Ujumbe wangu kwa wananchi wote kuhusu watoto ambao hawajafanya vizuri kidato cha nne

Ujumbe wangu kwa wananchi wote kuhusu watoto ambao hawajafanya vizuri kidato cha nne

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Ni kweli wamefeli form four, wamepata four na zero.... kabla ya kuwalaumu tujiulize tulifanya jitihada gani kupunguza tatizo. Tuliwaonya walipokuwa wanakosea? Tuliwashauri? Tuliwasaidia mahitaji yao ya kishule kama Ada na mengineyo? Hatukuwatumikisha kazi zetu bila kujali umri wao na ratiba zao? Tulipambana vipi kuwaepusha na wale mafataki/shugamami? Unavyoishi wanakutazama kama kioo cha mambo mema au unawahamasisha kupotea zaidi? ..... Kila mmoja ana nafasi yake katika ufaulu wa wanafunzi. Jisikie kugusa maisha yao ili kupata Tanzania bora ya baadae.
 
Wengine walipewa vyote lakini ni zero brain.
Wengine walishindwa kukazana na shule kwa kutegemea kazi/vyeo/fedha za wazazi wao.
Miaka hii ukiona mwanao anapata four au zero ujue ni kiazi tu hakuna namna wala utetezi.
 
Wengine walipewa vyote lakini ni zero brain.
Wengine walishindwa kukazana na shule kwa kutegemea kazi/vyeo/fedha za wazazi wao.
Miaka hii ukiona mwanao anapata four au zero ujue ni kiazi tu hakuna namna wala utetezi.
😄😄 sema kweli kukosa D mbili kwenye masomo 7 inafikirisha
 
Vijana wajitahidi kusoma MTU kupata four na zero inafikirisha Sana .

Mtoto akishindwa anabidi an gala u apate D nne asome VETA apate ujuzi wa kumsaidia baadae katika MAISHA yake.
 
Vijana wajitahidi kusoma MTU kupata four na zero inafikirisha Sana .

Mtoto akishindwa anabidi an gala u apate D nne asome VETA apate ujuzi wa kumsaidia baadae katika MAISHA yake.
Izo D4 anaingia chuo Certificate mpaka Degree.
 
Back
Top Bottom