Ujumbe Kwa Mbowe: Huwezi Kufanya Yaleyale Siku Zote Ukategemea Matokeo Tofauti.

Ujumbe Kwa Mbowe: Huwezi Kufanya Yaleyale Siku Zote Ukategemea Matokeo Tofauti.

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Mbowe amejitahidi sana kufanya siasa za kistaarabu siku zote, bila kutambua kuwa ustaarabu unakuwa na maana, na unaweza kuleta matokeo chanya kwa mtu ambaye ni mstaarabu. Kumfanyia ustaarabu mhuni, jambazi, muuaji, ni kupoteza muda, na wala hutapata matokeo unayoyatarajia.

CCM ni chama milichosheheni wahuni, watu waongo, watekaji, wauaji na wevi wa mali za umma na kura. Je, ukiwapelekea ustaarabu, unadhani watauchukuliaje?

1) Mwenyekiti ambaye ndiye kiongozi mkuu wa CCM anasema kuwa watu hata wakipigia kura kungine, kura zitahesabika CCM.

2) Watu wanatekwa, wanauawa, wanatupwa porini, mwenyekiti wa CCM anasema kuwa hakuna utekaji, hizo ni drama. Yaani drama za kufa au kuumizwa vibaya kama yule aliyepigwa risasi kichwani na risasi kutokea mdomoni, kwake hizo ni drama!!

3) Mwenyekiti wa CCM anatamka kuwa katiba ni kijitabu tu. Maana yake ni kitu kidogo kisicho na maana, na yeye halazimiki kukifuata hicho kijitabu. Mantiki ya hiki ni kuwa yeye hafuati katiba wala sheria.

4) Kiongozi wa UVCCM anasema wazi kuwa watu wanaowakosoa viongozi, wakipotea, polisi wasiwatafute, maana yake ni kuwa ni wao watakuwa wamewateka na kuwaua.

4) Kiongozi mwandamizi wa CCM aliyekuwa waziri anazungumza kwa majigambo kuwa kura za wananchi hazichagui viongozi, viongozi wanachaguliwa na wanaohesabu kura. Huku tunajua kuwa wanaohesabu kura wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM.

5) Kiongozi mteule wa Rais, DC wa Longido, anasema wazi kuwa ushindi wa CCM unapatikana kwa kutumia Serikali kwa kuwateka watu na kuwapeleka maporini.

6) Katibu mkuu wa CCM anasema kuwa CCM inatumia dola kushinda uchaguzi.

7) Waziri wa TAMISEMI? anasema wazi kabisa kuwa eti mwaka 2024, kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, ni lazima CCM ishinde vijiji, vitongoji na mitaa yote.

Hivi kweli chama na Serikali yenye falsafa za namna hii, ukienda kwa ustaarabu wa hadithi na ngojera nyingi, zinaweza kubadili chochote?

Sasa tunashuhudia vijana, wazee wa CHADEMA, wakitekwa na kuuawa mmoja baada ya mwingine, Mwenyekiti akiendelea na matamshi kuwa watachukua hatua za kisheria!! Hivi Mbowe ni mgeni na mahakama za Tanzania? Yeye mwenyewe baada ya kubambikiwa kesi ya ugaidi, alitolewa kwa kauli tu moja ya Rais kuwa mwachieni sasa, akaachiwa, akatoka. Hii ina maana Rais akitaka, hata leo hii anaweza kuiagiza mahakama kuwa Mbowe mwekeni ndani miaka miwili, atatafutiwa kesi, atafungwa.

7) Rostam, aliyekuwa mweka hazina na mfadhili wa CCM, mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, anasema wazi kuwa majaji na mahakimu buwa wanapewa maelekezo na Serikali katika kutoa hukumu.

8) Spika wa Bunge la CCM, anasema kuwa Bunge lipo chini ya Serikali, lazima lifuate matakwa ya Setikali.

9) Jaji mkuu anawahutibia na kuwapa maelekezo majaji kuwa hukumu zao zizingatie matakwa ya Seikali.
Hapo unaamini kuna mahakama? Unaweza kupeleka kesi ya mauaji yaliyofa ywa na dola kwenye mahakama, ikahukumu dhidi ya dola?

Mahali tulipofikia, Mbowe ana machaguo mawili tu:
1) Kuongoza mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM kwa lugha ambayo CCM itaelewa kuwa wananchi hawapo tayari kuendelea kudhulumiwa kwa namna mbalimbali. Hapa kuna gharama, tena siyo ndogo, lakini hili lina uhakika wa kuketa matokeo.

2) Kutamka kuwa hatuna uwezo wa kupambana na wadhalimu hawa wa CCM, tuwaache wafanye chochote wanachotaka bila ya kuhoji, kukosoa, wala hakuna haja hata ya kufanya uchaguzi, tuwaache CCM wagawane nchi na rasilimali zake, kadiri wapendavyo, ilimradi sisi tuamke salama.

