Ndo mana kuna aya zinasema kuwa Quran kwa mtu asie na akili hawez kuelewaKuruani sio kitabu cha kuelewa ni kitabu cha kukariri tu
Ndio maana ma ustaadhi lazima wawe na viboko kutandika watoto wakariri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mana kuna aya zinasema kuwa Quran kwa mtu asie na akili hawez kuelewaKuruani sio kitabu cha kuelewa ni kitabu cha kukariri tu
Ndio maana ma ustaadhi lazima wawe na viboko kutandika watoto wakariri
[emoji16][emoji16]Mtu ukisoma kuruani akili inaondoka hivi unaamini kabisa kuwa kila nafsi itaonja mauti kama kitabu cha uongo cha kurani kinavyosema?
Ina maana siku ya kiyama ikija itakuta watu wote walishakufa? Hata kwa akili ya kawaida tu unaamini huo uongo?
matusi ya nini? lazima utukane ndio ueleweke? umelelewa nyumba mitaani nini?Ndiyo maana kuna jamaa kakujibu "Sijasoma huu use*ng*"
Kumbe kweli umeandika use*ng*
Mwingine kakupa mfano wa wana muzik Bob Marley na luck dube bado hujaelewa maana wewe popoma
Mwingine kakuambia uache utoto maana unafikir huku kila mtu anamawazo kama yako ya kitoto
Amini unachoamini kila mtu na Iman yake
Kawahubirie wahindi na wachina huyo alla wako
cheka leo utalia siku roho yako itapoanza kutoka[emoji16][emoji16]
KAZI YANGU KULETA UJUMBE NA USHAUSOMA NI JUKUMU LAKO KUUTAFUTA UKWELI, UKIBAKI HIVYO HIVYO NA GIZA LAKO HIO SIO KAZI YANGU MIMI
Wachungaji wamesoma vitabu zaidi ya 1000+ Wewe na kitabu kimoja tu utawaweza🤣🤣🤣njooni njooni mupate darsa ili mkienda makanisani muweze kuwabana wachungaji kwa maswali
Naona umeamua kutukanaHujitambui. kama waarabu ndio wenye dini mbona wanakufa kama mimi na wewe? unaaakili za bata mavi
Sawa. Naomba uchunguze hoja kwamba kumbe Muhamad alizaliwa miaka 4 baada ya baba yake kufa. Yaani kuna mume mwingine alihusika kwa mama huyo huyo.Katika Quran, kuna aya kadhaa ambazo zinaelezea hasara na madhara yanayowapata wale wanaofuata dini isiyokuwa ya Uislamu. Quran inasisitiza kwamba mafanikio ya kweli na wokovu hupatikana kwa kumwamini na kumfuata Mwenyezi Mungu wa kweli, kama inavyofundishwa na Uislamu. Hapa kuna baadhi ya aya zinazozungumzia hasara ya kufuata dini nyingine:
Surah Al-Imran (3:85)
- "Na anayefuata dini isiyokuwa ya Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye huko Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara."
- Aya hii inaeleza wazi kwamba mtu yeyote anayefuata dini nyingine isipokuwa Uislamu hatakubaliwa na Mwenyezi Mungu, na atapata hasara Akhera.
Surah Al-Ma'idah (5:72)
- "Kwa hakika wamekufuru wale waliosema: Hakika Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu, hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu. Hakika mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu atamharamishia Pepo, na makazi yake ni Motoni. Na wala wenye kudhulumu hawatapata wa kuwanusuru."
- Hapa, Quran inakemea wale wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu na kuwakataa kuwa wataingia motoni na watakosa msaada wowote.
Surah At-Tawbah (9:30)
- "Na Mayahudi wanasema: 'Uzair ni mwana wa Mwenyezi Mungu,' na Wakristo wanasema: 'Masihi ni mwana wa Mwenyezi Mungu.' Hayo ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya wale waliokufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!"
- Aya hii inaeleza kwamba wale wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu kwa kumfanya Uzair au Masihi kuwa mwana wa Mwenyezi Mungu ni wakufuru, na Mwenyezi Mungu anawashutumu vikali.
Surah Al-Kafirun (109:1-6)
- "Sema: Enyi makafiri! Siabudu mnachoabudu, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Wala sitaabudu mnavyoabudu nyinyi, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Nyinyi mna dini yenu, na mimi nina dini yangu."
