Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Sawa oa kahaba mstaafuIf you thought body count doesn't affect a man then you're mistaken..big time!
Hata mwanaume aliyekitembeza sana akiingia kwa ndoa ni tofauti na yule aliyeingia akiwa pure. Like it or not!
Mimi nashangaa sana wanaowatetea wanawake wasio bikira. Miaka hii ukisikia ndoa nyingi wanandoa wametalikiana sababu moja ni wanawake kucheat hasa na maex zao. Ila wanawake waliotalikiwa huwa hawasemagi tuMe kila siku nawambia umu mwanamke akishaonja dudu zaid ya moja bc jua ni suala la mda tu kukucheat na apa ndo unakuja ule umuhimu wa kuoa mwanamke bikra
Waache yawakute kuskia kwa kenge mpk atoke damu maskioni 🤣Mimi nashangaa sana wanaowatetea wanawae wasio bikira. Miaka hii ukisikia ndoa nyingi wanandoa wametalikiana sababu moja ni wanawake kucheat hasa na maex zao. Ila wanawake waliotalikiwa huwa hawasemagi tu
Sasa hapo unajivunia nini? Wakati tayari umeshaitoa?! Kwenye maisha kuna vitu ni vya mpito tu! Na vingine ni vya kukaa muda! Lakini hakuna kinachodumu!Nilishaitoa
Sasa hapo unajivunia nini? Wakati tayari umeshaitoa?! Kwenye maisha kuna vitu ni vya mpito tu! Na vingine ni vya kukaa muda! Lakini hakuna kinachodumu!
Nakuonea huruma sana, hulijui ulisemalo!! Hivi hiyo ndio bikra yako ya kwanza kuikuta!?Wanawake hawajashusha standards za wanaume wa kufanya nao maisha, kwao mwenye uwezo wa kuprovide ndio wa kuolewa naye anapewa kipaumbele broke man anapigwa kibuti
Nyinyi tayari mmeshatepeta eti ili mradi maisha yanasonga
Inasikitisha sana mmekubali kuoa wasio bikira (malaya)
Na bado mnawatetea humu kuwaoa wakiwa wameshapoteza prize kwa ajili yenu.
Kizazi hiki cha wavulana kimekuwa cha ajabu sana
Wanawake wamewazidi akili pakubwa mno
Angalia upendo wa dhati na maisha jinsi yanavyokwenda upande wako ukiwa na huyo mke. Labda iwe ndio bikra yako ya kwanza kuikuta!!Sasa ulitaka nikujibuje?
Nakuonea huruma sana, hulijui ulisemalo!! Hivi hiyo ndio bikra yako ya kwanza kuikuta!?
Angalia upendo wa dhati na maisha jinsi yanavyokwenda upande wako ukiwa na huyo mke. Labda iwe ndio bikra yako ya kwanza kuikuta!!
Hivi unadhani mtoa mada huo u pure anautolea wapi kwa haya makelele anayotufanyia humu!!mimi nadhani kama mtoa mada kaoa yeye bikira inatosha ametuwakilisha au sio miamba
pili kwa mujibu wa dini yangu ya kiislamu, Allah anasema wazinifu wataona kwa wazinifu wenyewe na wale wasafi wataona kwa wasafi wenzao
Kwahiyo kama mtoa mada ulimuingilia huyo bikira wako kabla ya ndoa basi tambua huyo ni mzinifu kama wazinifu wengine ila kama wewe binafsi hujawahi kuzini na mkeo hajawahi kuzini yan wote kwa mara ya kwanza tendo la ndoa ndio mmelifanya katika ndoa nyie mko pure
Ila kama hamkufanya hivyo nyie ni malaya kama malaya wengine tu
uzi ufungwe sasa bikira bikira mnatupigia makelele tu!
Kuzaa naye je unaruhusiwa?Kama umeshindwa kabisa kupata mwanamke bikra ili uoe . basi usioe mwanamke asiye na bikra bali ishi nae tuu kama kampani yako.
