Ujumbe wa Afande Sele akimlilia Hayati Magufuli

Mwambieni afande sele aache bangi zake hizo,nchi hii ina watu zaidi ya M 60 wapi watakaoingoza kwa mafanikio zaidi ya Magufuli all in all CCM ilishashindwa kuongoza nchi hii tangu uhuru. Hakuna jipya zaidi ya Katiba mpya
 
Aiseeee !!!
 
Kwa hiyo anatuaminisha Watanzania kuwa ni Wazungu wamemuondoa.Haya ni maneno ya uchochezi.Pia sioni ajabu alichokisema na akili yake kinafanana na jina lake (Afande) Empty Brain
 
Huyo sio Afande Sele ni Mgambo Sele.
 
Kwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.

Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu
Empty Brain.Ikifika siku,saa,dakika,sekunde lazima uondoke kama alivyoondoka.Ukitaka kuthibitisha rejea walivyommiminia risasi kule Dodoma,lakini wapi,anadunda na anawasumbua ile mbaya.Siku yake ilikuwa bado.Acha ujinga wazungu watahangaika naye wa nini,kwani ana nini cha kutisha.Andika kwa kutumia akili na sio kwa kutumia.....................yako.
 
Kuna nyimbo ya afande sele aliimba mda inaitwa dini ukiisikiliza kwa makini utajua kabisa jamaa hana dini yupo yupo Bora siku ziende
 
Mimi ni msanii (mimi ni msanii)
Kioo cha jamii (kioo cha jamii)
Mimi naona mbali (mimi naona mbali)
Kwa darubini kali (kwa darubini kali)
 
mh, Lissu anansumbua Nan sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…