- Hapa, Quran inasisitiza tofauti za wazi kati ya Uislamu na dini nyingine, na inaonyesha kuwa wale wanaofuata dini nyingine wako katika upotovu.
Surah Al-Bayyinah (98:6)
Katika Quran, ujumbe ni wazi kwamba kuamini na kufuata Uislamu ni njia pekee ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kuepuka hasara ya Akhera. Wale wanaofuata dini nyingine wanaonywa kuhusu adhabu na hasara wanayoweza kupata kwa kutokufuata ukweli wa Uislamu.
- "Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa Kitabu na washirikina watakuwa katika Moto wa Jahannam kudumu humo. Hao ndio wabaya wa viumbe."
- Aya hii inabainisha kuwa wale waliokufuru miongoni mwa watu wa Kitabu (Mayahudi na Wakristo) na washirikina watapata adhabu ya moto wa Jahannam milele.
FAIDA YA KUWA MUISLAM
Quran inatoa mwongozo na mafundisho mengi yanayoelezea faida za kuwa Muislamu. Hapa chini kuna baadhi ya aya zinazozungumzia faida hizo:
1. Amani na Utulivu wa Kiroho
- Surah Ar-Ra'd (13:28):
"Wale walioamini na nyoyo zao zikajaa utulivu kwa kumtaja Mwenyezi Mungu. Bila shaka kwa kumtaja Mwenyezi Mungu nyoyo hutulia."
- Aya hii inaelezea kuwa kumtaja Mwenyezi Mungu huleta utulivu na amani ya ndani kwa Waislamu.
2. Mwongozo na Nuru
- Surah Al-Baqara (2:257):
"Mwenyezi Mungu ni mlinzi wa wale walioamini. Huwatoa gizani na kuwaingiza katika nuru. Na wale waliokufuru, walinzi wao ni mashetani. Huwatoa nuruni na kuwaingiza katika giza."
- Mwenyezi Mungu huwapa Waislamu mwongozo na nuru, akiwatoa gizani na kuwaingiza katika mwanga wa haki.
3. Msamaha na Rehema
- Surah Az-Zumar (39:53):
"Sema: Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu! Msiikate tamaa rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ndiye Mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu."
- Uislamu unatoa nafasi ya msamaha na rehema kwa wale wanaotubu na kumrudia Mwenyezi Mungu.
4. Malipo ya Pepo
- Surah An-Nisa (4:57):
"Na wale walioamini na kutenda mema, tutawaingiza katika mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo milele. Humo watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika kivuli cha kunyamaza."
- Waislamu wanaoamini na kutenda mema wanapewa ahadi ya kuingia Peponi na kufurahia maisha ya milele yenye neema.
5. Heshima na Hadhi
- Surah Al-Hujurat (49:13):
"Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tukakufanyeni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamungu zaidi kati yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye habari."
- Uislamu unahimiza heshima na hadhi kwa watu wote, na kuwa mtukufu mbele ya Mwenyezi Mungu ni kwa uchamungu na matendo mema.
6. Umoja na Undugu
- Surah Al-Hujurat (49:10):
"Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe."
- Uislamu unasisitiza umoja na undugu miongoni mwa Waislamu, ambapo wanapaswa kusaidiana na kupendana.
7. Heshima kwa Wazazi
- Surah Al-Isra (17:23):
"Na Mola wako ameamrisha usimuabudu yeyote ila Yeye tu, na (ameamrisha) kuwafanyia wema wazazi wawili. Kama mmoja wao au wote wawili wakifikia uzee nao wapo pamoja nawe, basi usiwaambie hata ‘Ah!’ wala usiwakemee, na waambie maneno ya heshima."
- Uislamu unafundisha heshima kubwa kwa wazazi na kuwatendea wema, hasa wanapokuwa wazee.
8. Kujiepusha na Madhara
- Surah Al-Baqara (2:195):
"Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala msijitumbukize kwa mikono yenu katika maangamizo; na fanyeni wema; hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema."
- Uislamu unafundisha kujiepusha na mambo yanayoweza kusababisha madhara na kuhimiza kufanya wema.
Uwongo, kwenye aya zetu mtuchinje tusio amini uislamTunawapenda sana
Ustaadh tunakunywa hapa hapa bikra tunazifungua mbinguni ni nyimbo na kumsifu munguIpo hio yote, huitaki?
