Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Inasemekana hata wale watoto siyo wake ni WA marehemu eti wanasema😂😂 masanja lazima awe chizi kw amda hili ni tukio baya sana kisaikolojia
 
Yawezekana ni Moja masharti ya huo uchungaji wa mwendokasi alioupata
 
Embu tupe mkasa mzima wacha kutupa kwa mafungu.
 
Mweee...tatizo watu awataki ukweli kiwa binadamu hatujaumbiwa kutulia na mtu mmoja
 
Nini solution ya hili tatizo mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…