Ujumbe huu wa Dkt Tulia una maana gani na umemlenga nani?

Ujumbe huu wa Dkt Tulia una maana gani na umemlenga nani?

Kwamba mtu akivaa hivyo ni Muislam!? Huo ni utamaduni wa watu wa mashariki (waarabu) na wanavaa wote wakristo kwa waislam maana ni utamaduni na si dini.
Maada umeisoma? IPO SIKU , Mimi kwa mtazamo wangu anasema ipo siku atasilimu, sasa kama unawazo jengine tofauti na hili andika lako, kama IPO SIKU atakuwa mtawa
 
Kwamba mtu akivaa hivyo ni Muislam!? Huo ni utamaduni wa watu wa mashariki (waarabu) na wanavaa wote wakristo kwa waislam maana ni utamaduni na si dini.
Yeye mwarabu? Tanzania akivaa hivyo anakuwa ni muislamu
 
Acha ujinga wako hapa wewe.kwani wewe hutakufa?
Kwani yeye hatakufa? Kwamba IPO siku hata wewe hata Mimi nitakufa! Au ulikua unauliza ukiwa na majibu kwamba IPO siku atarudi kuwa kasichana bikra? Kwamba ukiambiwa kuwa IPO siku atakufa unag'aka? We jamaa mbona ni box sana kichwani?
 
Mswahili tu huyu kama wadada wa manzese kwa mfugambwa unprofessional sana team jiwe
 
Mimi nilivyofahamu na jinsi ya alivyovaa kuna siku ataingia ktk dini yaki yaani atasilimu ndio maana IPO SIKU huku akiwa amevaa mtandio
hivi unajua mtu anaweza kusilimu lakini kutangaza ikawa shida unaanzaje...inawezekana ipo siku nitatangaza hadharani! j's a joke,🤪
 
Mimi nilivyofahamu na jinsi ya alivyovaa kuna siku ataingia ktk dini yaki yaani atasilimu ndio maana IPO SIKU huku akiwa amevaa mtandio
jitu jeusi tii na lisijdah lako kuubwaa pajini kama full moon licha uweusi wako inaonekana unajifariji nakujipa moyo eti ukifa kwenye uislamu utabadilika na kuwa liarabu ndo sababu kuu na yakipekee unang'ang'ania kwenye uislamu (mila za kiarabu)
 
Back
Top Bottom