ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rais yupi kauza Mali za Nchi?Hata kama Rais huyo anauza hovyo rasirimali za nchi Kwa wageni bila kikomo?! Nataka kujua ni wakati gani Rai's wa nchi anakuwa mhaini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais yupi kauza Mali za Nchi?Hata kama Rais huyo anauza hovyo rasirimali za nchi Kwa wageni bila kikomo?! Nataka kujua ni wakati gani Rai's wa nchi anakuwa mhaini?
Wa Akudo sound. Pumbavu kabisa weweRais yupi kauza Mali za Nchi?
Onyo tuu nyie endeleeniWa Akudo sound. Pumbavu kabisa wewe
Ndg yetu jiran yetu Mkenya, tunashukuru nawe kuchangia katika suala la Bandari zetu za Tanganyika. Hila kuna wale Chawa wabwatukaji watakwambia wewe hayakuhusu, wewe ni Sukuma gengi na mengi mengineyo. Huku kwetu tumeamua sio kumpa kwa 100% ila tumempa kila kitu, uhuru wetu na mamlaka ya kufanya chochote akitakacho pasipo kuhingiliwa na yeyote hata serikali. Na hata hivyo anachukua maeneo yote yanye kuzungukwa na maji kwa maisha yote labda Bahari, Maziwa na Mito vikauke ndo ataondoka lah mpk akirudi mkombozi wetu YESU KRISTO siku ya kiyama. Sijui ni uMangungo wa kihasi gani sijui kwa kweli.
Tumeanza kushtukiana. Ukiona kwenye vikao vyetu dili anapewa 'Kibajaji', kulisemea. Tunashtuka sanaWe jamaa umeamua kuwasigina ccm wenzako😆😆😆
Asante kumuelewesha huyo, wao wanatisha wengine. Kwa nini wasiwapeleke ktk mashitakaSheria zipo kwa yeyote anayezivunja nendeni mahakamani kama una ushahidi wa hayo matusi, kinyume na hilo ni malalamiko.
Ila kweli😆😆Tumeanza kushtukiana. Ukiona kwenye vikao vyetu dili anapewa 'Kibajaji', kulisemea. Tunashtuka sana