Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

Tunaongelea purity, sidhani kama mnachotetea hata mnakielewa. Mmekwea mbuyu kinyumenyume tu.
Thamani ya mwanaume na thamani ya mwanamke inapimwa kwa vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali na thamani ya mwanamke ni mwili wake.

Tangu enzi na enzi suala la body counts sio ishu kwa mwanaume lakini upande wa mwanamke ni tatizo kubwa sana kwenye mchakato wa kuolewa. Hivyo hivyo suaa la umasiki sio ishu kwa mwanamke lakini upande wa mwanaume ni jambo linalozingatiwa sana linakuja suala la kuoa.

Kimila na kidini mwanamke ambae sio bikira wakati hajaolewa anatambulika kama malaya. Katika dini imeamliwa mwanamke uyo apigwe mawe mpaka kufa na kimila mwanamke uyo haolewi na anatengwa na jamii.

Tatizo kizazi hiki cha vijana simp mmezidiwa akili na wanawake.
 
Kama wewe ni mwanaume basi huna akili. Ila kama wewe ni mwanamke basi nikupe pole kwa kupoteza usichana wako bila ya kuolewa
Kijana acha kujijaza ujinga...madogo kama nyie bado mnaongopeana maskani kuhusu mwanamke wa kuoa hata Prof Jize alikuwa na mawazo ka yenu ...(Prof Jay song Nikusaidiaje).
 
Hapo unazungumzia malaya

Mama yako aliwahi kwenda China?
Mama yangu anaweza akawa kafanya lolote, ni mzee sasa MUNGU ampe maisha marefu. Bado wanakongojana na mumewe na kufurahia wajukuu. Waliyofanya ujanani wanayajua wao na dunia yao ya ujana si dunia ya sasa ya ujana.
 
Kauli za finished men, sifa ya mwanamke ni yule aliyetunza usichana wake. Tatizo lenu vijana wa miaka hii wanawake wamewazidi akili
Ndo akili zako zopoishia hapo...sasa akitunza bikra ndo lazima awe na akili za mke bora kwenye ndoa!? Mnajidanganya sana vijana...itakuwa mnaogopa au hamuwezi kuwatongoza wanawake wenye kujielewa kwa hiyo mnaona mkimbilie kwa mabikra sasa.
 
Mke wa Johny Sins ni mcheza porno mwenzake anaitwa Kissa Sins, ila Kisss anamkubali sana Manuel Ferrara yaani huwa anamfeel sana hatakwenye porno zao

Ndio ujue mwanamke akishapigwa pipe na wanaume wengi lazima kuna mmoja au zaidi ya mmoja ambao kwake watakuwa favorite akiwa naye sita kwa sita

Manuel Ferrara yeye mke wake ni pornostar anaitwa Kayden Kross ila kaamua mke wake awe anacheza video za lesbian tu

Nadhani umeelewa ninachomaanisha
Ni kweli ukiacha Kissa Sins hata Angela White huwa anaikubali sana mikazo ya Manuel Ferrara

Angela na Kissa wana feelings kwa mume w mtu Manuel

Yote kwa sababu ya kutokuwa na dick moja for life kuonja onja kwa mwanamke ni sumu
 
Mama yangu anaweza akawa kafanya lolote, ni mzee sasa MUNGU ampe maisha marefu. Bado wanakongojana na mumewe na kufurahia wajukuu. Waliyofanya ujanani wanayajua wao na dunia yao ya ujana si dunia ya sasa ya ujana.
Waige wazazi wako hasa mshua achana na malaya
 
Kabisa mkuu. Mwanaume kuwa huru, Fanya shughuli zako usiwekeze hofu yako kwa mwanamke, ishi naye kwa akili na akikupa sababu ya kuvunja nae mahusiano yavunje. Dunia ipo vululuvululuu, wa kukuonea huruma ni mama yako tu.
Ni Kweli tuishi kwa Akili,hata sisi wanaume tukiwa kwenye ndoa hatupaswi kugonga nje!Ni vile tuu tunasngalia upande Mmoja.
 
Ndo akili zako zopoishia hapo...sasa akitunza bikra ndo lazima awe na akili za mke bora kwenye ndoa!? Mnajidanganya sana vijana...itakuwa mnaogopa au hamuwezi kuwatongoza wanawake wenye kujielewa kwa hiyo mnaona mkimbilie kwa mabikra sasa.
Mwanaume anayejitambua haoi malaya. Hauwezi kumfanya malaya kuwa housewife.

