Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Ila sio fair kabisa kwamba Lazarus Kambole na Herritier Makambo wamezidi mshahara Feisal. Siyo fair hata kidogo. Kwanini wazawa wanaradharauliwa hivi?Jinga sana huyo...
Umepoa zile makala zako zimeishia wapi?Yanga wameshika fimbo kidogo tu tayari washaanza kujiona Musa
Niweke dolealinigonga refa aka weka[emoji23][emoji23]
Bado ana kesi ya kulipa fidia kifupi ni kwamba ameumaliza mwendo2024 itafika na dogo kiwango kitakuwa kimeshuka. Hao Azam si ndo watamsajili kwa million mbili kwa mwezi.
tena zaid ya TaasisiDgo hajui kwamba yanga ni taasisi,ataondoka yeye Na taasisi ni immortal apa yanga hakuna busara ni sheria ifate mkondo wake
πNiweke dole
( nishushe kituo kinaitwa Dole )
Sikweli , poleni lakini2024 itafika na dogo kiwango kitakuwa kimeshuka. Hao Azam si ndo watamsajili kwa million mbili kwa mwezi.