Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Status
Not open for further replies.
Hahahaha... Le super mtindiz... Unamake money wap... Nadhan unatunzwa tu na marafik zako... Hahahaha yu know
 
Hahahaha... Le super mtindiz... Unamake money wap... Nadhan unatunzwa tu na marafik zako... Hahahaha yu know

- hahahahhaa yale yale ya mlevi kuamini wengine wote ni walevi, utakuwa unatunzwa na wanaume mjini so unadhani wengine wote ni kama wewe hahahahahaha pole sana hahahahahahaha U know

le Mutuz
 
Hahahaha.. Le super mtindiz ulikuwaga role model Wang especially kwenye masuala ya elimu... Ila hii life style yako ya imenishinda aisee. .. Hv super mtindiz unaishu gan zaid ya kubebwa na marafik zako hapa town. . Hahaha



- hahahahahaha umeona ndani ya bajaji that is how we hustle hapa town, nipo ofisini nikitoka hapa ni Mliman City Samaki Samaki, Tripple Seven, then Club Next Door kama una ubavu wa kula bata tukutane huko, hahahahahaa kutunzwa na wanaume mjini ni tabia ambayo hauwezi kuijua kama wewe mwenyewe hutuznwi na wanaume hahahahahaha pole sana rudi kwenu kijijini maana mtoto wa kiume kama wewe kutunzwa mjini tena na wanaume duh! hahahahahahhaa

le Mutuz
 
Hahahaha... Le super mtindiz... Unamake money wap... Nadhan unatunzwa tu na marafik zako... Hahahaha yu know


- Kuna mtu alisema ninaishi Hotelini, hapana hapo ndio my home Downtown sijawahi kuishi hotelini unless kama nimesafiri nje ya mji, hahahaha so rekebisha huo ujinga na kama una ubavu weka na wewe unapoishi tuone kama tunafanana please!

le Mutuz
 
Huu uzi kama umechoka hivi unatafuta usingizi unafaa sana
 
Hahaaaa haya msiyempenda kaja kudadadeki...wote mmesepa
 

- yaani mimi niache mabebezz super mtindiozz kwa sababu ya wewe mjinga? Sasa unataka nikuoe wewe mtoto wa kiume? hahahahahahaha peleka ujinga huko kwa wajinga wenzako hahahahahahaha umeona huo mtindizz lakini?

le Mutuz
Hahahahahahahahaha Ila all and all napenda unavyotupenda wanawake hahahaha nakojoa
 
Ungeweka na ile picha ya Noah yako mambo ingekuwa bampa to bampa. Watu lazima wajue upo njema alaaagh!!
 
ukamwacha mama yako akafia kwenye jumba bovu we unatanua mjini hahaa laana nyingine bhana


- Hoja yako ya msingi ni mimi unaniona live nakula batazzz, mama yangu alikuwa na maisha yake na mimi nina yangu kinachokuuma ni maisha yangu hayo nazidi kukupa picha za maiosha yangu, mama yangu hahusiki ni marehemu muwache cheza na mimi, ukitaka ajira karibu sana ila mimi huniwezi sio size yako hahahahahaha ona batazzz hizo kwenye picha tena mubasharazzz

le Mutuz
 
Kuna kitu kinaitwa human right kimaheshimika sana nchi za magharibi...nadhani le mutuz ana haki ya kuishi maisha anayotaka bila kupangiwa...siungi mkono hoja ya ushauri wako na sidhani Kama ni sahihi kupendekeza ushauri wako

- hahahaha ndugu yangu yangu usijali hakuna kitu kizuri in life kama kucheza na akili za wajinga kama huyu mleta mada cause alidhani atanichafua kumbe wameshindwa wengine wengi kabla yake hapa na kwenye real life, hahahahahaha huoni kwamba amenipa nafasi ya kuonyesha maisha yangu yalivyo genuine na uhakika that is all I could ask kutoka kwa any fool, hahahahahaha so worry not boss

le Mutuz
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahaaa le pumbuz hahaa kaz kulala hotelini tu hahaha huna hata nyumba huna hata tofali kazi kulala kwenye stoo za hotel tu


- UMEONA SIKU ZINGINE huwa nakodi boti naenda kula batazz na wabebezz baharini ndio maisha yangu haya, wewe piga kelele ushahidi huna wa unachokisema mimi nakupa ushahidi live ona mambo hayo



- Dogo kcheze gololi na watoto wenzako mimi sio size yako ni ngoma kubwa hii huiwezi hahahahaha ona wabebezz baharini hiyo kwenye boti

le Mutuz
 


- umeona nimekuja wanajikanyaga kanyaga na bando la ku beep hahahahahahahhaa ngoja niwape habari kamili za batazz batanann

le Mutuz
Naona umeshikwa pabaya mkuu badala ya kujibu kwa hoja unatupia picha za wake za watu
Lumumba mna shida Nyie
Mkuu unazungumziaje suala la kunuka miguu eti ni kweli
 
Naona umeshikwa pabaya mkuu badala ya kujibu kwa hoja unatupia picha za wake za watu
Lumumba mna shida Nyie
Mkuu unazungumziaje suala la kunuka miguu eti ni kweli

- siwezi kujibu ujinga cha msingi mmelilia maisha yangu ndio hayo kwenye mapicha, sasa mnahangaika unadhani mimi naishi kwa kuigiza hahahahaha mmekwama huna maisha ndio maana utakufa uanfuatilia maisha ya wanaume wengine all your life hahahahahaha

le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…