Ujumbe wa Dr. John Karugia: Watanzania lindeni sana rasilimali zenu

Ujumbe wa Dr. John Karugia: Watanzania lindeni sana rasilimali zenu

Ndg yetu jiran yetu Mkenya, tunashukuru nawe kuchangia katika suala la Bandari zetu za Tanganyika. Hila kuna wale Chawa wabwatukaji watakwambia wewe hayakuhusu, wewe ni Sukuma gengi na mengi mengineyo. Huku kwetu tumeamua sio kumpa kwa 100% ila tumempa kila kitu, uhuru wetu na mamlaka ya kufanya chochote akitakacho pasipo kuhingiliwa na yeyote hata serikali. Na hata hivyo anachukua maeneo yote yanye kuzungukwa na maji kwa maisha yote labda Bahari, Maziwa na Mito vikauke ndo ataondoka lah mpk akirudi mkombozi wetu YESU KRISTO siku ya kiyama. Sijui ni uMangungo wa kihasi gani sijui kwa kweli.
 
Back
Top Bottom