Ujumbe kwa Hajar

Ujumbe kwa Hajar

Asee mi sishindwi nikiona mods wanazingua, hapo naweza hata ku uedit uzi nandika mambo ya JPM .
Siwez kosa solutuon hapo.[emoji23]

Eeh jaman hata efforts za kufungua uzi ziangaliwe kabla ya kutumwaga hadharani.
Hahaha sasa tatzo mnataka mkimfungulia mtu uzi mnategemea kupokelewa positively,inatakiwa wakati unafungua uzi ujipange kupokea chochote
 
Jamaa kashauri vzuri, una mtia moyo hapa hadharani.
Halaf una mfuata PM unamuaibisha shetani huko kimya kimya then una move on.

Mi nikikataliwa live ntawaomba mods waufute uzi.
Nahiyo ndo point yangu Mkuu ..Ujue JF humu nijamii ndogo , ndomaana ukimtaja mtu km Mshana JR anajulikana nakila mtu ., sasa km ile siku Mshana alivyomuandikia Demiss ,alafu demiss amkatae ingekuwaje???

Kwaivo niukweli kua mpaka Mshana anamwandikia Demiss NISABABU TU ALIKUA KESHAJILIZISHA NAUSIKUTE HATA MZIGO ALIKUA KESHAKULA.
 
Kuna kaanjia ka kamoja tu yaaan kanaitwa " katisha tamaa huku ukimlindia utu machon kwawatu".

Ivi Jolie ,lets tali serious ,uyu bwana tuseme labda nikweli kabisaaaa alikua amempenda huyu mwanadada ,,,unahisi saizi anajisikiaje ??? Na nimbele zawatu??

Wenda kwakuhisi kujibiwa ivo ndomaana amekuja na ID hiyo....nan anajua??? .
Mi nahisi atakua ameamua tu kupokea jibu lolote litakalokuja
 
Nahiyo ndo point yangu Mkuu ..Ujue JF humu nijamii ndogo , ndomaana ukimtaja mtu km Mshana JR anajulikana nakila mtu ., sasa km ile siku Mshana alivyomuandikia Demiss ,alafu demiss amkatae ingekuwaje???

Kwaivo niukweli kua mpaka Mshana anamwandikia Demiss NISABABU TU ALIKUA KESHAJILIZISHA NAUSIKUTE HATA MZIGO ALIKUA KESHAKULA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo hapo wanakuwa wanacheza na scripts tuu. Ila matukio yote yashafanyika.
Ila kwa Jf inaonekana its safe to do that.
 
Nahiyo ndo point yangu Mkuu ..Ujue JF humu nijamii ndogo , ndomaana ukimtaja mtu km Mshana JR anajulikana nakila mtu ., sasa km ile siku Mshana alivyomuandikia Demiss ,alafu demiss amkatae ingekuwaje???

Kwaivo niukweli kua mpaka Mshana anamwandikia Demiss NISABABU TU ALIKUA KESHAJILIZISHA NAUSIKUTE HATA MZIGO ALIKUA KESHAKULA.
Hahaha sasa hii style ya kumtia mtu moyo ikifanyika kwa kila uzi unaofunguliwa si ndo hamkawii kuanza kumponda dada wa watu kwamb ni malaya jaman
 
Back
Top Bottom