Lakini kukaa katikati, yaani si moto si baridi, siyo chaguo. Tukiendelea na haya tunayoyafanya sasa, tutaendelea kushuhudia kupotea kwa uhai wa wenzetu, sisi tukiendelea na tlaatlaah zisizobadili chochote. Na siku nyingine, zamu zetu za kupotezwa zitawadia.

Mahakami ni kupoteza muda. Kesi ya juzi tu kuhusu vijana waliotekwa na vyombo vya usalama, ambao mawakili waliiomba mahakama itoe amri kwa polisi wawafikishe waliowateka mahakamani haraka, mahakama ikasema kuwa hakuna ushahidi. Halafu leo tena, baada ya watu wale wale kumteka na kumwua Ally, Mbowe anasema CHADEMA watachukua uamuzi wa kwenda mahakamani!! Ni mahakama ya wapi? Mahakama hizi ambazi zipo kwenye mfumo huo huo wa watekaji na wauaji au mahakama za ahera?

Ushauri wangu, Mbowe mchango alioutoa kwa Taifa hili na kwa CHADEMA, umeonekana, lakini kwa nyakati hizi, na kwa mazingira ya nchi yetu, anahitajika kiongozi mpambanaji hasa. Mbowe sahizi, pengine angefaa sana kwenye nafasi ya mlezi wa chama, na shughuli yake zaidi iwe ni mahusiano ya kimataifa. Nchi imefikia hatua mbaya kabisa kuliko kipindi chochote kwenye uhai wake. Katika usalama wa watu, ni aheri hata wakati wa mkoloni, watu walikuwa salama zaidi kuliko wakati huu. Watu wanaamka asubuhi, hawajui kama mpaka jioni watakuwa hai. Watu wanaanza safari hawajui kama watafika huko waendako.


View: https://www.youtube.com/live/z9D-bTDYzB8?si=3krPZ3uNWUNHVV38
 
Sisi watanzania ni watu waoga sana, hata mimi ni muoga sana 🤣🤣


Muda umefika Chadema waelekeze nguvu za kisiasa kuelekea kwenye majeshi ili wanajeshi wawaunge mkono, chadema wawe na ushawishi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, hao ndio chanzo cha Matatizo yote haya maana wanawatii ccm, chadema wakomae huko ndio watafanikiwa. Jeshi likiungana na kuwa kitu kimoja, ccm inatoka ndani ya sekunde Chache mno.



Akina sisi ni waoga, hata mimi ni muoga sana 🤣
 
Sisi watanzania ni watu waoga sana, hata mimi ni muoga sana 🤣🤣


Muda umefika Chadema waelekeze nguvu za kisiasa kuelekea kwenye majeshi ili wanajeshi wawaunge mkono, chadema wawe na ushawishi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, hao ndio chanzo cha Matatizo yote haya maana wanawatii ccm, chadema wakomae huko ndio watafanikiwa. Jeshi likiungana na kuwa kitu kimoja, ccm inatoka ndani ya sekunde Chache mno.



Akina sisi ni waoga, hata mimi ni muoga sana 🤣
Hapana sema sisi ni wabinafsi..kama kitu hakikudhuru unaona sawa tu..lkni sio waoga
 
Sisi watanzania ni watu waoga sana, hata mimi ni muoga sana 🤣🤣


Muda umefika Chadema waelekeze nguvu za kisiasa kuelekea kwenye majeshi ili wanajeshi wawaunge mkono, chadema wawe na ushawishi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, hao ndio chanzo cha Matatizo yote haya maana wanawatii ccm, chadema wakomae huko ndio watafanikiwa. Jeshi likiungana na kuwa kitu kimoja, ccm inatoka ndani ya sekunde Chache mno.



Akina sisi ni waoga, hata mimi ni muoga sana 🤣
Mbowe aache kuua wenzake kisa wanataka kumtoa madarakani
 
Sisi watanzania ni watu waoga sana, hata mimi ni muoga sana 🤣🤣


Muda umefika Chadema waelekeze nguvu za kisiasa kuelekea kwenye majeshi ili wanajeshi wawaunge mkono, chadema wawe na ushawishi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, hao ndio chanzo cha Matatizo yote haya maana wanawatii ccm, chadema wakomae huko ndio watafanikiwa. Jeshi likiungana na kuwa kitu kimoja, ccm inatoka ndani ya sekunde Chache mno.



Akina sisi ni waoga, hata mimi ni muoga sana 🤣
unawaza wazazi wanakutegemea,
kama sio wazazi basi una mtoto au mke anakutegemea, alafu kuanze vita na ccm unakua kama hujipendi vile..

Mwisho ukitaka maendeleo kawe kiongozi wewe
 
Mbowe ana uwezo wa kumobilize wanachadema kukomesha utekwaji wa makada wao lakini amekaa "kiuzee wa busara"
 
Mbowe amejitahidi sana kufanya siasa za kistaarabu siku zote, bila kutambua kuwa ustaarabu unakuwa na maana, na unaweza kuleta matokeo chanya kwa mtu ambaye ni mstaarabu. Kumfanyia ustaarabu mhuni, jambazi, muuaji, ni kupoteza muda, na wala hutapata matokeo unayoyatarajia.

