Ujumbe wa Feisal Baada ya Kushindwa Kesi dhidi ya Yanga

Ujumbe wa Feisal Baada ya Kushindwa Kesi dhidi ya Yanga

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Post ya Feisal baada ya Maamuzi ya kamati na hadhi ya wachezaji ya TFF
0D14F8C7-988A-4979-AB85-C9D23E8B3C38.jpeg
 
Asisahau kwamba "wakati ni ukuta hauwezi ukashindana nao",ningekuwa mimi ningejishusha tu maisha yaendelee kuliko hivi kusumbuana miezi ikisogea hatma ikiwa haijulikani.

Hao yanga watamtia njaa huyo mtoto akija kushtuka atakuta amebaki na hela ya kununulia mtumbwi wa uvuvi tena ule manual akavulie Kasa huko kwao Pemba.
 
Jinga sana huyo...
Ila sio fair kabisa kwamba Lazarus Kambole na Herritier Makambo wamezidi mshahara Feisal. Siyo fair hata kidogo. Kwanini wazawa wanaradharauliwa hivi?

Pale Msimbazi inabidi Mzamiru naye alianzishe. Haiwezekani Sawadogo awe na mshahara mkubwa vile.
 
Back
Top Bottom