Mungu mwenyewe alimchagua bikira Mariamu abebe mimba ya Yesu
 
Thamani ya mwanaume na thamani ya mwanamke inapimwa kwa vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali na thamani ya mwanamke ni mwili wake.

Tangu enzi na enzi suala la body counts sio ishu kwa mwanaume lakini upande wa mwanamke ni tatizo kubwa sana kwenye mchakato wa kuolewa. Hivyo hivyo suaa la umasiki sio ishu kwa mwanamke lakini upande wa mwanaume ni jambo linalozingatiwa sana linakuja suala la kuoa.

Kimila na kidini mwanamke ambae sio bikira wakati hajaolewa anatambulika kama malaya. Katika dini imeamliwa mwanamke uyo apigwe mawe mpaka kufa na kimila mwanamke uyo haolewi na anatengwa na jamii.

Tatizo kizazi hiki cha vijana simp mmezidiwa akili na wanawake.
If you thought body count doesn't affect a man then you're mistaken..big time!

Hata mwanaume aliyekitembeza sana akiingia kwa ndoa ni tofauti na yule aliyeingia akiwa pure. Like it or not!
 
Kijana acha kujijaza ukinga...madogo kama nyie bado mnaongopeana maskani kuhusu mwanamke wa kuoa hata Prof Jize alikuwa na mawazo ka yenu ...(Prof Jay song Nikusaidiaje).
Na prof Jay hapa muda umepita, huyu ni wa wale waliozaliwa 70's mpaka 80's wakati wa kuoa ndo tulikuwa tunakimbilia vijijini kutafuta wake. Dunia ishavurugika zaidi. Ukiwaza sana mwanamke ukataka kumcontrol usishangae ukaoa kahaba mstaafu na ukamkuta bikra.

Watanganyika tuna tabia sana ya kupigana na utando badala ya buibui na tuna UNAFIKI, Kama hapa watu wanahubiri bikraa bikraaa ila unakuta weshazitoa za kutosha na kutelekeza hao wanawake na dada na wadogo zao hakuna mwenye nayo. Kama kwenu dada zako hawana bikra na wameolewa elewa tu kuwa hakuna namna ndo kumeshachanganyika tayari.
 
Waige wazazi wako hasa mshua achana na malaya
Mkuu, ninachokuambia ni kwamba dunia ya leo kuna mambo ukiyaendekeza unapoteza muda wako tu.

Mojawapo ni hili la kuwaza mwanamke asigongwe sijui upate bikra. Unajipotezea muda.
BE FREEEEE. KUWA HURU NA HII DUNIA YA SASA. FANYA MAMBO YAKO NA UKIAMUA KUWA NA MWANAMKE ISHI NAYE KWA AKILI.
 
Na prof Jay hapa muda umepita, huyu ni wa wale waliozaliwa 70's mpaka 80's wakati wa kuoa ndo tulikuwa tunakimbilia vijijini kutafuta wake. Dunia ishavurugika zaidi. Ukiwaza sana mwanamke ukataka kumcontrol usishangae ukaoa kahaba mstaafu na ukamkuta bikra.

Watanganyika tuna tabia sana ya kupigana na utando badala ya buibui na tuna UNAFIKI, Kama hapa watu wanahubiri bikraa bikraaa ila unakuta weshazitoa za kutosha na kutelekeza hao wanawake na dada na wadogo zao hakuna mwenye nayo. Kama kwenu dada zako hawana bikra na wameolewa elewa tu kuwa hakuna namna ndo kumeshachanganyika tayari.
Umeongea vyema kwa mujibu wa jamii na maisha tuliyonayo kwa sasa. Lakini pia kila mtu na aelewe kuwa kizazi tulichonacho hivi sasa mtu akiamua kufanya yake (Kama kuingia ndoani) aingie tu maana vigezo walivyokuwa wakivitumia mabibi na wazee wetu kwasasa havipo. Kikubwa ni kuwa free from maradhi na magonjwa ya kurithi ya kifamilia mengine yanaongeleka. Mtu akipekenyua sana anaweza akajikuta anajichimbia kaburi lake mwenyewe ndani ya muda mfupi. Maana unaweza kukuta binti mpole hana mambo ya wanaume lakini kumbe aliwahi kubakwa na wanaume 9 akiwa teeneger!!
 
Mwanaume anayejitambua haoi malaya. Hauwezi kumfanya malaya kuwa housewife.

Mungu mwenyewe alimchagua bikira Mariamu abebe mimba ya Yesu
Kwa hiyo ndoa yenu inamiaka mingapi na bikra wako!?
 
Back
Top Bottom