CCM ni chama milichosheheni wahuni, watu waongo, watekaji, wauaji na wevi wa mali za umma na kura. Je, ukiwapelekea ustaarabu, unadhani watauchukuliaje?

1) Mwenyekiti ambaye ndiye kiongozi mkuu wa CCM anasema kuwa watu hata wakipigia kura kungine, kura zitahesabika CCM.

2) Watu wanatekwa, wanauawa, wanatupwa porini, mwenyekiti wa CCM anasema kuwa hakuna utekaji, hizo ni drama. Yaani drama za kufa au kuumizwa vibaya kama yule aliyepigwa risasi kichwani na risasi kutokea mdomoni, kwake hizo ni drama!!

3) Mwenyekiti wa CCM anatamka kuwa katiba ni kijitabu tu. Maana yake ni kitu kidogo kisicho na maana, na yeye halazimiki kukifuata hicho kijitabu. Mantiki ya hiki ni kuwa yeye hafuati katiba wala sheria.

4) Kiongozi wa UVCCM anasema wazi kuwa watu wanaowakosoa viongozi, wakipotea, polisi wasiwatafute, maana yake ni kuwa ni wao watakuwa wamewateka na kuwaua.

4) Kiongozi mwandamizi wa CCM aliyekuwa waziri anazungumza kwa majigambo kuwa kura za wananchi hazichagui viongozi, viongozi wanachaguliwa na wanaohesabu kura. Huku tunajua kuwa wanaohesabu kura wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM.

5) Kiongozi mteule wa Rais, DC wa Longido, anasema wazi kuwa ushindi wa CCM unapatikana kwa kutumia Serikali kwa kuwateka watu na kuwapeleka maporini.

6) Katibu mkuu wa CCM anasema kuwa CCM inatumia dola kushinda uchaguzi.

7) Waziri wa TAMISEMI? anasema wazi kabisa kuwa eti mwaka 2024, kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, ni lazima CCM ishinde vijiji, vitongoji na mitaa yote.

Hivi kweli chama na Serikali yenye falsafa za namna hii, ukienda kwa ustaarabu wa hadithi na ngojera nyingi, zinaweza kubadili chochote?

Sasa tunashuhudia vijana, wazee wa CHADEMA, wakitekwa na kuuawa mmoja baada ya mwingine, Mwenyekiti akiendelea na matamshi kuwa watachukua hatua za kisheria!! Hivi Mbowe ni mgeni na mahakama za Tanzania? Yeye mwenyewe baada ya kubambikiwa kesi ya ugaidi, alitolewa kwa kauli tu moja ya Rais kuwa mwachieni sasa, akaachiwa, akatoka. Hii ina maana Rais akitaka, hata leo hii anaweza kuiagiza mahakama kuwa Mbowe mwekeni ndani miaka miwili, atatafutiwa kesi, atafungwa.

7) Rostam, aliyekuwa mweka hazina na mfadhili wa CCM, mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, anasema wazi kuwa majaji na mahakimu buwa wanapewa maelekezo na Serikali katika kutoa hukumu.

8) Spika wa Bunge la CCM, anasema kuwa Bunge lipo chini ya Serikali, lazima lifuate matakwa ya Setikali.

9) Jaji mkuu anawahutibia na kuwapa maelekezo majaji kuwa hukumu zao zizingatie matakwa ya Seikali.
Hapo unaamini kuna mahakama? Unaweza kupeleka kesi ya mauaji yaliyofa ywa na dola kwenye mahakama, ikahukumu dhidi ya dola?

Mahali tulipofikia, Mbowe ana machaguo mawili tu:
1) Kuongoza mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM kwa lugha ambayo CCM itaelewa kuwa wananchi hawapo tayari kuendelea kudhulumiwa kwa namna mbalimbali. Hapa kuna gharama, tena siyo ndogo, lakini hili lina uhakika wa kuketa matokeo.

2) Kutamka kuwa hatuna uwezo wa kupambana na wadhalimu hawa wa CCM, tuwaache wafanye chochote wanachotaka bila ya kuhoji, kukosoa, wala hakuna haja hata ya kufanya uchaguzi, tuwaache CCM wagawane nchi na rasilimali zake, kadiri wapendavyo, ilimradi sisi tuamke salama.

Lakini kukaa katikati, yaani si moto si baridi, siyo chaguo. Tukiendelea na haya tunayoyafanya sasa, tutaendelea kushuhudia kupotea kwa uhai wa wenzetu, sisi tukiendelea na tlaatlaah zisizobadili chochote. Na siku nyingine, zamu zetu za kupotezwa zitawadia.

Mahakami ni kupoteza muda. Kesi ya juzi tu kuhusu vijana waliotekwa na vyombo vya usalama, ambao mawakili waliiomba mahakama itoe amri kwa polisi wawafikishe waliowateka mahakamani haraka, mahakama ikasema kuwa hakuna ushahidi. Halafu leo tena, baada ya watu wale wale kumteka na kumwua Ally, Mbowe anasema CHADEMA watachukua uamuzi wa kwenda mahakamani!! Ni mahakama ya wapi? Mahakama hizi ambazi zipo kwenye mfumo huo huo wa watekaji na wauaji au mahakama za ahera?

