Ujumbe muhimu: Mashabiki wenzangu wa Simba tulifeli hapa

Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 Fene Stephen Ngalya Chelu sky soldier Shadeeya najua nyinyi watani basi msikose kupitia humu kutoa michango yenu
Mimi kwa upande wangu naona kinacho waponza simba ni kuwekeza zaidi kwenye maneno, kuliko vitendo.
Na wasipobadilika, aisee watasahau kuifunga Yanga na pia kuchukua ubingwa wowote ule kwenye hii miaka ya karibuni.

Yaani wanachonga mno! Kejeli nyingi! Na hii ni kuanzia kwa CEO wao Barbara, Msemaji wao Ahmed Ali, na mashabiki wao kwa ujumla. Wapunguze kuchonga! Na badala yake wacheze mpira. Kwa miaka ya karibuni, simba wamewekeza sana katika mpira wa maneno nje ya uwanja! Halafu wakiingia uwanjani, mambo yanakuwa tofauti kabisa.


Ona walivyo mvimbisha kichwa Enock Inonga kwa kumkamia kwake Mayele, na kilichomkuta jana!
 
Hata mimi nimeliona tumewekeza sana kwenye ngonjera huku watani zetu Yanga wakijipanga kiufundi na kivitendo zaidi.
 
upopoma wa mashabiki wa simba ni kutumia muda mwingi kufuatilia mambo ya Yanga! masahabiki wa yanga huo upopoma huwa hatunao na ukiona tumeufanya ni kwa reply tu... mfano mzungu wenu m'bovu lakini hakuna shabiki wa yanga aliyejaribu kumfuatilia na kupost ubovu wake hadi tumeona mauno yake jana uwanjani na kushika shika watu kama mchezaji wa mieleka.!
#nchi~imetulia
 
Aliyewapa ushindi Utopolo jana ni kocha.Baada ya kuwatoa Chama, Kanoute na Mkude timu ikapoteana na middlefield ikafa na kuwa expose centrebacks.Hakufanya homework yake vizuri.
 
Baada ya kujiuliza washambuliaji wetu wanakwama wapi nguvu tulihamishia kumkashifu Mayele
 
Mashabiki wamepagawa kabisa
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…