THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Extrovert:sababu ya huo ujumbe n huu ujumbe wa FredView attachment 1847129
Introvert huwa hawana structure ya utajiri wao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Extrovert:sababu ya huo ujumbe n huu ujumbe wa FredView attachment 1847129
Afu wana ndo wengi ambayo mkwanja ndo tatizoUkipata Pesa bora ukawa kimyaa tu.
Hii ongea ongea utakwaruzana tu wana.
[emoji23]
KwakuaLini kaingia kwenye list ya matajiri Tanzana?
KUWAPA WANAWAKEHivi nini kazi ya Pesa ?
Pesa kazi yake ni kufanya chochote kile ambacho aliyeitafuta hio pesa anapenda / kinampa furaha..., maadamu huyo mtumiaji atukumsaidia kuzitafuta wala hatuombi pesa za kusaidia majukumu / wajibu wake..., hata akiamua pesa zake zote azigawe ni prerogative yake....KUWAPA WANAWAKE
Kwahiyo VUNJABEI asitupangie kazi ya Pesa zetu, kama yeye ni kuwapa wanawake basi ndo choice yake.Pesa kazi yake ni kufanya chochote kile ambacho aliyeitafuta hio pesa anapenda / kinampa furaha..., maadamu huyo mtumiaji atukumsaidia kuzitafuta wala hatuombi pesa za kusaidia majukumu / wajibu wake..., hata akiamua pesa zake zote azigawe ni prerogative yake....
Naam hakuna wa kumpangia mtu matumizi so long as kwanza anatimiza wajibu wake (mfano asiache kuwapeleka watoto wake shule au kulisha familia yake) asitegemee jamii imfanyie..., so long as anatimiza wajibu (anawepa basi needs wategemezi/familia yake) hio excess ya pesa ni upon him to decide...Kwahiyo VUNJABEI asitupangie kazi ya Pesa zetu, kama yeye ni kuwapa wanawake basi ndo choice yake.
Neno mauji kalileta@kina kirefu ila hujaliona umekuja kuliona kwa Joanah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira za kukosa hela hizi.
Hayo malonya lonya yakeWatu waache chuki zisizo na msingi, kwa aina ya buashara anazofanya za kuuza nguo lazima atafute umaarufu ili avutie wateja wake.
Kwahyo mnataka jamaa auze nguo kimya kimya.
Biashara ni matangazo.
Huyu mkinga akila spana za kutosha kama mwezi mzima, atakuwa mpole na caption zake za kijinga
Kwenye maisha kama unavijisenti ukishawakaribisha wapambe aka chawa
Utakuwa hivyo
Ova