Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Monica atakwenda msibani?
Kiongozi wa kikazi wa marehemu atatoa hotuba gani kwenye mazishi?
 
Katibu wa kanisa la Masanja amejiua na kuacha ujumbe mzito, alikua anatoka kimapenzi na Mke wa Masanja . Kisa hicho kimemfanya masanja asihudhurie kipindi cha wasafi cha Sunday worship je? Masanja na mke wake watatokea msibani?

Soma hapa ujumbe aliouacha marehemu [emoji1313][emoji1313]
UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA MASANTU AKA (MSUKUMA WA MASANJA)

Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa
REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA
BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,
SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.
Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
 
Kamuharibia mwenzie
Mapenzi gani hayo sasa.
Sijui masanja ana hali gani
Jambo kama hili kwa mwanaume ni fedheha kubwa kuliko mwanaume akijulikana na mkewe kachepuka......na mara nyingi wanaume hawako tayari kukubaliana na hali hiyo, kaeni mkilijua hilo kichwani.
 
Comment kubwa sana hii
 
Umeongea kikubwa
 
Jambo kama hili kwa mwanaume ni fedheha kubwa kuliko mwanaume akijulikana na mkewe kachepuka......na mara nyingi wanaume hawako tayari kukubaliana na hali hiyo, kaeni mkilijua hilo kichwani.
Mbona tunajua tangu enzi za mababu
 
Jinga hilo linajiua kisa papuchi!!!
Sisi wengine huku papuchi za maana zinatulazimisha tuzile free of charge.
Dunia haiko sawa..))
Vijana kazeni matako kutafuta pesa papuchi zimejaa tele kitaa..))
 
Umeongea kibaharia sana bigup mlezi wa wana
Wake zetu hawa ukisema uchunguze sana utakuja sababisha wanao waishi bila mama bure
 
[emoji28][emoji28][emoji16][emoji3578]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…