Ushauri wangu, Mbowe mchango alioutoa kwa Taifa hili na kwa CHADEMA, umeonekana, lakini kwa nyakati hizi, na kwa mazingira ya nchi yetu, anahitajika kiongozi mpambanaji hasa. Mbowe sahizi, pengine angefaa sana kwenye nafasi ya mlezi wa chama, na shughuli yake zaidi iwe ni mahusiano ya kimataifa. Nchi imefikia hatua mbaya kabisa kuliko kipindi chochote kwenye uhai wake. Katika usalama wa watu, ni aheri hata wakati wa mkoloni, watu walikuwa salama zaidi kuliko wakati huu. Watu wanaamka asubuhi, hawajui kama mpaka jioni watakuwa hai. Watu wanaanza safari hawajui kama watafika huko waendako.


View: https://www.youtube.com/live/z9D-bTDYzB8?si=3krPZ3uNWUNHVV38

Umeandika hoja kubwa sana Leo. Binafsi kama Mbowe anasema ktk hili anawaza hatua za kisheria, basi amechoka na hawezi Tena kuwa defensive.

Asitufanye watu ni wachanga wa mambo, atulie watu wauwawe. Hana mbinu Tena, na anakoelekea yeye anakuwa sehemu ya tatizo
 
Mbowe amejitahidi sana kufanya siasa za kistaarabu siku zote, bila kutambua kuwa ustaarabu unakuwa na maana, na unaweza kuleta matokeo chanya kwa mtu ambaye ni mstaarabu. Kumfanyia ustaarabu mhuni, jambazi, muuaji, ni kupoteza muda, na wala hutapata matokeo unayoyatarajia.

CCM ni chama milichosheheni wahuni, watu waongo, watekaji, wauaji na wevi wa mali za umma na kura. Je, ukiwapelekea ustaarabu, unadhani watauchukuliaje?

1) Mwenyekiti ambaye ndiye kiongozi mkuu wa CCM anasema kuwa watu hata wakipigia kura kungine, kura zitahesabika CCM.

2) Watu wanatekwa, wanauawa, wanatupwa porini, mwenyekiti wa CCM anasema kuwa hakuna utekaji, hizo ni drama. Yaani drama za kufa au kuumizwa vibaya kama yule aliyepigwa risasi kichwani na risasi kutokea mdomoni, kwake hizo ni drama!!

3) Mwenyekiti wa CCM anatamka kuwa katiba ni kijitabu tu. Maana yake ni kitu kidogo kisicho na maana, na yeye halazimiki kukifuata hicho kijitabu. Mantiki ya hiki ni kuwa yeye hafuati katiba wala sheria.

4) Kiongozi wa UVCCM anasema wazi kuwa watu wanaowakosoa viongozi, wakipotea, polisi wasiwatafute, maana yake ni kuwa ni wao watakuwa wamewateka na kuwaua.

4) Kiongozi mwandamizi wa CCM aliyekuwa waziri anazungumza kwa majigambo kuwa kura za wananchi hazichagui viongozi, viongozi wanachaguliwa na wanaohesabu kura. Huku tunajua kuwa wanaohesabu kura wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM.

5) Kiongozi mteule wa Rais, DC wa Longido, anasema wazi kuwa ushindi wa CCM unapatikana kwa kutumia Serikali kwa kuwateka watu na kuwapeleka maporini.

6) Katibu mkuu wa CCM anasema kuwa CCM inatumia dola kushinda uchaguzi.

7) Waziri wa TAMISEMI? anasema wazi kabisa kuwa eti mwaka 2024, kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, ni lazima CCM ishinde vijiji, vitongoji na mitaa yote.

Hivi kweli chama na Serikali yenye falsafa za namna hii, ukienda kwa ustaarabu wa hadithi na ngojera nyingi, zinaweza kubadili chochote?

Sasa tunashuhudia vijana, wazee wa CHADEMA, wakitekwa na kuuawa mmoja baada ya mwingine, Mwenyekiti akiendelea na matamshi kuwa watachukua hatua za kisheria!! Hivi Mbowe ni mgeni na mahakama za Tanzania? Yeye mwenyewe baada ya kubambikiwa kesi ya ugaidi, alitolewa kwa kauli tu moja ya Rais kuwa mwachieni sasa, akaachiwa, akatoka. Hii ina maana Rais akitaka, hata leo hii anaweza kuiagiza mahakama kuwa Mbowe mwekeni ndani miaka miwili, atatafutiwa kesi, atafungwa.

7) Rostam, aliyekuwa mweka hazina na mfadhili wa CCM, mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, anasema wazi kuwa majaji na mahakimu buwa wanapewa maelekezo na Serikali katika kutoa hukumu.

