Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umeuliza swali,unajibiwa unaanza kuwa mkali.πKwani kuna anayefikiria kuwa ataishi milele hapa Duniani?Mimi naamini kila mtu anahamu kuwa mtu yeyote aliyezaliwa na Mwanamke siku zake za kuishi hapa Duniani si nyingi.nazo zimejaa taabu na shida
Spika ya redio, ear phone, au spika ya Nini?Uwe na heshima na adabu.Dkt Tulia usimtaje kama unavyotaja majina ya wahuni wenzako .Fahamu ya kuwa Dkt Tulia ni Mbunge ,Ni Speaker na ni Rais wa IPU.
Na wewe jipost.Huyu naye kujipost kama mmama wa uswazi
Wewe ukifa utapigiwa nyimbo za chama au utaingizwa kanisani na kuombewa? NijibuKwanini unapenda sana Udini?ππ
Majibu mengine ni ya kijinga tu.ambayo ni lazima yakemeweUmeuliza swali,unajibiwa unaanza kuwa mkali.π
Kuna kugusa kwa aina nyingi hata kutekwa kwa kibao na kuuawa nako kuliwagusa watanzania wengi,kujaza kura fake kwenye masanduku kura kuliko iwezesha CCM kushinda kwa asilimia 99 nako kuliwagusa watanzania wengi kwa kuporwa haki yao ya kuongozwa na viongozi waliowachagua.Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti
Uwe mtulivu watu tumebwia kuber zetu.Tunataka utulivu stimu zipande.Majibu mengine ni ya kijinga tu.ambayo ni lazima yakemewe
Kanafikiri katakuja kuwa ka rais.
Huyo ni kinyang'unya tu.Uwe na heshima na adabu.Dkt Tulia usimtaje kama unavyotaja majina ya wahuni wenzako .Fahamu ya kuwa Dkt Tulia ni Mbunge ,Ni Speaker na ni Rais wa IPU.
Naacha nafasi ili uweke namba yakoMbona siku hizi huandiki namba ya simu?
Na wewe kwanini unapenda sana uchawa?Kwanini unapenda sana Udini?ππ
Kuwa mkweli bwana, kwamba Ile mbinu ya kuweka namba Yako ya simu imeshaindwa kabisa kukufukisha kwenye nafasi ya uteuzi.Naacha nafasi ili uweke namba yako
Jibu unataka liwe vipi? Kusilimu hutaki, kufa hutaki, unataka lipi?Majibu mengine ni ya kijinga tu.ambayo ni lazima yakemewe
Mimi ni mzalendo na msema kweli.Na wewe kwanini unapenda sana uchawa?
SubhanAllah!Mswalie mtume sheikh!Huyo ni kinyang'unya tu.
Anataka kuolewaJibu unataka liwe vipi? Kusilimu hutaki, kufa hutaki, unataka lipi?
Sitafuti uteuziKuwa mkweli bwana, kwamba Ile mbinu ya kuweka namba Yako ya simu imeshaindwa kabisa kukufukisha kwenye nafasi ya uteuzi.
Hata yule aliyerogwa anapenda sana mafumboNdio Hulka Na Asili Ya Jinsia Ke Walio Wengi Vijimafumbo.