Ujumbe kwa Prof. Assad: Hatutaki Rais anayesikiliza kila mtu na la kila Mtu!

Wewe huna hoja una viroja.

Sasa ndiyo umesema nini, taka utakacho na kila mtu atake atakacho ili mradi hakuna anaevunja sheria ya nchi.

Wewe hujuwi kwanini Dr. Assad aifanyiwa mizengwe na utawala wa Magufuli? Huelewi kuwa alisema ukweli kwenye ile "interview" na kuna watu kama wewe ambao hamuupendi ukweli kwa "ignorance" tu.

Bichwa lako la habari lingine na utumbo wako wa habari mwingine.
 
hivi wabongo tunataka Rais wa aina gani? anaesikiliza au asiesikiliza? tusifungane midomo tupige kura tujuane!!
Nchi imegawanyika. Kuna wengi wanataka kuongozwa kidikteta na kuna wengi wanataka kuongozwa kidemokrasia. Taifa haliwezi kubaki pamoja kama huo mgawanyiko ukiendelea. Korea zamani ilikuwa ni nchi moja baadaye ikagawanyika, Korea Kaskazini na Korea Kusini. Kaskazini wanaongozwa kidikteta, Kusini wanaongozwa kidemokrasia. Tanzania nayo itagawanyika tuu kama hakuna cha kuwaunganisha.
 
Jibu langu liko based na kauli ya mleta mada kuwa "Inawezekana siyo yeye tu bali wapo wengine ambao nao walikuwa wanakerwa kuwa Magufuli "hasikilizi", na tukichukulia kama alichosema ni kweli, ndo nikajibu kama nilivyojibu. Sikujikita zaidi kama kauli hii ina ukweli au la.
 
Usinijibu mimi hivyo wewee!!!!! Sema Magufuli alikuwa na roho mbaya sana, na alikuwa anaionyesha hadharanni...Idd Amin alikuwa na roho mbaya, lakini hakuwahi kuionyesha hadharani.
 
Wengine wanasema bila kusoma...
 
Asad na mazuzu wengine hawana hoja taifa halina dira halina mipango ya muda mrefu (30-50-100 Years) na hivi havifungamani na katiba, angejikita kushauri viongozi wazingatie weledi katika uhuru wa kiutendaji wa watumishi waliowateua kukidhi na kuishi sheria kanuni taratibu na miongozo. Nyakati zake zilipita kwa sasa tunaona ya kwamba alikuwa snitch kama ambavyo Samia anaona Magufuli akichafuka yeye anang'aa nawaambieni Rais wa nchi hii ajaye 2025 kamwe haitatokea akawa Samia wala mwanamke yeyote. Taifa lina agenda nzito saana huyu atimize matakwa ya katiba hadi 2025 basi awe mstaafu wa 2 in one.

Tunamkubali Ila si kwa nafasi ya Urais na ndiomana hakuwa Rais.

Shukrani. HAHM ndiye mpango wa nchi na haitabadirika ifahamike hivyo.

NB: Katiba Bora msingi wake ni maarifa ya watu wa nchi husika.
Tanzania mna maarifa ya kutengeneza katiba bora?
Mbona mnasifia katiba ya Kenya mnashindwa nini kuitohoa kama ilivyo? Mnajua uzuri wa katiba ya Uganda ya 1995?

Chukueni katiba ya Kenya itafsiriwe kwa kiswahili tupewe muda tuisome kisha tuainishe mapungufu tupige kura ya referendum.
 
hivi wabongo tunataka Rais wa aina gani? anaesikiliza au asiesikiliza? tusifungane midomo tupige kura tujuane!!
Waweke mgomba pale uwe raisi! Hatujielewi! Mungu kaamua kutuacha Tu maana Kwa Mungu hatupo. Kwa shetani hatujafika, hatuna dira wala muelekeo!
Rais asisikilize na kumfanyia kazi ushauri wa kila mtu! Achanganye na za kwake.
 
Umemamliza huyu MMM ni taka taka kama Paskali
Afadhali hata P huyu alijijengea jina kipindi cha Kikwete kumbe haikuwa lolote ni dini na ukabira tu..kukaa kwake marekani hakujambadirisha kitu.na yule mzee Kichuguu. Udine mbaya sana ... Pascal hana huo udine.
 
M
Magufuli alikuwa kichaa kabisa na kama vichaa wengine walivyo huwa hawajitambui kuwa na tatizo na hujiona wana akili kuliko watu wote na hawatakagi ushauri. Mwenye akili timamu hupokea ushauri na kuichambua na kufanya maamuzi
 
Rais ambaye hasikilizi watu wake nae hatumtaki.tumejionea miaka mitano ya tabu na mateso kama siyo Mungu kuingilia kati hali ingekua mbaya sana muda huu.
Labda hakukusikiliza wewe lakini J.P.M Alikuwa anatembea kila mahali kuzikiliza watu wake ambao ndo walimchagua nae huyu wa sasa kutwa anazunguka ulaya na kwa matajiri maana ndo anaamini watamulinda katka urahisi wake
 
HAHM !
 
hivi wabongo tunataka Rais wa aina gani? anaesikiliza au asiesikiliza? tusifungane midomo tupige kura tujuane!!
Huwa ninasemaga kiumbe binadamu hakijawahi kueleweka..lakini trust me kuna kiumbe kinachoitwa mtanzania 🙆‍♀️🙆‍♀️ Huyu kiumbe hajawahigi na wala hata kuja kueleweka aise..🤨🤨

Tunachuki na wivu wa ajabu sana.mtu akifanya vizuri watamponda,akifanya vibaya watamponda,akijiua watamponda,akiendelea kuishi na kufanya mambo Yake watamponda😳😳😳ni watu wa kulalamika Kwa kila kitu hatujui kushukuru kabisa😩😩
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…