mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Kilichobakia aende CAS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo dogo kayakanyagaKilichobakia aende CAS.
Kule hawarembi. Faini nje njeHuyo dogo kayakanyaga
Huenda hata kunfungia soka asipoangaliaKule hawarembi. Faini nje nje
Baada ya maamuzi haya ataenda wapi? Maana hataki kwenda CAS wala kurejea Yanga ili akaelezwe namna ya kuvunja mkatabaHuenda hata kunfungia soka asipoangalia
Alhaji Ismail Aden Rage amesema shida ya Feisal ni wale wanaomzunguka Hawajui Sheria za Fifa. Amemtaka aende Yanga ili wamalizane na kama anaogopa kwenda peke yake waende wote na yeye atajadiliana na Yanga ndani ya masaa 24 atalimaliza suala lake.Hayo ni matendo ya jinsia ya kike ni ishara ya udhaifu mkubwa sana.
aah!!!wa zanzibar kwa mipasho si ndo wenyewePost ya Feisal baada ya Maamuzi ya kamati na hadhi ya wachezaji ya TFFView attachment 2611285
We kila mtu classmate wako?Kaza hapo hapo classmate
2024 itafika na dogo kiwango kitakuwa kimeshuka. Hao Azam si ndo watamsajili kwa million mbili kwa mwezi.
Dgo hajui kwamba yanga ni taasisi,ataondoka yeye Na taasisi ni immortal apa yanga hakuna busara ni sheria ifate mkondo
Asisahau kwamba "wakati ni ukuta hauwezi ukashindana nao",ningekuwa mimi ningejishusha tu maisha yaendelee kuliko hivi kusumbuana miezi ikisogea hatma ikiwa haijulikani.
Hao yanga watamtia njaa huyo mtoto akija kushtuka atakuta amebaki na hela ya kununulia mtumbwi wa uvuvi tena ule manual akavulie Kasa huko kwao Pemb
Hataki mnamzalimisha Wa nini?Mkataba wa Feisal uko wazi kuvunja itakuwa ni ngumu inabidi ajipange sana maana Sheria Bado inambana hapo wakukaa mezani kuvunja ni yeye na yanga na sio wakili wake kama anavyomtumia sahivi
Nawe huna akili timamu,kwani makubaliano ya hiki anacholipwa sasa si alifanya yeye mwenyewe?Ila sio fair kabisa kwamba Lazarus Kambole na Herritier Makambo wamezidi mshahara Feisal. Siyo fair hata kidogo. Kwanini wazawa wanaradharauliwa hivi?
Pale Msimbazi inabidi Mzamiru naye alianzishe. Haiwezekani Sawadogo awe na mshahara mkubwa vile.
Wewe inaonyesha ndio Hawa Wanafunzi wanaofanya mtihani wa Taifa Sasa hiviVurugu Gani mtu kudai haki yake??
Huyo ni binadamu ana haki ya kufanya akipendacho sio mtumwa wa mtu.
Yanga wanachofanya ni kukiuka haki za binadamu.
Ni ubinafsi tu wa hao viongozi.
Jiweke wewe kwenye viatu vyake uyasikie maumivu yake.
Chekechea mnafanya mitihani lini??Wewe inaonyesha ndio Hawa Wanafunzi wanaofanya mtihani wa Taifa Sasa hivi
Haina shida alipe vya watu aondokeHapo fomu tu ndo itakuwa chini, lakini class ipo palepale.
Dogo atarudi kwa kasi.
Ana miaka mingapi ?Halafu huyu huwa anaumia umia sana.Hapo fomu tu ndo itakuwa chini, lakini class ipo palepale.
Dogo atarudi kwa kasi.