Ujumbe huu wa Dkt Tulia una maana gani na umemlenga nani?

Haha πŸ˜‚. Hiyo account sio ya sabuufa. Bali inatumika na chizi Fulani hivi
 
Wanaojua kusoma,. kutafakari na kumaizi uandishi wamethibitisha kebehi zako kwa viongozi mbalimbali, through sifa lukuki zilizopitiliza,, ambazo wenzio waneziita sifa za kijinga.
Na ndiyo maana hateuliwi,halafu mwenyewe anajiona anaandika madini kumbe ni utumbo unaowachefua wateuzi. Huyu jamaa ni mshamba sana halafu akirekebishwa anashupaza shingo. Aliyemdanganya kuwa teuzi zinapatikana hivi kamuingiza chaka.
 
Na ndiyo maana hateuliwi,halafu mwenyewe anajiona anaandika madini kumbe ni utumbo unaowachefua wateuzi. Huyu jamaa ni mshamba sana halafu akirekebishwa anashupaza shingo. Aliyemdanganya kuwa teuzi zinapatikana hivi kamuingiza chaka.
Ningekuwa Kiongozi, ukanijazia matakataka ya sifa hata nisiyokuwa nayo, ningekuonya au kukufundisha adabu.
 
Na ndiyo maana hateuliwi,halafu mwenyewe anajiona anaandika madini kumbe ni utumbo unaowachefua wateuzi. Huyu jamaa ni mshamba sana halafu akirekebishwa anashupaza shingo. Aliyemdanganya kuwa teuzi zinapatikana hivi kamuingiza chaka.
Kaa pembeni na akili yako kisoda hiyo
 
Iko siku machawa mtapigwa Pumbu
 
Acha ujinga wako hapa wewe.kwani wewe hutakufa?
Tutakufa wote mpaka watekaji na wasiojulikana watakufa na watazikwa na wataacha vyote walivyo iba kudhulumu na kutesa watu. Afu ujinga ni nini..? Sema matekaji yatakufa vibaya sana mwanawane. Na machawa nyie mtakufa kifo cha kutisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…