Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Punguza jazbaMatajiri hawana tabia za Kiswahili kama zake, utafikiri yeye ndo mtu wa kwanza kuwa pesa katika nchi, kwanza huyu mwamba ana nyota ya ukimwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza jazbaMatajiri hawana tabia za Kiswahili kama zake, utafikiri yeye ndo mtu wa kwanza kuwa pesa katika nchi, kwanza huyu mwamba ana nyota ya ukimwi
Kile kinyama hakina baunsa...! Mfalme Suleiman mwenyewe alisanda.. Pesa ni sumaku na ulimbo mbaya kabisa"Naomba Mumkumbushe Fred kua walikuwepo wauza nguo kama yeye walikuwa na hela kuliko yeye, walikuwa washamba wa mademu wa mjini kama yeye na wakafilisika na hawapo tena, so na yeye kwa ushamba huo huo wa mademu tutamsahau ni muda tu #hawakatai zikiisha sasa." - Nay wa Mitego.
View attachment 1847115
Za masharti...nasikia analala ndani ya kigunia kama kiroba cha mchele..Sema pesa ni za kuwa nazo wakuu, mwamba anazidi kutusema sana kisa yeye ana pesa daaaah
Kukosa kazi tu.Sababu ya kuanzisha hiyo kampeni ni ipi?
Basi anamuonea 🤣🤣🤣🤣🤣sababu ya huo ujumbe n huu ujumbe wa FredView attachment 1847129
Lini kaingia kwenye list ya matajiri Tanzana?Tunahtaji kua na matajiri wanaoheshimu jamii inayowazunguka ,sio kuaza kuichonganisha....jiulize ney kwann aandike ujumbe huo vunjabei aliandika nn
Mkuu embu mpunguzie majukumu unaanzaje kumfananisha Vunjabei na Mo jamani 🤣🤣🤣Fredy akienda hivi hatakuwa na tofauti na Mtandale na utajiri wake utaonekana hauna mashiko! Huwezi kukuta Mo anaandika upuuzi namna hii kwenye page yake 😅😅😅
Hatari sana, jamaa kiuchumi kafanikiwa lakini ana ushamba flani kwa wanawake.This is what it is! Alianzaga Nikki wa pili na hizi ngonjera baada ya wahuni kumtombea sana akaamua akaushe maana alihisi yule mama Zuri ni malaika sana!😅😅😅
Hakuna zuri wala bayaMimi naomba utuambie wewe kina uzuri gani kwenu nyie?
Tena mtu anachukulia serious in a negative wayKukosa kazi tu.
Watu wanachukulia serious sana vitu vya kijinga tu.
sema mkinga unaemjua sio mkinga pekeeMkinga pekee mjanja i guess ni Sugu ingawa nae mhhh kuna kaushamba fulani kapo!!
We kweli kiande pure ...fuatilia utajua. ... Usimwezeshwe vitu afu ukaishia kukariri. ...Kama hujui vitu uwe unakaa kimya ,tokea lini mbilinyi akawa mngoni?
Sugu ni mkinga pure aliyekulia mbeya mjini .
We c mpokeaji ..so lazima vikuchekeshe Ila sisi watoaji ndo tunajua nadharia nzima ilipo .. Endelea kucheka mama ..Wanaume lawama nyingi kisa mwenzenu kasema kuhusu wanawake kupewa hela. Mbona vitu vingine vinachekesha sana.
Shida iko wapi kumpa hela mwanamke wako.We c mpokeaji ..so lazima vikuchekeshe Ila sisi watoaji ndo tunajua nadharia nzima ilipo .. Endelea kucheka mama ..