Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
"From third world to first world" ni kitabu kinachoonyesha Singapore walivyopambana kujinasua kutoka katika umasikini mkubwa...naona viongozi wetu wakisome hiki kitabu kwa lazima...nani aliyeturoga Waafrika???au hatuna akili kama wanadamu wengine??miaka 57 ya Uhuru ilitosha kuwa na uchumi mkubwa kupita hata baadhi ya nchi za Asia.. tuna wasomi wa kweli au wafoji vyeti na wababaishaji tu..amini nawaambia vizazi vijavyo watafukua makaburi yenu na kudhalilisha mabaki yenu na vizazi vyenu..maana mtawaachia umasikini ambao dunia haijawahi kushuudia...