8) Spika wa Bunge la CCM, anasema kuwa Bunge lipo chini ya Serikali, lazima lifuate matakwa ya Setikali.

9) Jaji mkuu anawahutibia na kuwapa maelekezo majaji kuwa hukumu zao zizingatie matakwa ya Seikali.
Hapo unaamini kuna mahakama? Unaweza kupeleka kesi ya mauaji yaliyofa ywa na dola kwenye mahakama, ikahukumu dhidi ya dola?

Mahali tulipofikia, Mbowe ana machaguo mawili tu:
1) Kuongoza mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM kwa lugha ambayo CCM itaelewa kuwa wananchi hawapo tayari kuendelea kudhulumiwa kwa namna mbalimbali. Hapa kuna gharama, tena siyo ndogo, lakini hili lina uhakika wa kuketa matokeo.

2) Kutamka kuwa hatuna uwezo wa kupambana na wadhalimu hawa wa CCM, tuwaache wafanye chochote wanachotaka bila ya kuhoji, kukosoa, wala hakuna haja hata ya kufanya uchaguzi, tuwaache CCM wagawane nchi na rasilimali zake, kadiri wapendavyo, ilimradi sisi tuamke salama.

Lakini kukaa katikati, yaani si moto si baridi, siyo chaguo. Tukiendelea na haya tunayoyafanya sasa, tutaendelea kushuhudia kupotea kwa uhai wa wenzetu, sisi tukiendelea na tlaatlaah zisizobadili chochote. Na siku nyingine, zamu zetu za kupotezwa zitawadia.

Mahakami ni kupoteza muda. Kesi ya juzi tu kuhusu vijana waliotekwa na vyombo vya usalama, ambao mawakili waliiomba mahakama itoe amri kwa polisi wawafikishe waliowateka mahakamani haraka, mahakama ikasema kuwa hakuna ushahidi. Halafu leo tena, baada ya watu wale wale kumteka na kumwua Ally, Mbowe anasema CHADEMA watachukua uamuzi wa kwenda mahakamani!! Ni mahakama ya wapi? Mahakama hizi ambazi zipo kwenye mfumo huo huo wa watekaji na wauaji au mahakama za ahera?

Ushauri wangu, Mbowe mchango alioutoa kwa Taifa hili na kwa CHADEMA, umeonekana, lakini kwa nyakati hizi, na kwa mazingira ya nchi yetu, anahitajika kiongozi mpambanaji hasa. Mbowe sahizi, pengine angefaa sana kwenye nafasi ya mlezi wa chama, na shughuli yake zaidi iwe ni mahusiano ya kimataifa. Nchi imefikia hatua mbaya kabisa kuliko kipindi chochote kwenye uhai wake. Katika usalama wa watu, ni aheri hata wakati wa mkoloni, watu walikuwa salama zaidi kuliko wakati huu. Watu wanaamka asubuhi, hawajui kama mpaka jioni watakuwa hai. Watu wanaanza safari hawajui kama watafika huko waendako.


View: https://www.youtube.com/live/z9D-bTDYzB8?si=3krPZ3uNWUNHVV38

Ukumbuke Mbowe amekulia CCM, wengi kwenye uongozi wa CCM ni watu amekua nao. CDM inahitaji kiongozi Mwingine kama Lissu, Heche ila kusogea. Ukiangalia mikakati ya Mbowe kama maridhiano yote imefeli. Ni kama ana kigugumizi kusema ukweli kuhusu serikali ya Samia. Yuko more comfotable kushambulia serikali iliyopita ya CCM ya awamu ya tano.

Obvious amerudishiwa mali zake, CDM wamelipwa ruzuku nk it kind of soften him up.
 
Mbowe amejitahidi sana kufanya siasa za kistaarabu siku zote, bila kutambua kuwa ustaarabu unakuwa na maana, na unaweza kuleta matokeo chanya kwa mtu ambaye ni mstaarabu. Kumfanyia ustaarabu mhuni, jambazi, muuaji, ni kupoteza muda, na wala hutapata matokeo unayoyatarajia.

CCM ni chama milichosheheni wahuni, watu waongo, watekaji, wauaji na wevi wa mali za umma na kura. Je, ukiwapelekea ustaarabu, unadhani watauchukuliaje?

1) Mwenyekiti ambaye ndiye kiongozi mkuu wa CCM anasema kuwa watu hata wakipigia kura kungine, kura zitahesabika CCM.

2) Watu wanatekwa, wanauawa, wanatupwa porini, mwenyekiti wa CCM anasema kuwa hakuna utekaji, hizo ni drama. Yaani drama za kufa au kuumizwa vibaya kama yule aliyepigwa risasi kichwani na risasi kutokea mdomoni, kwake hizo ni drama!!

3) Mwenyekiti wa CCM anatamka kuwa katiba ni kijitabu tu. Maana yake ni kitu kidogo kisicho na maana, na yeye halazimiki kukifuata hicho kijitabu. Mantiki ya hiki ni kuwa yeye hafuati katiba wala sheria.

