zako bora ngombe anaakili kuliko wewe . ndio maana unakuta waislam wengi wanatolea majini makanisani J2 ?
 
Tatizo lilianza tulipo kabidhi akili zetu kwa wazungu na waarabu. Ukitumia akili yako vizuri utagundua kuwa hapo kwenye dini TULIPIGWA. Ila hakuna shida, endelea kubishana dini ipi ni sahihi, nani msafi na yupi ni msafi, nani aende mbinguni na yupi aende motoni.
 
hakuna dini ya Mwarabu. dini ya binaadam wote wenye akili. asie na akili anaabudu jiwe kama wewe
 
Hiki kitabu kitukutu kimejaa bangi mwanzo mwisho.
Ona hapa
Surah Al-Baqara (2:257):
"Mwenyezi Mungu ni mlinzi wa wale walioamini. Huwatoa gizani na kuwaingiza katika nuru. Na wale waliokufuru, walinzi wao ni mashetani. Huwatoa nuruni na kuwaingiza katika giza."


Kwaiyo wasiomwamini allah wanalindwa na mashetani kweli ata kama unavuta bangi ya tarime unaweza kuamini huu uongo.

Haya tuendelee

Surah An-Nisa (4:57):
"Na wale walioamini na kutenda mema, tutawaingiza katika mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo milele. Humo watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika kivuli cha kunyamaza.king amazed

Hapa mr allan nkuku anawaahidi wafuasi kuwapa bustani na mito ya pombe na mademu

Anachoweza kukupa mr allah ni pombe na madem kuanzia hapa duniani mpaka huko aliko
Hapa ndipo uelewe allah hajawahi kuwa Mungu.
 
Mkuu ukristo na uislam una tofauti kubwa sana uislam ulikuwepo toka enzi za Adam ila ukristo umepatikana baada ya yesu kuondoka na huu ni mkakati wa shetani haukuanza leo toka zama Adam alipo umbwa
 
leteni hoja msilete matusi.
Uislam hakuna upendo. Nioneshe mstari mmoja kwenye Quran unaotaja neno upendo
Upendo wa Watu kwa Watu Wengine:

  • Surat Al-Mumtahanah (60:8):
    "Mwenyezi Mungu hawakatazi wale wanaokutendea mema na kuwaadilisha na nyinyi kwa sababu ya dini, kutowachukia kwa sababu ya dini wakiwa ni wale waliojitenga na kuishi kwa amani na nyinyi."
    Aya hii inasema kuwa Waislamu hawapaswi kuwa na uadui na wale wanaoishi kwa amani pamoja nao, licha ya tofauti za kidini.

TATIZO MNALISHWA MANENO SIKU ZA J2 ILI SADAKA ZAO ZIJAE
 
njooni njooni mupate darsa ili mkienda makanisani muweze kuwabana wachungaji kwa maswali
 
wenzio waliosma bIblia wakawiva wamejiunga na uislam. wewe hata biblia hujui rangi yake unakuja na story za vijiweni hapa
Kwamba bila kujua kiarabu siendi mbinguni? Hizi story ukimwambia hata darasa la pili B atakuona punguani
 
Mwisho utamuuliza aliekuazaa ulipita vipi hapo ulipopita?
Ndiyo maana kuna jamaa kakujibu "Sijasoma huu use*ng*"
Kumbe kweli umeandika use*ng*
Mwingine kakupa mfano wa wana muzik Bob Marley na luck dube bado hujaelewa maana wewe popoma

Mwingine kakuambia uache utoto maana unafikir huku kila mtu anamawazo kama yako ya kitoto

Amini unachoamini kila mtu na Iman yake
Kawahubirie wahindi na wachina huyo alla wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…