hivi huyo jamaa ameacha kubeti au bado anaendelea, maana namuona kachoka halafu mnyonge.Ujumbe huu
Mtafute LissuTuwekee na Ujumbe wa James Mbowe 🐼
Alilewa?Jambo la miaka zaidi minne iliyopita unaileta.
Leo wale ambao baada ya kifo cha Rais John Magufuli mwaka 2021 waliokuwa wanapinga Samia Hassan asirithi nafasi ya Urais bado wana msimamo ule ule?
Muambieni Lema sisi wachaga tuna msemo "Kwalya na Mangi kulankumbe kana-fo" yaani "Ukishiba na mkubwa usiseme siri zake"🐼Tuwekee na Ujumbe wa James Mbowe 🐼
Kwa hivyo hivi sasa sie yeye? 2026 atasema Lissu ni mlevi?Post ya 2020
Hii ni 2020 kabla hawajagundua mradi wa Mbowe ndani ya chama, sasa wanajuaUjumbe huu
Ujumbe wa 2020!!??Ujumbe huu
Huyu abadilishwe hata kwa watoto wa nguruwe 2 tu🤣🤣Kizazi Cha Mtoa mada ni rahisi kua replaced na marobot.
Matusi ya nini? Yeye anafanya nini sasa kama sio hayo hayo?Ujumbe wa 2020!!??
Wewe jamaa tofauti yako na ibilisi shetani ni sawa na unene wa makali ya wembe!!
Wewe ni tapeli kuliko kawaida.
Unastahili kupigwa mawe hadi ufe.
Kubeti ndiyo maisha yetu watanzania yaliyosababishwa na CCM kuwepo madarakani.hivi huyo jamaa ameacha kubeti au bado anaendelea, maana namuona kachoka halafu mnyonge.
Yuko sawa kweli?
So what? Post ya 2020 unatuwekea ili iweje? Malaria imeshapanda utosini. Naona unajitahidi kweli kwenye kampeni ya kuleta mpasuko ili mvune wanachama Katibu Mkuu wako kaeleza wazi ndiyo nimeelewa kwa nini umepiga kambi kwenye kampeni za uchaguzi wa Chadema. Ukweli wenyewe Chadema itaendelea kuwa imara zaidi kama kuna watakao ondoka ni wache sana msitegemee kama mlivyookota dodo baada ya CUF kupasuka .Ujumbe huu
Hamjashinda mnamatusi, kejeli, dharau. Mkipewa chadema si mtakunya juu ya meza ya Mbowe?Huyu abadilishwe hata kwa watoto wa nguruwe 2 tu🤣🤣