4) Kiongozi wa UVCCM anasema wazi kuwa watu wanaowakosoa viongozi, wakipotea, polisi wasiwatafute, maana yake ni kuwa ni wao watakuwa wamewateka na kuwaua.

4) Kiongozi mwandamizi wa CCM aliyekuwa waziri anazungumza kwa majigambo kuwa kura za wananchi hazichagui viongozi, viongozi wanachaguliwa na wanaohesabu kura. Huku tunajua kuwa wanaohesabu kura wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM.

5) Kiongozi mteule wa Rais, DC wa Longido, anasema wazi kuwa ushindi wa CCM unapatikana kwa kutumia Serikali kwa kuwateka watu na kuwapeleka maporini.

6) Katibu mkuu wa CCM anasema kuwa CCM inatumia dola kushinda uchaguzi.

7) Waziri wa TAMISEMI? anasema wazi kabisa kuwa eti mwaka 2024, kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, ni lazima CCM ishinde vijiji, vitongoji na mitaa yote.

Hivi kweli chama na Serikali yenye falsafa za namna hii, ukienda kwa ustaarabu wa hadithi na ngojera nyingi, zinaweza kubadili chochote?

Sasa tunashuhudia vijana, wazee wa CHADEMA, wakitekwa na kuuawa mmoja baada ya mwingine, Mwenyekiti akiendelea na matamshi kuwa watachukua hatua za kisheria!! Hivi Mbowe ni mgeni na mahakama za Tanzania? Yeye mwenyewe baada ya kubambikiwa kesi ya ugaidi, alitolewa kwa kauli tu moja ya Rais kuwa mwachieni sasa, akaachiwa, akatoka. Hii ina maana Rais akitaka, hata leo hii anaweza kuiagiza mahakama kuwa Mbowe mwekeni ndani miaka miwili, atatafutiwa kesi, atafungwa.

7) Rostam, aliyekuwa mweka hazina na mfadhili wa CCM, mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, anasema wazi kuwa majaji na mahakimu buwa wanapewa maelekezo na Serikali katika kutoa hukumu.

8) Spika wa Bunge la CCM, anasema kuwa Bunge lipo chini ya Serikali, lazima lifuate matakwa ya Setikali.

9) Jaji mkuu anawahutibia na kuwapa maelekezo majaji kuwa hukumu zao zizingatie matakwa ya Seikali.
Hapo unaamini kuna mahakama? Unaweza kupeleka kesi ya mauaji yaliyofa ywa na dola kwenye mahakama, ikahukumu dhidi ya dola?

Mahali tulipofikia, Mbowe ana machaguo mawili tu:
1) Kuongoza mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM kwa lugha ambayo CCM itaelewa kuwa wananchi hawapo tayari kuendelea kudhulumiwa kwa namna mbalimbali. Hapa kuna gharama, tena siyo ndogo, lakini hili lina uhakika wa kuketa matokeo.

2) Kutamka kuwa hatuna uwezo wa kupambana na wadhalimu hawa wa CCM, tuwaache wafanye chochote wanachotaka bila ya kuhoji, kukosoa, wala hakuna haja hata ya kufanya uchaguzi, tuwaache CCM wagawane nchi na rasilimali zake, kadiri wapendavyo, ilimradi sisi tuamke salama.

Lakini kukaa katikati, yaani si moto si baridi, siyo chaguo. Tukiendelea na haya tunayoyafanya sasa, tutaendelea kushuhudia kupotea kwa uhai wa wenzetu, sisi tukiendelea na tlaatlaah zisizobadili chochote. Na siku nyingine, zamu zetu za kupotezwa zitawadia.

Mahakami ni kupoteza muda. Kesi ya juzi tu kuhusu vijana waliotekwa na vyombo vya usalama, ambao mawakili waliiomba mahakama itoe amri kwa polisi wawafikishe waliowateka mahakamani haraka, mahakama ikasema kuwa hakuna ushahidi. Halafu leo tena, baada ya watu wale wale kumteka na kumwua Ally, Mbowe anasema CHADEMA watachukua uamuzi wa kwenda mahakamani!! Ni mahakama ya wapi? Mahakama hizi ambazi zipo kwenye mfumo huo huo wa watekaji na wauaji au mahakama za ahera?

Ushauri wangu, Mbowe mchango alioutoa kwa Taifa hili na kwa CHADEMA, umeonekana, lakini kwa nyakati hizi, na kwa mazingira ya nchi yetu, anahitajika kiongozi mpambanaji hasa. Mbowe sahizi, pengine angefaa sana kwenye nafasi ya mlezi wa chama, na shughuli yake zaidi iwe ni mahusiano ya kimataifa. Nchi imefikia hatua mbaya kabisa kuliko kipindi chochote kwenye uhai wake. Katika usalama wa watu, ni aheri hata wakati wa mkoloni, watu walikuwa salama zaidi kuliko wakati huu. Watu wanaamka asubuhi, hawajui kama mpaka jioni watakuwa hai. Watu wanaanza safari hawajui kama watafika huko waendako.


