Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

You're trying to exaggerate issues that don't hold water.

Ndoa kila mtu anatakiwa kuingia akiwa hamjui mwenzake, mwanaume awe pure na mwanamke awe sealed.

Hapo umeingia kwa ndoa una msururu wa wanawake 20 unategemea utulivu ndani ya ndoa?
Ndo huu unafikii. Wanaume tunapenda ngono, Kabla ya kuoa tunachakata, baada ya kuoa tunachakata.

Hizi mbususu zote zilizochakatwa tunataka zikazae watoto bikra ili vijana wetu waoe, vijana ambao ni wachakataji kama baba zao. Ushaona wapi hiyo fomula ikafanya kazi?
 
Umeongea vyema kwa mujibu wa jamii na maisha tuliyonayo kwa sasa. Lakini pia kila mtu na aelewe kuwa kizazi tulichonacho hivi sasa mtu akiamua kufanya yake (Kama kuingia ndoani) aingie tu maana vigezo walivyokuwa wakivitumia mabibi na wazee wetu kwasasa havipo. Kikubwa ni kuwa free from maradhi na magonjwa ya kurithi ya kifamilia mengine yanaongeleka. Mtu akipekenyua sana anaweza akajikuta anajichimbia kaburi lake mwenyewe ndani ya muda mfupi. Maana unaweza kukuta binti mpole hana mambo ya wanaume lakini kumbe aliwahi kubakwa na wanaume 9 akiwa teeneger!!
Sio kubakwa, unagundua alitaka mwenyewe ila wewe ulipomuoa umemkuta na bikra. Mm namfahamu mtu mmoja ni mlokole, huwa anasema mkewe alimkuta bikra ila mkewe mtaa wa ujana wetu unamjua ila kila mtu yupo kimya na ndoa yao ina miaka huu wa 10 kama sikosei. Mkewe ni yule binti ambaye.... au tuache tu asije soma humu na ndoa imedumu miaka mingi.
 
You're trying to exaggerate issues that don't hold water.

Ndoa kila mtu anatakiwa kuingia akiwa hamjui mwenzake, mwanaume awe pure na mwanamke awe sealed.

Hapo umeingia kwa ndoa una msururu wa wanawake 20 unategemea utulivu ndani ya ndoa?
Mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume aliyekuwa na mahusiano na wanawake wengine na mwanamke aliyekuwa kwenye mahusiano na wanaume wengine mnapoingia kwenye ndoa

Kumbuka mwanaume ndiye anayeamua nani wa kumuoa, kwa hiyo choice anayofanya mwanaume ni tofauti na mwanamke.

Mwanamke anaweza kuwa na feelings na mwanaume fulani lakini akaolewa na yule ambaye yuko tayari kufanya naye maisha.

Hapa ndipo tatizo linapoanzia, ikiwa hasa kuna mwanaume/wanaume anawaelewa kuliko mumewe na walishawahi kumpiga mashine. Janga hilo mkuu.

Ndio maana vitabu vitakatifu vinasema wanaume waoe bikira ambaye hana wa kumlinganisha na mume wake

Mwanaume akishaamua nani wa kufanya naye maisha ina maana ndiye mwenye feelings naye na kajiridhisha naye huko nje kutoka ni tamaa tu. Lakini usicheze na mke wake
 
Sio kubakwa, unagundua alitaka mwenyewe ila wewe ulipomuoa umemkuta na bikra. Mm namfahamu mtu mmoja ni mlokole, huwa anasema mkewe alimkuta bikra ila mkewe mtaa wa ujana wetu unamjua ila kila mtu yupo kimya na ndoa yao ina miaka huu wa 10 kama sikosei. Mkewe ni yule binti ambaye.... au tuache tu asije soma humu na ndoa imedumu miaka mingi.
Bora tuache tu!! Muda mwengine kuna watu wanapitia ulimwengu wa aina mbili katika ulimwengu mmoja!! Naamini tumeelewana.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuna haya makundi 4 ya wanawake yanafanana sana
  • Mwanamke mcheza porno
  • Mwanamke mcheza onlyfans
  • Malaya anayejiuza
  • Mwanamke asiye bikira (mdangaji) hili ndilo kundi ambalo wanaume wengi miaka hii wanaoa

Jambo kuu wanalofanana hao wote ni kwamba wanaitumia miili yao ili kuingiza pesa na pili wote sio bikira

Tofauti ni kuwa wacheza porno na onlyfans wao wameamua kutoa video kabisa

Imagine wanawake wasio bikra (wadangaji) na malaya wanaojiuza wangekuwa wanatoa video zao za home made.

