Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
lugha za hovyo sanaNiweke dole
( nishushe kituo kinaitwa Dole )
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lugha za hovyo sanaNiweke dole
( nishushe kituo kinaitwa Dole )
Huyu nae kisogo walimtoaPost ya Feisal baada ya Maamuzi ya kamati na hadhi ya wachezaji ya TFFView attachment 2611285
Kasa wenyewe wanasumuAsisahau kwamba "wakati ni ukuta hauwezi ukashindana nao",ningekuwa mimi ningejishusha tu maisha yaendelee kuliko hivi kusumbuana miezi ikisogea hatma ikiwa haijulikani.
Hao yanga watamtia njaa huyo mtoto akija kushtuka atakuta amebaki na hela ya kununulia mtumbwi wa uvuvi tena ule manual akavulie Kasa huko kwao Pemba.
Hujui anapitia kitu ganiJinga sana huyo...
hahahahalugha za hovyo sana
Hata Kwenye maisha ya kawaida kuna mungine ana gorofa mungine ana kibanda, wewe mwenye kibanda ukianza kuhoji kwanini Ana gorofa ni uchawi na wivu , sana sana labda uombe ushauri namna ya kutoboaIla sio fair kabisa kwamba Lazarus Kambole na Herritier Makambo wamezidi mshahara Feisal. Siyo fair hata kidogo. Kwanini wazawa wanaradharauliwa hivi?
Pale Msimbazi inabidi Mzamiru naye alianzishe. Haiwezekani Sawadogo awe na mshahara mkubwa vile.
Yanga ya wahuni imekutana na TFF ya waoga ambayo inataka kurudisha usela kupitia shitaka la FeisaliUmepoa zile makala zako zimeishia wapi?
Haki ya mtu haipotei kizembe nendeni CASYanga ya wahuni imekutana na TFF ya waoga ambayo inataka kurudisha usela kupitia shitaka la Feisali
Dogo kayakanyagaPost ya Feisal baada ya Maamuzi ya kamati na hadhi ya wachezaji ya TFFView attachment 2611285
Dogo huyo anataka kuvunja mkataba na Bado Sheria ya FIFA inambana na isitoshe kuvunja mkataba itaitajika yeye na yanga na sio wakili wake asimame Sasa hapo atawezaje na huku nyumba ameshayakanyagaYanga wameshika fimbo kidogo tu tayari washaanza kujiona Musa
Wote ni mbumbumbu hawana akiliWalio na akili ni wawili tu
Sheria gani ambayo inambana?Dogo huyo anataka kuvunja mkataba na Bado Sheria ya FIFA inambana na isitoshe kuvunja mkataba itaitajika yeye na yanga na sio wakili wake asimame Sasa hapo atawezaje na huku nyumba ameshayakanyaga
Mkataba au sheria ndo inamkataza kutumia wakili? HahahaMkataba wa Feisal uko wazi kuvunja itakuwa ni ngumu inabidi ajipange sana maana Sheria Bado inambana hapo wakukaa mezani kuvunja ni yeye na yanga na sio wakili wake kama anavyomtumia sahivi
Wangekua wanamlilia hata timu ingeshapotea...... Kikubwa kufundishana adabu liwe funzo na kwa wengine wenye mawazo hayoYanga ni timu ndogo sana.
Wanamlilia mchezaji .moja tu namna hiyo??
Hili sakata la huyu dogo limenisaidia kupata majibu ya kwa nini aliitwa Fei Toto.Post ya Feisal baada ya Maamuzi ya kamati na hadhi ya wachezaji ya TFFView attachment 2611285