Ujumbe kwa Joyce Mhavile: Waandishi wako hawajui tofauti ya Mahatma Gandhi na Indira Gandhi - pathetic!

Ujumbe kwa Joyce Mhavile: Waandishi wako hawajui tofauti ya Mahatma Gandhi na Indira Gandhi - pathetic!

Katika taarifa ya habari saa saba mchana huu, msoma taarifa ya habari (dada) alisema Tanzania ina nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na India ulioanzishwa na Baba wa Taifa na waziri Mkuu wa India Mahatma Gandhi! Hili lilirudiwa mara mbili.

Kwa kushangaa nikijua kuwa Mahatma Gandhi alikuwa mmoja wa waanzilishi wa Taifa la India (akishirikiana na kina Jawaharlal Nehru), Mahatma alifariki kitambo, 1948, na hakuwahi kuonana na Mwalimu.

Nikachoka, nikajua ITV/Radio One wameajiri mazuzu!

Joyce Mhavile, ajirini basi vijana waliopasi na wana uelewa wa kihistoria na mambo ya dunia.
Makanjanja hao.Hawana elimu ya kutambua mambo hayo.Monyo yaani MIMI alikuwa anakwepa vipindi Tegeta SS
 
Katika taarifa ya habari saa saba mchana huu, msoma taarifa ya habari (dada) alisema Tanzania ina nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na India ulioanzishwa na Baba wa Taifa na waziri Mkuu wa India Mahatma Gandhi! Hili lilirudiwa mara mbili.

Kwa kushangaa nikijua kuwa Mahatma Gandhi alikuwa mmoja wa waanzilishi wa Taifa la India (akishirikiana na kina Jawaharlal Nehru), Mahatma alifariki kitambo, 1948, na hakuwahi kuonana na Mwalimu.

Nikachoka, nikajua ITV/Radio One wameajiri mazuzu!

Joyce Mhavile, ajirini basi vijana waliopasi na wana uelewa wa kihistoria na mambo ya dunia.
Sasa wewe huelewi kuwa Tanzania kuna shule za kusomea ujinga?
 
Katika taarifa ya habari saa saba mchana huu, msoma taarifa ya habari (dada) alisema Tanzania ina nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na India ulioanzishwa na Baba wa Taifa na waziri Mkuu wa India Mahatma Gandhi! Hili lilirudiwa mara mbili.

Kwa kushangaa nikijua kuwa Mahatma Gandhi alikuwa mmoja wa waanzilishi wa Taifa la India (akishirikiana na kina Jawaharlal Nehru), Mahatma alifariki kitambo, 1948, na hakuwahi kuonana na Mwalimu.

Nikachoka, nikajua ITV/Radio One wameajiri mazuzu!

Joyce Mhavile, ajirini basi vijana waliopasi na wana uelewa wa kihistoria na mambo ya dunia.
Mohandas Karamchand a k a Mahatma Gandhi alipigwa shaba Kwa sababu za kidini kitambo hata Mwalimu hajaja Daslam
 
Katika taarifa ya habari saa saba mchana huu, msoma taarifa ya habari (dada) alisema Tanzania ina nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na India ulioanzishwa na Baba wa Taifa na waziri Mkuu wa India Mahatma Gandhi! Hili lilirudiwa mara mbili.

Kwa kushangaa nikijua kuwa Mahatma Gandhi alikuwa mmoja wa waanzilishi wa Taifa la India (akishirikiana na kina Jawaharlal Nehru), Mahatma alifariki kitambo, 1948, na hakuwahi kuonana na Mwalimu.

Nikachoka, nikajua ITV/Radio One wameajiri mazuzu!

Joyce Mhavile, ajirini basi vijana waliopasi na wana uelewa wa kihistoria na mambo ya dunia.
Habari ikiandaliwa na kusambazwa na Nape huwa ina makosa mengi ya kisarufi
 
Wewe ndiyo inabidi ujiongeze...kwani kuanzisha mahusiano lazma watu hao wawili waonane? Mahatma Ghandi aliweka misingi ya India kushirikiana na mataifa mengine kupigania Uhuru..jambo ambalo mrithi wake aliendeleza kwahiyo msingi ni kutoka kwa Mahatma Gandhi
...Umeusoma vyema habari aliyoimukuu mleta madam ?...au ni Kubisha TU ??
 
Huyo kapewa Tu karatasi asome , kosa hapo ni la muhariri
...Angekuwa Anaifahamu angeweza kusahihisha wakati anasoma !.... Radio zilipokuwa Radio, Msomaji anatakiwa Kuisoma Taarira ya Habari atakayosoma live Muda mchache kabla ya Kuisoma live aweze kujua palipokosewa arekebishe !...Siku hizi wanakwenda TU Hewani ! [emoji35]
 
Back
Top Bottom