Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa Rais Macron wa Ufaransa

Kihistoria, viongozi wa kidini wa Iran ambao walifanya mapinduzi ya uongozi uliokuwepo wa Iran walitokea Ufaransa. Aliyekua rais wa PLO bwana Yasir Arafat alivoanza kuumwa, alikimbilia Ufaransa kwenda kutibiwa na kufia huko. Wakati wa mgogoro wa USA na Afghanistan and then Iraq, Ufaransa walimuunga mkono USA kwa vita yake kule kwa Wataleban lakini same France alipingana na USA kuhusu vita yake na Iraq, cha mwisho ni hiki; wakati Russia imeivamia Ukraine, USA and his allies from Europe, France alionesha upinzani mkubwa hasa mara baada ya Russia kuwekewa vikwazo na Russia nayo ikawajibu so to answer your question, ni kwamba Ufaransa imeonekana ina mafungamano makubwa sana na nchi pinzania kwa mataifa ya Ulaya na Israeli, hapa Iran ndio anaeongoza. Iran na France wanaonekana wana urafiki wa siri siri. Nimefanya hitimisho hilo based on history
 
Israel haiachwi milele
 
Mtu anapewa silaha halafu anakoromea watoaji ..ashukuru hapo walilpomfikisha ..hamna mtu atakayemsikiliza maana busara kwake ni mtihana
Jiulize kwani nini anawakoromea na anajiamini kwa lipi?
 
Chizi mama yako mzazi kobazi wewe mtaisha nyau nyieeee
 
Ustumie mda mwingi kuandika utumbo hapa..nyie ndo bendera fata upepo hata chanzo cha Vita hukijui
 
Hao wanaopigwa lengo ni kuua magaidi hata walio tumboni.
Umebaki wewe kuuliwa
 
Huyu jamaa kiburi ndicho kinachomuangusha.
Ana kiburi cha KIPUMBAVU,ila bora hata Macron alivyomtolea nje.
Maana mwaka huu si alimuua French ambassador official pale Palestina!?
Muache ale jeuri yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…