Bado unanipa wasiwasi na uwezo wa akili yako. Kifupi, nililenga kusema mwache mtu aamini anachokiamini. Kuonesha kwamba dini fulani ndiyo bora zaidi ya nyingine utadhani umekutana na huyo Mungu akakuthibitishia hivyo, sio sahihi.Hujitambui. kama waarabu ndio wenye dini mbona wanakufa kama mimi na wewe? unaaakili za bata mavi
hujalazimishwa kuingia ktk uislam. unaonyeshwa hapa faida na hasara unachokifata wewe na athari yake baada ya kufaBado unanipa wasiwasi na uwezo wa akili yako. Kifupi, nililenga kusema mwache mtu aamini anachokiamini. Kuonesha kwamba dini fulani ndiyo bora zaidi ya nyingine utadhani umekutana na huyo Mungu akakuthibitishia hivyo, sio sahihi.
itakuwa hujafahamu au unasikiliza propaganda mediaUwongo, kwenye aya zetu mtuchinje tusio amini uislam
Tunayafukuza Majini Makanisani kwakuwa Allah anayaleta ili kufanya uchafuzi kwa waumini Wakristo.Jinni ni kiumbe ameumbwa. akili zako bora ngombe anaakili kuliko wewe . ndio maana unakuta waislam wengi wanatolea majini makanisani J2 ?
TUTAWAINGIZA! Mungu ni Mmoja..... popote unapoona Mungu anaongea kama wapo zaidi ya Mmoja shtuka kimbia.... 👺👺👹👹 huyo ni Shetani Pepo MkuuHiki kitabu kitukutu kimejaa bangi mwanzo mwisho.
Ona hapa
Surah Al-Baqara (2:257):
"Mwenyezi Mungu ni mlinzi wa wale walioamini. Huwatoa gizani na kuwaingiza katika nuru. Na wale waliokufuru, walinzi wao ni mashetani. Huwatoa nuruni na kuwaingiza katika giza."
Kwaiyo wasiomwamini allah wanalindwa na mashetani kweli ata kama unavuta bangi ya tarime unaweza kuamini huu uongo.
Haya tuendelee
Surah An-Nisa (4:57):
"Na wale walioamini na kutenda mema, tutawaingiza katika mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo milele. Humo watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika kivuli cha kunyamaza.king amazed
Hapa mr allan nkuku anawaahidi wafuasi kuwapa bustani na mito ya pombe na mademu
Anachoweza kukupa mr allah ni pombe na madem kuanzia hapa duniani mpaka huko aliko
Hapa ndipo uelewe allah hajawahi kuwa Mungu.
Halafu unajihesabu umesoma? kama akili hizi basi kweli kumuona Mchungaji laki 5 kidogo sana, aweke milioni 1Tunayafukuza Majini Makanisani kwakuwa Allah anayaleta ili kufanya uchafuzi kwa waumini Wakristo.
أَلَمْ تَرَ أَنَّا أَرْسَلْنَا الشَّيَاطِينَ عَلَى الْكَافِرِينَ تَؤُزُّهُمْ أَزًّا
[ MARYAM - 83 ]
Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
Tunayakemea "tokeni kwa jila la Yesu Kristo, rudini misikitini kwenu mkaswali na Waismu wenzenu huko"
Tunawarudisha Misikitini kwakuwa kwa sasa hatutaki kuwa peleka wawaingie Nguruwe. Wanatuharibia kitimoto chetu maana Nguruwe yuko tayari kufa kwa kujitosa baharini kuliko kuingiwa na Majini.
"Nendeni Misikitini kwenu huko mkatubu kwa Mungu wenu Allah"
Ndio ninavyo yakemea kwa sasa na yananitii.
Kwa hiyo uislam unahamasisha watu kulala na kwenda baa asubuhi!Wewe bwege kweli. hujui duniani watu wameziada elimu? hakuna mwenye elimu kubwa kuliko mwengine. ndio maana mtaalam wa AI kutenegeza chumvi ya Unga hajui. kakojoe ukalale - au nenda baa asubuhi hii
hujalazimishwa. hapa unapewa umuhimu wa kuwa muislam na kaucha huko uliko. kama huamini endelea kukumbatia giza lakoTumesoma vitabu vingi vya dini tofauti tofauti na tumeamini katika imani tofauti tofauti, Kila mtu abaki na lake ukifa itajulikana huko huko.