View: https://www.youtube.com/live/z9D-bTDYzB8?si=3krPZ3uNWUNHVV38

Kila siku nasema humu Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm. Kwasasa Mbowe amepoteza kujiamini maana anakabiliwa na shinikizo kubwa la kung'ang'ania madaraka. Hivyo anafanya maamuzi ya 50/50 aonekane anafaa cdm na serekalini. Ukweli ni kuwa cdm inazidi kupoteza ushawishi wake kwa umma kupitia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm.

Toka aiingizwe mjini na Lowassa akasitisha maandamano ya UKUTA, pale ndio alifikia tamati. Maandamano ya UKUTA yangeacha gharama kwa maisha yetu, lakini ingekuwa turning point ya siasa zetu hapa nchini. Nitashangaa sana iwapo Mbowe atagombea uenyekiti wa cdm, na kuibuka mshindi, hapo nitajua cdm hakuna chama.
 
Mbowe amejitahidi sana kufanya siasa za kistaarabu siku zote, bila kutambua kuwa ustaarabu unakuwa na maana, na unaweza kuleta matokeo chanya kwa mtu ambaye ni mstaarabu. Kumfanyia ustaarabu mhuni, jambazi, muuaji, ni kupoteza muda, na wala hutapata matokeo unayoyatarajia.

CCM ni chama milichosheheni wahuni, watu waongo, watekaji, wauaji na wevi wa mali za umma na kura. Je, ukiwapelekea ustaarabu, unadhani watauchukuliaje?

1) Mwenyekiti ambaye ndiye kiongozi mkuu wa CCM anasema kuwa watu hata wakipigia kura kungine, kura zitahesabika CCM.

2) Watu wanatekwa, wanauawa, wanatupwa porini, mwenyekiti wa CCM anasema kuwa hakuna utekaji, hizo ni drama. Yaani drama za kufa au kuumizwa vibaya kama yule aliyepigwa risasi kichwani na risasi kutokea mdomoni, kwake hizo ni drama!!

3) Mwenyekiti wa CCM anatamka kuwa katiba ni kijitabu tu. Maana yake ni kitu kidogo kisicho na maana, na yeye halazimiki kukifuata hicho kijitabu. Mantiki ya hiki ni kuwa yeye hafuati katiba wala sheria.

4) Kiongozi wa UVCCM anasema wazi kuwa watu wanaowakosoa viongozi, wakipotea, polisi wasiwatafute, maana yake ni kuwa ni wao watakuwa wamewateka na kuwaua.

4) Kiongozi mwandamizi wa CCM aliyekuwa waziri anazungumza kwa majigambo kuwa kura za wananchi hazichagui viongozi, viongozi wanachaguliwa na wanaohesabu kura. Huku tunajua kuwa wanaohesabu kura wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM.

5) Kiongozi mteule wa Rais, DC wa Longido, anasema wazi kuwa ushindi wa CCM unapatikana kwa kutumia Serikali kwa kuwateka watu na kuwapeleka maporini.

6) Katibu mkuu wa CCM anasema kuwa CCM inatumia dola kushinda uchaguzi.

7) Waziri wa TAMISEMI? anasema wazi kabisa kuwa eti mwaka 2024, kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, ni lazima CCM ishinde vijiji, vitongoji na mitaa yote.

Hivi kweli chama na Serikali yenye falsafa za namna hii, ukienda kwa ustaarabu wa hadithi na ngojera nyingi, zinaweza kubadili chochote?

Sasa tunashuhudia vijana, wazee wa CHADEMA, wakitekwa na kuuawa mmoja baada ya mwingine, Mwenyekiti akiendelea na matamshi kuwa watachukua hatua za kisheria!! Hivi Mbowe ni mgeni na mahakama za Tanzania? Yeye mwenyewe baada ya kubambikiwa kesi ya ugaidi, alitolewa kwa kauli tu moja ya Rais kuwa mwachieni sasa, akaachiwa, akatoka. Hii ina maana Rais akitaka, hata leo hii anaweza kuiagiza mahakama kuwa Mbowe mwekeni ndani miaka miwili, atatafutiwa kesi, atafungwa.

7) Rostam, aliyekuwa mweka hazina na mfadhili wa CCM, mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, anasema wazi kuwa majaji na mahakimu buwa wanapewa maelekezo na Serikali katika kutoa hukumu.

8) Spika wa Bunge la CCM, anasema kuwa Bunge lipo chini ya Serikali, lazima lifuate matakwa ya Setikali.

9) Jaji mkuu anawahutibia na kuwapa maelekezo majaji kuwa hukumu zao zizingatie matakwa ya Seikali.
Hapo unaamini kuna mahakama? Unaweza kupeleka kesi ya mauaji yaliyofa ywa na dola kwenye mahakama, ikahukumu dhidi ya dola?

Mahali tulipofikia, Mbowe ana machaguo mawili tu:
1) Kuongoza mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM kwa lugha ambayo CCM itaelewa kuwa wananchi hawapo tayari kuendelea kudhulumiwa kwa namna mbalimbali. Hapa kuna gharama, tena siyo ndogo, lakini hili lina uhakika wa kuketa matokeo.

