Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Wazazi wamepata hasara ,nahisi huyo kijana ndio alikuwa anajifunzia kula mbusumbusu ukubwani
 
Huyo katibu wake ndio aliejinyonga?. Nimesoma juu juu kumbe kisa ni hiki?. Hebu kilete kwa upana mkuu. Wengine hatujui vizuri ilikuwaje
 
Bila shaka kuna jambo lilimkuta
 
Bora kitumbua changu nikigawe nje ya jf
Humu siku mkigombana mtu hashindwi kuja na kupost papa langu likiwa na zivu
Hahaha eti papa langu🤣🤣🤣🤣
Wee gawa huko nje bwana ila muhimu unamuwakilisha shetwaiin vilivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…