Unafikiri kungekuwa na tofauti yoyote?

Maana pigo za kwenye porno ndizo wanazofanyiwa na madanga au wateja wao.

Kumuoa mwanamke asiye bikra ni sawa na kumuoa pornostar au mcheza onlyfans.

Ni vile tu mkeo uliyemkuta sio bikira hana leaked videos akipigwa miti na kuchezewa na maex na madanga yake usingethubutu kumfanya wife.

The more reason men should settle for virgin women

Learn or perish
Ova umechapiwa au notes zote za nini hizi😅😅
 
Tunasema ilimradi maisha yanasonga mbele.
Wanawake hawajashusha standards za wanaume wa kufanya nao maisha, kwao mwenye uwezo wa kuprovide ndio wa kuolewa naye anapewa kipaumbele broke man anapigwa kibuti

Nyinyi tayari mmeshatepeta eti ili mradi maisha yanasonga

Inasikitisha sana mmekubali kuoa wasio bikira (malaya)

Na bado mnawatetea humu kuwaoa wakiwa wameshapoteza prize kwa ajili yenu.

Kizazi hiki cha wavulana kimekuwa cha ajabu sana

Wanawake wamewazidi akili pakubwa mno
 
Mkuu, ninachokuambia ni kwamba dunia ya leo kuna mambo ukiyaendekeza unapoteza muda wako tu.

Mojawapo ni hili la kuwaza mwanamke asigongwe sijui upate bikra. Unajipotezea muda.
BE FREEEEE. KUWA HURU NA HII DUNIA YA SASA. FANYA MAMBO YAKO NA UKIAMUA KUWA NA MWANAMKE ISHI NAYE KWA AKILI.
Akili inaanza unapoanza maisha na aliye bikra. Kama umeanza na used tayari kashakuzidi akili

Mwisho wako wa kufikiri kuwa haina shida kuoa mwanamke mtumba ndio mwanzo wa matatizo yako
 
Akili inaanza unapoanza maisha na aliyre bikra. Kama umeanza na used tayari kashakuzidi akili
Akili katika dunia ya sasa inapimwa kwa vipaumbele sio maumbile. Ndio maana kuna wenye akili hawataki kusikia suala la kuoa maana wameshajua uhalisia ni upi na ni nini watahitajika kufanya iwapo watataka mke na risk ya kupata mke wanayemtaka. Wanaamua bora wawe wazinzi tu. Hii nayo ni akili maana kajiepusha na mengi kuliko wewe uliyeoa bikira ukitegemea awe malaika wako.

Mwisho wako wa kufikiri kuwa haina shida kuoa mwanamke mtumba ndio mwanzo wa matatizo yako
Mitumba ipo tu. Utakutana nayo tu na utaitumia tu, huo ndo uhalisia. Wewe niambie, umeoa bikira na hujamiiani huko nje? Tiba sahihi ni kujua uhalisia, wako na wa jamii.
Kama unapenda papuchi na unazichakata, hata ukioa bikra haina maana zaidi ya woga tu wa usigongewe. Unakuta mtu alioa bikra ila kamhonga single mother mwenye wowowo gari na mkewe anapanda hice. Mijitu MIPUMBAVU MNO.
 
Ni kweli ukiacha Kissa Sins hata Angela White huwa anaikubali sana mikazo ya Manuel Ferrara

Angela na Kissa wana feelings kwa mume w mtu Manuel

Yote kwa sababu ya kutokuwa na dick moja for life kuonja onja kwa mwanamke ni sumu
Me kila siku nawambia umu mwanamke akishaonja dudu zaid ya moja bc jua ni suala la mda tu kukucheat na apa ndo unakuja ule umuhimu wa kuoa mwanamke bikra
 
mimi nadhani kama mtoa mada kaoa yeye bikira inatosha ametuwakilisha au sio miamba

pili kwa mujibu wa dini yangu ya kiislamu, Allah anasema wazinifu wataona kwa wazinifu wenyewe na wale wasafi wataona kwa wasafi wenzao

Kwahiyo kama mtoa mada ulimuingilia huyo bikira wako kabla ya ndoa basi tambua huyo ni mzinifu kama wazinifu wengine ila kama wewe binafsi hujawahi kuzini na mkeo hajawahi kuzini yan wote kwa mara ya kwanza tendo la ndoa ndio mmelifanya katika ndoa nyie mko pure

Ila kama hamkufanya hivyo nyie ni malaya kama malaya wengine tu

uzi ufungwe sasa bikira bikira mnatupigia makelele tu!
 
Back
Top Bottom