Ujumbe huu wa Dkt Tulia una maana gani na umemlenga nani?

Ujumbe huu wa Dkt Tulia una maana gani na umemlenga nani?

Wewe huna akili kabisaaaaa ndiyo maana huteuliwi mbwiga wewe
Hivi unaweza vipi kujilinganisha na mtu mwenye akili kubwa kama mimi? Unafananisha mlima na kichuguu? Mimi ni mlima mrefu sana .wewe uwezo wako wa kufikiri huwezi kunifikia hata kidogoo
 
Tutakufa wote mpaka watekaji na wasiojulikana watakufa na watazikwa na wataacha vyote walivyo iba kudhulumu na kutesa watu. Afu ujinga ni nini..? Sema matekaji yatakufa vibaya sana mwanawane. Na machawa nyie mtakufa kifo cha kutisha.
Mbona wewe hujatekwa?
 
Hivi unaweza vipi kujilinganisha na mtu mwenye akili kubwa kama mimi? Unafananisha mlima na kichuguu? Mimi ni mlima mrefu sana .wewe uwezo wako wa kufikiri huwezi kunifikia hata kidogoo
Kweli katika fani ya uchawa unanizidi kwa asilimia zote. Utasugua sana benchi teuzi ni kwa wenye chama tu wewe ni kidampa akujue nani.
 
Maana ni ujumbe ambao hauna maelezo ya ziada kwamba unaweza kuunganisha dot na kupata maana wala huwezi ukatolea maelezo juu ya alichomaanisha. Maana wengi wamebaki gizani. Ujumbe wenyewe ni huu hapa 👎
Iko siku atadanja wahuni walichokua wanasema baada ya ile ajali sio poa
 
Mimi nilivyofahamu na jinsi ya alivyovaa kuna siku ataingia ktk dini yaki yaani atasilimu ndio maana IPO SIKU huku akiwa amevaa mtandio
Unawaza ujinga tu, hayo mawazo ya dini huwa mnawaza nyie msio na mbele wala nyuma...vibopa wanawafa fedha na mamlaka tu. Kavaa ushungi kama fulani kuonesha kuwa ipo siku atakikalia kile kiti.
 
Unawaza ujinga tu, hayo mawazo ya dini huwa mnawaza nyie msio na mbele wala nyuma...vibopa wanawafa fedha na mamlaka tu. Kavaa ushungi kama fulani kuonesha kuwa ipo siku atakikalia kile kiti.
Mbona umekasirika? Unatoa baa nini usiku huu? Ukavamia jukwaa?
 
Ipo siku atasilimu, huoni alivyovaa?
Kwamba mtu akivaa hivyo ni Muislam!? Huo ni utamaduni wa watu wa mashariki (waarabu) na wanavaa wote wakristo kwa waislam maana ni utamaduni na si dini.
 
Back
Top Bottom