Hivi whatsapp story ndo whatsapp status?Kama alimwandikia huyo Monica ili asije kuiona mitandaoni kwa mara ya kwanza, so nani kavujisha.
Je ni Monica?
Huu ni uzushi tu
Unaipinga sana hii. Tujuze vizuriKama alimwandikia huyo Monica ili asije kuiona mitandaoni kwa mara ya kwanza, so nani kavujisha.
Je ni Monica?
Huu ni uzushi tu
Ukitumia kichwa cha juu vizuri utagundua kuna lengo la kuchafuana.Unaipinga sana hii. Tujuze vizuri
Hata sijui mamy, mimi mshamba tuπHivi whatsapp story ndo whatsapp status?
Inasemekana alituma whatsapp story baada ya kumtumia Monica na Monica hakujali wala kumjibu.
Embu nieleweshe kuhusu wazap stori na wazap status
Halitapita, tutaliundia Uzi Kila sikuMUNGU wa mbingun awavushe ktk kpindi hchi kigumuu,naami masanja ataomba nalo hilii litapitaa.
Hebu ngoja tuone mwisho wa hii movieUkitumia kichwa cha juu vizuri utagundua kuna lengo la kuchafuana.
Huwa simkubali Masanja lakini kwenye uonevu tuseme pia.
Jiulize tu.
Hii barua amemtumia Monica ili aokoe jahazi.
Pili aanze kuisoma ili asijekuiona mitandaoni.
Ikiwa ni kweli;
1. Monica asingemkubalia ajiue
2. Monica asingeisambaza mtandaoni pia.
3. Hatujaona ameandika copy kwa Monica hivyo tungeamini kuwa kweli aliandika na copy kamtumia Monica.
We vuta ile kitu usome upya kwani ukiipiga ile kitu huwa haisemi uongoπ€£
wachache sana tutakuelewa.Hizi tamthilia za Kifilipino wanazoangalia vijana wetu zinawatesa sana! π€¦πΎββοΈπ€¦πΎββοΈπ€¦πΎββοΈ
Ukiambiwa utakuwa uyaone siyo magari wala majumba makubwa ni pamoja na mambo kama haya hapa ndipo roho ya kiume unatakiwa kuionyeshaUmeongea kibaharia sana bigup mlezi wa wana
Wake zetu hawa ukisema uchunguze sana utakuja sababisha wanao waishi bila mama bure
Masanja yupo kwa Biden anakula bata, hakuna movie hapo Mon keshaliwa kimasihara tusubiri tuone msamaha wa bishop kwa 'wife material' wake.Hebu ngoja tuone mwisho wa hii movie
pls acha kufananisha mke wa mkandamizaji na vitu visivyoeleweka. tafadhali.Demu mwenyewe mbaya tu halafu ana matege.Je angekuwa kama Nandy ingekuwaje? Jamaa mpumbavu kabisa.
Je tutaenda kwenye msiba wa katibu?Masanja yupo kwa Biden anakula bata, hakuna movie hapo Mon keshaliwa kimasihara tusubiri tuone msamaha wa bishop kwa 'wife material' wake.
Imeisha hiyo.Hebu ngoja tuone mwisho wa hii movie
Je tutaenda kwenye msiba wa katibu?