Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

Au wewe uliingia kwenye ndoa kabla ya kumjua mwanamke?
Mkuu ni vema ungekaa kimya kuliko kuendelea kujidhalilisha hapa.
Mtoa maada yupo sahihi kiroho, kimwili na kiakili katika mada hii.

Mwanaume yeyote nwenye akili timamu hawezi kuishi kwa misingi ya usawa na mwanamke, mtu au kitu chochote kwenye himaya yake.
 

Mkuu uwenda ikawa ni kweli unalosema
Lkn
Binafsi siamini kama kuna mwanaume anataka mwanamke mwenye uzoefu .
Lkn
Naamini wanawake ndio wanataka wanaume wenye uzoefu

Sababu kuu ni hii.

Kwenye mahusiano historia ya mwanaume haina maana
Haijalishi mwanaume ametembea na wanawake wangapi
Wanawake wanachzingatia ni future na present moment unawafanya wajisikiaje.
Hii ni kutokana na feminine essence.

Zingatia
Mtoa mada anayoyajadili ni kilingana na nature , thus why jamaa yupo undisputed hapa na ukijiona unabishana na mtoa mada nivema ukajitafakari.
 
Rais wa China una hasira sana punguza Jazba kidogo πŸ˜‚
 
Usinitag kwenye mambo yako ya kipumbavu mpumbavu wewe, bikira hutokaa uipate ngo' tuweke beti, laki moja finally ukifanikiwa kungo'a
Lazima tukutag kwa sababu wewe ni sample ya non-virgin hapa jf
 
Kumbe jina Nyundo mtumishi wa Afande lina historia ndefu
 
Hahah ila wanaume tunaamuaga tu kujiumiza akili zetu, tunavyoongelea wanawake wanavyopigwa miti na wanaume wengi kabla ya ndoa utafikiri sisi hatuchezi na papuchi nyingi kabla ya ndoa
 
Hahaha, Hakuna kitu mkuu, Watu wanataka bam bam, tuku tuku.
 
Wahubiri maadili (Bikra) Xi Jinping na Mzee wa kupambania Wanajadili porn na porn stars kama consultant wa haya mambo! Expert level.

Moral authority yenu iko questionable sana πŸ˜‚ Juzi nimemuuliza huyu Rais wa china kuwa ni kweli unahamasisha maadili au umeamua kuwa frustrate wanaume waliooa na waoaji watarajiwa? Unakuwa frustrated kuona ndoa bado zinafungwa? Sababu tusikatae kuwa kuna kundi besides wao kuwa wakataa ndoa wana ajenda nyingine tofauti kabisa (Hili hakupata kunijibu Xi Jinping Japo ni kweli kuwa huwezi kukiri ajenda yako. (kama kweli unayo)

Ndimi malaya mwenzenu nimeona nijitaje kabla hamjaanza kunibandika majina.
 
Akili zako zikikuongoza ivyo sisi hatuwezi kukubadili ila kwa taarifa yako bikra uliyemuoa akikuzoea ji mbaya kuliko ao unaowaita malaya. Ni hatari kuandika bila kufikiri.
 
Kuangalia ponopono had unakariri majina ya wahusika na maisha yao kiujumla mbona nawewe unakua ksma mcheza pono man, interest yako kwenye haya mambo n ipi hebu semakidogo mkuu huenda nkajua nusiyo jua waswahili wanasema kujua mbinu za kuiba hskukufany uwe mwz
 
Mh! makubwa Dunia haiishi mambo mapya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…