Ujumbe Wangu kwa Rais Samia siku ya Leo kuhusu Wafanya Biashara

Ujumbe Wangu kwa Rais Samia siku ya Leo kuhusu Wafanya Biashara

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Rais wangu wa Tanzania, Wasalaam!

Iwapo kweli umechagua kuwa chura kiziwi, itoshe kukushauri kwamba uchague tena na maeneo ya kuwa kiziwi.

Sio kile kelele ihahitaji kuwa kiziwi, nashauri hili swala la wafanya biashara ujitokeze mwenyewe na iwe baada ya kupata ushauri wa kina. Kwa sasa ubebaki wewe tu kushugulikia hili swala.

Mara ya kwanza ilikuwa kariakoo tu sasa ni nchi nzima, na mwishoe italeta usugu. Hii itauwa mitaji ya baadhi ya wafanya biashara na itakuwa shida sana huko mbeleni, serikali pia itakosa pesa za kulipa mikopo hiyo. Neno lako moja tu linatosha.

Sipendi kuona mitaji ya wajasiliamali Ikipukutika, ila wao wamechoka kuwafanyia wajanja wachache waje wachukue wakapige ufisadi.

Lamda nikuongezee na hili, pale bungeni nako wanasiasa wanalindana sana huku mtaani waatu wanajua ukweli kwamba mawaziri wanabwia hela. Viwanda kama vya Sukari ndio vinaenda mwisho vile na wameshakata tamaa, msaada utoke wapi? Kuwa makini sana na hawa watu kabla nchi haijafika mbali

Nikutakie kilala kheri.
 
Sijui kama unaemshauri anafahamu nini kinaendelea Tz zaidi na yeye anasikia tuu.
 
Rais wangu wa Tanzania, Wasalaam!

Iwapo kweli umechagua kuwa chura kiziwi, itoshe kukushauri kwamba uchague tena na maeneo ya kuwa kiziwi.

Sio kile kelele ihahitaji kuwa kiziwi, nashauri hili swala la wafanya biashara ujitokeze mwenyewe na iwe baada ya kupata ushauri wa kina. Kwa sasa ubebaki wewe tu kushugulikia hili swala.

Mara ya kwanza ilikuwa kariakoo tu sasa ni nchi nzima, na mwishoe italeta usugu. Hii itauwa mitaji ya baadhi ya wafanya biashara na itakuwa shida sana huko mbeleni, serikali pia itakosa pesa za kulipa mikopo hiyo. Neno lako moja tu linatosha.

Sipendi kuona mitaji ya wajasiliamali Ikipukutika, ila wao wamechoka kuwafanyia wajanja wachache waje wachukue wakapige ufisadi.

Lamda nikuongezee na hili, pale bungeni nako wanasiasa wanalindana sana huku mtaani waatu wanajua ukweli kwamba mawaziri wanabwia hela. Viwanda kama vya Sukari ndio vinaenda mwisho vile na wameshakata tamaa, msaada utoke wapi? Kuwa makini sana na hawa watu kabla nchi haijafika mbali

Nikutakie kilala kheri.

Kwa sasa Serikali nzima imeoza. Bunge limeoza. Mahakama imeoza.

Kwa sasa huwezi kumoata waziri ambaye siyo mla rushwa.

Kwa sasa ni kawaida sana kama una kesi, hasa za masuala ya biashara, lazima uandae pesa ya kutosha kwaajili ya malipo ya jaji, la sivyo, hata kama una haki, sahau kutendewa haki.

Wabunge wamekuwa wala rushwa wakubwa wa rushwa zinazotolewa na mawaziri, hasa wabunge wapiga kelele, kuhakikisha wanapiga kelele za kuzima kila hoja inayohusu ufisadi wa mawaziri.
 
Back
Top Bottom