Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

Huwa sichukui vitu personal,huwa sichangii kitu eti sababu ya jinsia yangu...naandika nachosimamia

Labda kama wewe umechukulia personal kwasababu huna pesa,hupendi kuombwa pesa na mwanamke wako ama sababu nyingine youote

Ukichukulia tu kiujumla...alichokiandika vunja bei kina ubaya gani hadi ufikirie kampeni uliyofikiria?
Wewe wawap,hatuzungumzii kumchukia MTU persono, hapa tunamtazama Fred vunjabei kama tajiri,mwanasiasa ,mdhamini mkubwa kwa uwezekaji mkubwa simba sports club,haangaliwi kama wewe usietaka kua wife material kama ushauriwako ndomana umekaza shingo hata uelewi tunasema nn




Haya njoo uchukue pesa nikumwagie mauji haya urudi kwenu pengine ndo utaelewa
 
Wewe wawap,hatuzungumzii kumchukia MTU persono, hapa tunamtazama Fred vunjabei kama tajiri,mwanasiasa ,mdhamini mkubwa kwa uwezekaji mkubwa simba sports club,haangaliwi kama wewe usietaka kua wife material kama ushauriwako ndomana umekaza shingo hata uelewi tunasema nn




Haya njoo uchukue pesa nikumwagie mauji haya urudi kwenu pengine ndo utaelewa

Hakuna sehemu nilipoandika kuhusu chuki,acha kukurupuka basi
Alichokiandika vunja bei hakina tatizo lolote kwa utajiri,uanasiasa wala udhamini wake wa SSC...labda ni wewe umelichukulia kistress

Pesa huna bhana wee,watu wenye pesa hawafananagi na wewe mzee....labda uniambie nije unimwagie hayo mauji for free,ila pesa???huna aseee
 
Hakuna sehemu nilipoandika kuhusu chuki,acha kukurupuka basi
Alichokiandika vunja bei hakina tatizo lolote kwa utajiri,uanasiasa wala udhamini wake wa SSC...labda ni wewe umelichukulia kistress

Pesa huna bhana wee,watu wenye pesa hawafananagi na wewe mzee....labda uniambie nije unimwagie hayo mauji for free,ila pesa???huna aseee
Matajiri hawana tabia za Kiswahili kama zake, utafikiri yeye ndo mtu wa kwanza kuwa pesa katika nchi, kwanza huyu mwamba ana nyota ya ukimwi
 
Hakuna sehemu nilipoandika kuhusu chuki,acha kukurupuka basi
Alichokiandika vunja bei hakina tatizo lolote kwa utajiri,uanasiasa wala udhamini wake wa SSC...labda ni wewe umelichukulia kistress

Pesa huna bhana wee,watu wenye pesa hawafananagi na wewe mzee....labda uniambie nije unimwagie hayo mauji for free,ila pesa???huna aseee
ushamba kazi karibuni mjin
 
Amekukosea nini? Uanzishe hiyo kampeni kwa kosa lipi?

Acha kua na mawazo ya kimasikini,mkiona mtu kanyanyuka kidogo tu mnaumia,

Hapo unatamani ashuke ili awe kama wewe badala ya wewe kutamani upande juu uwe kama huyo Fred.
Mpuuzi sana huyo jamaa!! Wabongo wana chuki ambazo hata haziwasaidii kwa lolote!! Unakuta hata kwenye maduka yake hajawah kukanyaga af anaandika huo upuuzi!!!
 
Back
Top Bottom