Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Serikali haina dini,
Ila nadhani Afande Sele alijua atakula ulaji soon wa uteuzi
Ila nadhani Afande Sele alijua atakula ulaji soon wa uteuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni voice note sema ina matusi ya nguoni anamtukana Sir God aka Allah so nashindwa kuiweka.
Mkuu Corona ipo ila hao jamaa wanahusika kwenye hilo tukio kuna mdau kaelezea vizuri athari za kauli zake alizokuwa akizitoa kuhusu korona
Mapadri waliokufa wengi kwa muda mfupi hujawaona? Vipi kuhusu umeme (pacemaker) aliyowekewa moyoni ulimwekea wewe? Kwanza washukuru wzungu kwa kurefusha maisha yake including Calcium channel blockers bila kusahau Protease inhibitors and reverse transcriptase inhibitors ambazo amekuwa akibugia karbu kila sikuKwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu.
Najiuliza why yeye na msaidizi wake kijazi wafariki ndani ya muda mfupi kwa ugonjwa mmoja.. nahisi mtego waliotegwa na wakanasa ulikuwa unaenda kuvunja moyo kufanya kazi.. sitashangaa akifa mwingine kwa moyo tena
Mabeberu HawatupendiMabeberu washafanya yao
Hasa unapovutia mstuniBangi mbaya
Wengi wa wanaokufa kwa COVID 19 ni wale wenye magonjwa yasiyoambukiza na magonjwa nyemelezi. Digest [emoji121]Michezo ya kikubwa hiyo uwezi elewa. Wenyewe wanaita kufix yani unatafutiwa angle yako weak unamalizwa umo umo
Apimwe mkojo fastaAfande amemlaumu sana Mungu kwa kutuonea waAfrica.
Ameshauri watanzania na waAfrica kuachana na dini za wazungu tuamini mizimu yetu na jua.
Amesema hayo akishangaa kwa nini Mungu aliyepewa kipaumbele na JPM ameshindwa kumlinda na husda za wazungu mpaka wakafanikiwa kumuondoa.
Kama uko na watoto au wazazi plies hii video kasikilizie chumbani kwakoKideo tafadhali tujionee vituko na makufuru.
Kwa hiyo hiyo piecemaker uliweka wewe?Mapadri waliokufa wengi kwa muda mfupi hujawaona? Vipi kuhusu umeme (pacemaker) aliyowekewa moyoni ulimwekea wewe? Kwanza washukuru wzungu kwa kurefusha maisha yake including Calcium channel blockers bila kusahau Protease inhibitors and reverse transcriptase inhibitors ambazo amekuwa akibugia karbu kila siku
NishamwekeaNi voice note sema ina matusi ya nguoni anamtukana Sir God aka Allah so nashindwa kuiweka.
https://youtu.be/YbYB3UPC5G8Kideo tafadhali tujionee vituko na makufuru.
Kama uko na watoto au wazazi plies hii video kasikilizie chumbani kwakoView attachment 1729458
hii sio hojaMbona hata suruali umeletewa vua uvae kibwaya!
Kama uko na watoto au wazazi plies hii video kasikilizie chumbani kwakView attachment 1729458