Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wahuni wenye hela zao mjini hapa ma DonMuhuni gani alimchapia???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni wenye hela zao mjini hapa ma DonMuhuni gani alimchapia???
Wahuni sio watu huwez mtangaza demu wako kama bango!Kumbe wahuni walipita na mke wake
Naomba nije mimi mpendwa. Strictly between us!Hakuna sehemu nilipoandika kuhusu chuki,acha kukurupuka basi
Alichokiandika vunja bei hakina tatizo lolote kwa utajiri,uanasiasa wala udhamini wake wa SSC...labda ni wewe umelichukulia kistress
Pesa huna bhana wee,watu wenye pesa hawafananagi na wewe mzee....labda uniambie nije unimwagie hayo mauji for free,ila pesa???huna aseee
Naomba nije mimi mpendwa. Strictly between us!
Pesa huna bhana wee,watu wenye pesa hawafananagi na wewe mzee....labda uniambie nije unimwagie hayo mauji for free,ila pesa???huna
🤣🤣sababu ya huo ujumbe n huu ujumbe wa FredView attachment 1847129
Kwa Hilo nitakusapoti mzee.Mwanangu Fred,mshamba aiseee
I thought the nigga was a different breed mpaka alipoanza kuongea ungese
Nadhani ana njaa kali sana ya kujulikana,hii njaa ya kutaka umaarufu inazidi njaa ya kufanya biashara,soon graphs zitapishana tutafute roots of the two quadratic equations!
Mo hata familia yake haijulikani.Fredy akienda hivi hatakuwa na tofauti na Mtandale na utajiri wake utaonekana hauna mashiko! Huwezi kukuta Mo anaandika upuuzi namna hii kwenye page yake [emoji28][emoji28][emoji28]
Huwa wanawazaga hapa kwa hapa tu.Kwa sababu kaongelea nyie kuhongwa sio unaona ameandika la maana hapo!
Mimi naomba utuambie wewe kina uzuri gani kwenu nyie?Huwa sichukui vitu personal,huwa sichangii kitu eti sababu ya jinsia yangu...naandika nachosimamia
Labda kama wewe umechukulia personal kwasababu huna pesa,hupendi kuombwa pesa na mwanamke wako ama sababu nyingine youote
Ukichukulia tu kiujumla...alichokiandika vunja bei kina ubaya gani hadi ufikirie kampeni uliyofikiria?
Kama hujui vitu uwe unakaa kimya ,tokea lini mbilinyi akawa mngoni?Sugu ni mngoni
Akina nani walimtombea mama zuriThis is what it is! Alianzaga Nikki wa pili na hizi ngonjera baada ya wahuni kumtombea sana akaamua akaushe maana alihisi yule mama Zuri ni malaika sana!😅😅😅