Huyo uliyemuoa ulimuoa ikiwa wewe hujawahi kupiga wengine?!Hakuna upendo wa dhati kutoka kwa mwanamke asiye bikira ambaye ameshachezea mipini tofauti tofauti ya wanaume
Huyo uliyemuoa ulimuoa ikiwa wewe hujawahi kupiga wengine?!
Ndio tunajua anayeolewa ni mwanamke, je wewe umeshaoa? Umeoa mwanamke bikra? Je nawewe ulikuwa bikra??Namzungumzia mwanamke
Ndio maana naona anatupigia makelele,mwanamke pure ni yule ambaye hakuzini kabla ya ndoa,kama hakumwogopa mungu akazini kabla ya ndoa ujue hatokuogopa wewe akiwa ndani ya ndoaHivi unadhani mtoa mada huo u pure anautolea wapi kwa haya makelele anayotufanyia humu!!
Kiufupi mtoa mada hayo hayajui, yeye kaja na bikra tu! Bila kujali kama kuna uchamungu! Pili sidhani kama anajua vigezo vya mwanamke kuolewa. Hivi chief mtu akifanya dhambi lakini dhambi hiyo ikawa ni siri yake baina yake na Mola wake naamini unaifahamu.Ndio maana naona anatupigia makelele,mwanamke pure ni yule ambaye hakuzini kabla ya ndoa,kama hakumwogopa mungu akazini kabla ya ndoa ujue hatokuogopa wewe akiwa ndani ya ndoa
Ishu hapa ni bikira na ucha mugu ndio nitaelewa lkn bikira hovyo tu,wengine wanatoa bikira katika baiskeli huko je ukikuta hana utasema hatadumu katika ndoa?
Ovyo kabisa!
Ukioa bikra, possibility ya kugongewa ni 5 to 10%.Me kila siku nawambia umu mwanamke akishaonja dudu zaid ya moja bc jua ni suala la mda tu kukucheat na apa ndo unakuja ule umuhimu wa kuoa mwanamke bikra
Ukitaka kujijua kama wewe ni mjinga., angalia kama kuna comment hata moja ya mwanamke anaetetea unachokitetea wewe. Wanashindwa kujitetea wenyewe? unafikiri kwanini wapo kimya?. Wanajua kosa lao. Wanawake wenyewe unaowatetea wanakuona kama hii katuni pichanimimi nadhani kama mtoa mada kaoa yeye bikira inatosha ametuwakilisha au sio miamba
pili kwa mujibu wa dini yangu ya kiislamu, Allah anasema wazinifu wataona kwa wazinifu wenyewe na wale wasafi wataona kwa wasafi wenzao
Kwahiyo kama mtoa mada ulimuingilia huyo bikira wako kabla ya ndoa basi tambua huyo ni mzinifu kama wazinifu wengine ila kama wewe binafsi hujawahi kuzini na mkeo hajawahi kuzini yan wote kwa mara ya kwanza tendo la ndoa ndio mmelifanya katika ndoa nyie mko pure
Ila kama hamkufanya hivyo nyie ni malaya kama malaya wengine tu
uzi ufungwe sasa bikira bikira mnatupigia makelele tu!
Upo sahihi.Mimi nashangaa sana wanaowatetea wanawae wasio bikira. Miaka hii ukisikia ndoa nyingi wanandoa wametalikiana sababu moja ni wanawake kucheat hasa na maex zao. Ila wanawake waliotalikiwa huwa hawasemagi tu
Asipokuelewa na hapo mpuuze.Ukitaka kujijua kama wewe ni mjinga., angalia kama kuna comment hata moja ya mwanamke anaetetea unachokitetea wewe. Wanashindwa kujitetea wenyewe? unafikiri kwanini wapo kimya?. Wanajua kosa lao. Wanawake wenyewe unaowatetea wanakuona kama hii katuni pichaniView attachment 3131653