Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kumpa mwanamke hela kuna raha yake, ila sasa inategemeana mpoje hasa!
Maana naweza kuwa nampa ya mahitaji ya home.
Kumbe povu looote lile ni Fredi kuwatingishia antena wanaume wakware....sababu ya huo ujumbe n huu ujumbe wa FredView attachment 1847129
Ney wa Mitego ni mtu wa majungu na kutukana watu, hata nyimbo zake nyingi ni za kudiss watu hasa wasanii wenzake.Vijana wa siku hizi ni wafata mkumbo wanahisi watu wote ni wajinga kama wao.
Mi sioni sababu ya Nay kumdiss Fred sema tu ni ka wivu flani
Mmh! ChaiProfeseri kabuni kalamaganda.....
Utadhani nilikuwepo 😂
Tafuta uzi jukwaa hili mzee baba, hadi loji aloenda watu wameiweka, iko pale mitaa ya sinza Wistaz sijui 😁Mmh! Chai
Hizo hela ametoa wapi?,hakujulikana miezi mitatu iliyopita,kaibuka toka wapi,,Anafikiri kila mtu ana pesa kama za kwake
Kuna jamaa tulikua naye arusha alikua analima vitunguu huko mang'ola na kumiliki fuso kadhaa,alikua na pesa balaa alikua anaweza kuvuna vitunguu kuanzia mwezi wa tano hadi wa kumi na moja na kla baada ya siku tatu mzigo unaenda nairobi, huyu jamaa( marehemu ) alikua akipenda bata kupita maelezo siku moja nikamshauri kwamba ajaribu kupunguza bata a pay attention zaidi kwenye buashara, akaniambia ndugu yangu acha nile maisha nimebakiza miaka minne tu ya kuishi, nilidhani uenda ana ngoma na kashakata tamaa, mwaka huu nilikutana na ndugu yake akaniambia jamaa alifariki mwaka jana, na kabla ya kufa alimwita mjomba wake akamueleza kwamba pesa zake zilikua za masharti na muda wake umefika wakati wowote atakufa. So vunja bei mwachane ale hizi pisi.Za masharti...nasikia analala ndani ya kigunia kama kiroba cha mchele..
Kkkkkk
Anauza malonya lonya, sababu wabongo mnapenda malonya lonya.....Hayo malonya lonya yake
Sababu ya kuanzisha hiyo kampeni ni ipi?
Hahahah Hadi mzee wa Mia Kenda nae akawakilisha baada ya jamaa kuwa na matusi mengi kwa WanaTafuta uzi jukwaa hili mzee baba, hadi loji aloenda watu wameiweka, iko pale mitaa ya sinza Wistaz sijui [emoji16]
Neema wa mitego[emoji1]Ney wa Mitego ni mtu wa majungu na kutukana watu, hata nyimbo zake nyingi ni za kudiss watu hasa wasanii wenzake.
Nyimbo yake ijayo wala usishangae akamdiss Vunjabei.
Huwa nashangaa na yeye eti huwa anasema anaheshimu wanawake wakati Ney ndio bingwa wa kutukana wanawake kwenye ngoma zake tena matusi makubwa makubwa ya kidhalilishaji.
Ila mi hata sikuona kosa la DC si alikua akimsifia tu mke wake 😂Hahahah Hadi mzee wa Mia Kenda nae akawakilisha baada ya jamaa kuwa na matusi mengi kwa Wana
[emoji1] jamaa pamoja kwamba anaweza muweka mtu ndani Sasa hivi Ila aleta ujuaji wajuba wanakula Tena na tena.Ila mi hata sikuona kosa la DC si alikua akimsifia tu mke wake [emoji23]
Kumbe anawakerrrrraaaa