Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndiyo maana hateuliwi,halafu mwenyewe anajiona anaandika madini kumbe ni utumbo unaowachefua wateuzi. Huyu jamaa ni mshamba sana halafu akirekebishwa anashupaza shingo. Aliyemdanganya kuwa teuzi zinapatikana hivi kamuingiza chaka.Wanaojua kusoma,. kutafakari na kumaizi uandishi wamethibitisha kebehi zako kwa viongozi mbalimbali, through sifa lukuki zilizopitiliza,, ambazo wenzio waneziita sifa za kijinga.
Ewaaa, huwa anatafuta comfortabilitySababu ya sura mbaya
Ningekuwa Kiongozi, ukanijazia matakataka ya sifa hata nisiyokuwa nayo, ningekuonya au kukufundisha adabu.Na ndiyo maana hateuliwi,halafu mwenyewe anajiona anaandika madini kumbe ni utumbo unaowachefua wateuzi. Huyu jamaa ni mshamba sana halafu akirekebishwa anashupaza shingo. Aliyemdanganya kuwa teuzi zinapatikana hivi kamuingiza chaka.
Watu wa wapi wakabubujikwa na machozi!Uliandika Nini?Nilishaandika sana mpaka watu wakabubujikwa na machozi ya furaha.
Utakufa wewe na ushetani wako.Maanake anakaribia kufa kwa roho mbaya kama sura yake na ufisadi
Acha ujinga wako hapa wewe unafikiri sheria wanasoma hata vichaaWataalamu wa akili wamsaidie huyo bibi hayupo sawa. Amenifundisha sheria Udsm huko nyuma hakuwa hivyo
Mimi ni mzalendoWanaojua kusoma,. kutafakari na kumaizi uandishi wamethibitisha kebehi zako kwa viongozi mbalimbali, through sifa lukuki zilizopitiliza,, ambazo wenzio waneziita sifa za kijinga.
Kaa pembeni na akili yako kisoda hiyoNa ndiyo maana hateuliwi,halafu mwenyewe anajiona anaandika madini kumbe ni utumbo unaowachefua wateuzi. Huyu jamaa ni mshamba sana halafu akirekebishwa anashupaza shingo. Aliyemdanganya kuwa teuzi zinapatikana hivi kamuingiza chaka.
Utasubiri snUtakufa wewe na ushetani wako.
Uganga umeanza kumkataaWataalamu wa akili wamsaidie huyo bibi hayupo sawa. Amenifundisha sheria Udsm huko nyuma hakuwa hivyo
Kubebwa na uchawi, na kwa mfumo wa ccm hata wewe unawezakufika hukoInawezekana vipi mtu mshamba akaweza kushika nafasi ya unaibu mwanasheria mkuu wa serikali,naibu Speaker, Speaker na Rais wa IPU?wewe mwerevu na ujinga wako umeshika nafasi ipi?
Iko siku machawa mtapigwa PumbuNdugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Dkt Tulia Ackson Mwansasu Mbunge wa Mbeya Mjini na Spaeker wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ambaye pia ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani na Mwafrika wa Kwanza mwanamke kushika nafasi hiyo tangia kuumbwa kwa ulimwengu na kuanzishwa kwa umoja huo.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter maarufu kama X ameandika ujumbe ambao umewaweka njia panda wasomaji wengi.ambapo kila mmoja katika kutoa maoni yake amejikuta akitoa maoni yake tofauti tofauti na halijapatikana jibu la moja kwa moja ya nini Mheshimiwa Speaker alimaanisha.
Maana ni ujumbe ambao hauna maelezo ya ziada kwamba unaweza kuunganisha dot na kupata maana wala huwezi ukatolea maelezo juu ya alichomaanisha. Maana wengi wamebaki gizani. Ujumbe wenyewe ni huu hapa 👎View attachment 3176488
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tutakufa wote mpaka watekaji na wasiojulikana watakufa na watazikwa na wataacha vyote walivyo iba kudhulumu na kutesa watu. Afu ujinga ni nini..? Sema matekaji yatakufa vibaya sana mwanawane. Na machawa nyie mtakufa kifo cha kutisha.Acha ujinga wako hapa wewe.kwani wewe hutakufa?