2) Kutamka kuwa hatuna uwezo wa kupambana na wadhalimu hawa wa CCM, tuwaache wafanye chochote wanachotaka bila ya kuhoji, kukosoa, wala hakuna haja hata ya kufanya uchaguzi, tuwaache CCM wagawane nchi na rasilimali zake, kadiri wapendavyo, ilimradi sisi tuamke salama.

Lakini kukaa katikati, yaani si moto si baridi, siyo chaguo. Tukiendelea na haya tunayoyafanya sasa, tutaendelea kushuhudia kupotea kwa uhai wa wenzetu, sisi tukiendelea na tlaatlaah zisizobadili chochote. Na siku nyingine, zamu zetu za kupotezwa zitawadia.

Mahakami ni kupoteza muda. Kesi ya juzi tu kuhusu vijana waliotekwa na vyombo vya usalama, ambao mawakili waliiomba mahakama itoe amri kwa polisi wawafikishe waliowateka mahakamani haraka, mahakama ikasema kuwa hakuna ushahidi. Halafu leo tena, baada ya watu wale wale kumteka na kumwua Ally, Mbowe anasema CHADEMA watachukua uamuzi wa kwenda mahakamani!! Ni mahakama ya wapi? Mahakama hizi ambazi zipo kwenye mfumo huo huo wa watekaji na wauaji au mahakama za ahera?

Ushauri wangu, Mbowe mchango alioutoa kwa Taifa hili na kwa CHADEMA, umeonekana, lakini kwa nyakati hizi, na kwa mazingira ya nchi yetu, anahitajika kiongozi mpambanaji hasa. Mbowe sahizi, pengine angefaa sana kwenye nafasi ya mlezi wa chama, na shughuli yake zaidi iwe ni mahusiano ya kimataifa. Nchi imefikia hatua mbaya kabisa kuliko kipindi chochote kwenye uhai wake. Katika usalama wa watu, ni aheri hata wakati wa mkoloni, watu walikuwa salama zaidi kuliko wakati huu. Watu wanaamka asubuhi, hawajui kama mpaka jioni watakuwa hai. Watu wanaanza safari hawajui kama watafika huko waendako.


View: https://www.youtube.com/live/z9D-bTDYzB8?si=3krPZ3uNWUNHVV38

kwamba ati nini kwanza?🐒

ati nani afanye nini?🤣
 
Kila siku nasema humu Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm. Kwasasa Mbowe amepoteza kujiamini maana anakabiliwa na shinikizo kubwa la kung'ang'ania madaraka. Hivyo anafanya maamuzi ya 50/50 aonekane anafaa cdm na serekalini. Ukweli ni kuwa cdm inazidi kupoteza ushawishi wake kwa umma kupitia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm.

Toka aiingizwe mjini na Lowassa akasitisha maandamano ya UKUTA, pale ndio alifikia tamati. Maandamano ya UKUTA yangeacha gharama kwa maisha yetu, lakini ingekuwa turning point ya siasa zetu hapa nchini. Nitashangaa sana iwapo Mbowe atagombea uenyekiti wa cdm, na kuibuka mshindi, hapo nitajua cdm hakuna chama.
Tatizo Mbowe mfanyabiashara at heart, Lowassa akilete pesa na wabunge Mbowe anapiga hesabu ya, pesa , ruzuku na influence. Samia akileta pesa, ruzuku, vitu vidogo anaridhika navyo. Wakati mtu kama Lissu yeye anataka serious change kama katiba mpya, tume huru, yuko tayari kupigania hivyo vitu hadi mwisho wa maisha yake wakati Mbowe hayuko tayari.
 
unawaza wazazi wanakutegemea,
kama sio wazazi basi una mtoto au mke anakutegemea, alafu kuanze vita na ccm unakua kama hujipendi vile..

Mwisho ukitaka maendeleo kawe kiongozi wewe
Hatari
 
Kumbe alikuwa masoja huyu marehemu. Alikuwa na cheo Gani?

View: https://youtu.be/5Gkj4OhSg10?si=sJJ9aVISSiVx6xHi



Mbowe anasema alikuwa Military Intelligence kipindi cha vita ya kagera.



Mtu ambaye ni Military Intelligence ni kama shushushu itakuwa ana taarifa nyingi. Labda, labda, labda wanamuhisi ndio alikuwa akizipeleka taarifa nyeti kwa viongozi wa chadema. Au yale majina ya wasiojulikana waliojulikana wanamuhisi kuwa aliyapeleka yeye kwa mbowe? Nawaza tu,Au je military intelligence bado ana access ya taarifa nyeti?
Kama kuna connection kati ya Military Intelligence, taarifa nyeti, na watu wasiojulikana wakaona wampoteze? Ukiangalia kwa jicho la 3 na ukiconnect dots kuna kitu kina kuja.



Maveteran wa vita ya Kagera mko wapi? Mwanajeshi mwenzenu kauwawa.


Erythrocyte
 
Back
Top Bottom