Ujumbe wa Afande Sele akimlilia Hayati Magufuli

Ujumbe wa Afande Sele akimlilia Hayati Magufuli

Baba yenu sikubaliani na matusi ila nina angalizo. Afrika, kabla ya kuletewa hizi dini za kiarabu na kiyahudi za akina Yehova na Allah, ilikuwa safi na tulivu. Lakini baada ya kuja dini hizi nyemelezi, mara tukapelekwa utumwani. Mara tukaletewa ukoloni, ubaguzi na kila aina ya jinai. Kimsingi, dini hizi ndizo zillizotumiwa na wazungu kutulainisha na kutupeleleza tayari kwa kututawala. Kwenye kifo cha Magufuli, ni kifo kama kingine. Kwanini Mkapa afe kwa shinikizo isiwe sababu? Tuamini kuwa kila mtu atakufa na hatujui atakufaje.
R I P JP MAGUFURI.
 
Kwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.

Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu.

Najiuliza why yeye na msaidizi wake kijazi wafariki ndani ya muda mfupi kwa ugonjwa mmoja.. nahisi mtego waliotegwa na wakanasa ulikuwa unaenda kuvunja moyo kufanya kazi.. sitashangaa akifa mwingine kwa moyo tena
Kwamba yeye alikua ni bidamu wa tofauti kabisa ambae hakutakiwa kufa??.

Tupunguze kuzipangia cha kufanya nguvu zilizo nje ya uwezo wetu,kiburi huwa kinakua na mwisho mbaya sanaa.

Nashawishika kuamini, wenye mawazo ya kumuona jiwe alikua tofauti na watanzania wengine, ndio kumetufikisha hapa tulipo
 
Ifike wakati tukubali hali halisi iliyokuwepo..kama wengi wetu tuliamini Magu ni mpango wa Mungu kwanini kwa sasa tusikubali ni mpango wa Mungu unaendelea...

Kazi aliyoanza Mungu huwa anamaliza mwenyewe hakuna wa kumpangia wala kumzuia..

Njia yetu moja pumzika kwa salama jembe
Ni hao hao kucha kutwa wanaimba uwezo wa mungu, ila ni hao hao hawaamini mungu anaweza kukatisha uhai wa mpendwa wao magu.

Mbaya zaidi hata historia ya magu kua mgonjwa tangu enzi na enzi,hawataki kuizingatia[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.

Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu.

Najiuliza why yeye na msaidizi wake kijazi wafariki ndani ya muda mfupi kwa ugonjwa mmoja.. nahisi mtego waliotegwa na wakanasa ulikuwa unaenda kuvunja moyo kufanya kazi.. sitashangaa akifa mwingine kwa moyo tena
Upo sahihi mkuu. Tumepoteza mtu muhimu sana
 
Kwamba yeye alikua ni bidamu wa tofauti kabisa ambae hakutakiwa kufa??.

Tupunguze kuzipangia cha kufanya nguvu zilizo nje ya uwezo wetu,kiburi huwa kinakua na mwisho mbaya sanaa.

Nashawishika kuamini, wenye mawazo ya kumuona jiwe alikua tofauti na watanzania wengine, ndio kumetufikisha hapa tulipo
Kiburi huwa na mwisho mbaya sana inaweza kuwa kweli ila huwa kuna watu hawana kiburi ila huwa na mwisho mbaya sana nao kwahio maisha hayana formula muda mwingine
 
Kiburi huwa na mwisho mbaya sana inaweza kuwa kweli ila huwa kuna watu hawana kiburi ila huwa na mwisho mbaya sana nao kwahio maisha hayana formula muda mwingine
Hua ina bariki sana sanaaaa,inapo tokea ukawa mwisho mbaya huku ulikua mtu mnyenyekevu kwa walio chini yako. Hiyo itapunguza maumivu kwa familia na jamiii husika.
 
Kiburi huwa na mwisho mbaya sana inaweza kuwa kweli ila huwa kuna watu hawana kiburi ila huwa na mwisho mbaya sana nao kwahio maisha hayana formula muda mwingine
Hua ina bariki sana sanaaaa,inapo tokea ukawa mwisho mbaya huku ulikua mtu mnyenyekevu kwa walio chini yako. Hiyo itapunguza maumivu kwa familia na jamiii husika.
 
Wazungu mbona huwa mnawafikiria vibaya hivyo?wao wafikirie kutuangamiza sisi kwa lipi?
Wazungu wenzetu wametuacha mbali sana yaani gap ni kubwa mno kimaisha/kimaendeleo na ustawi wa jamii...tuko nyuma tukijilinganisha nao ni dhahiri wametuacha kwa zaidi ya miaka mia!

Ni sawa na mtu mfanyabiashara mkubwa wa madini aishiye hapa Dar Ktk hekalu lake huko Masaki anayemiliki gari kali za kisasa za kutembelea na malori na mashine kubwa za madini..eti...akose usingizi kufikiria kwenda kumfanyia ubaya mkulima mwananchi wa kawaida anayeishi huko kwetu Bukene kijiji cha mambali...akimiliki usafiri wa punda.....sijui kama hata muda wa kufikiria hayo utakuwepo!

Jamani tutembee duniani tujionee tutembee tujifunze!.....exposure nayo muhimu!!
 
Back
Top Bottom