Pinokyo SKN
Member
- Feb 8, 2007
- 33
- 1
Hawa wachagga lazma watakuwa tishio sana, kila pahala wachagga wachagga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wachagga lazma watakuwa tishio sana, kila pahala wachagga wachagga!
Hii haina maana kwamba nakatunusha kuwa TZ hakuna ukabila; upo tena wa kutisha na wa kijinga. Wengi wanaobisha ukabila humu ndani ama hawajatafuta kazi kubwakubwa katika taasisi ya serikali, kwa hiyo hawaja-experience au ni sehemu ya wanaofaidi. Kwa nini serikali imekataa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu malalamiko ya ukabila katika taasisi zake? tena kuna taasisi zilijitolea kufanya hili, lakini serikali ikakataa kutoa ushirikiano, inaficha nini?
Tukiangia EAF, tutaanza wakenya wakenya, wakenya. Kwa mtanzania kama alivyosema MKJJ some where, kila kifo kina mchawi!
mswahili said:Naona una mchumba wa kichaga au vipi?
pia naomba KLH NEWS uongeze wafanyakazi japo wachagga wawili.
ulichosema ni kweli ningekuwa na uwezo ningefanya yale uliyoshauri. kuwa tuwatafutie nchi yao na walio makazini tuwatoe.
hata nikienda muhimbili nikipangiwa daktari mchaga huwa nakataa.
website unafungua lini?mchango wa mawazo usiifanye kama mali ya wachagga iwe ya watanzania wote.
mswahili said:Nadhani wale wayahudi walikuwa milioni 6 jee wachagga wanafika milioni 6? NAOMBA USHAURI WAKO? HAKUNA TATIZO KWANI HAWA WATU SI WATANZANIA ASILI YAO ETHIOPIA.
NIPE JIBU LAKO
nakuambia!! yaani hawa jamaa wakipewa mapanga na kuambiwa "fyeka" sitashangaa watadhania wameambiwa wawafyeke Wachagga!!
Wazee ambao mko interested send me your email. Nitakuwa nawapatia vitu exclusive na tunaweza kuandika mengine ambayo hatuwezi kuyaanika hapa maana wanasema "kwenye kuku wengi...." I'll keep your contacts in strict confidence... mwanakijiji@journalist.com
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=1747&page=3
Sasa Mzee Mwanakijiji hiyo quote ya Mswahili ilitolewa katika mazingira gani? Wote tunafahamu mwamba ngozi huvutia kwake. Je unataka tukuamini kwa kauli zako kama hiyo hapo juu? Kama utaweka details zetu in confidence?
Kwa kweli naanza kuona jinsi uchangiaji unavyokuwa kwa mleta hoja ni nani na siyo hoja ndio yenye nguvu.
kuna mtu humu ndani alishawahi kusema ,mtu kama mswahili angefaa kuwa mmoja wa wanapropaganda kama wale waliopelekea mauaji ya rwanda..AHSANTE MJJ KWA KUMUONYESHA ALIVYO WATU WAPATE KUJUA NA KUMJUA ..na nashauri kuwa wale waliokuwa wakimuunga mswahili kwenye hii mada WAJITOKEZE WASEME KAMA NA KWENYE HILI[likiwemo option ya kutumia mbinu iliyomaliza wayahudi milioni 6]..WANAMUUNGA MKONO..WAPINGE NA KULAANI AU WAKAE KIMYA TUJUE WAKO NAE KWENYE HILI !!!!!
Allah akhbar!!!! Mungu ni mkubwa!!!! amemuumbua mnafiki....kelele zote hizi kumbe ni chuki mbaya kabisa,MODERATOR VIPI ???? UTAKAA KIMYA KWA HILI NA KUSEMA NI TUSI LA KAWAIDA!!!!!!!!!!! WATANZANIA TUNAELEKEA WAPI..WE ARE OBSERVING WITH MUCH INTEREST utamchukulia hatua gani separatist ..a serial HOLOUCAST kama huyu mswahili!!!!!!
mwisho nakumbusha nilipata kumwambia mswahili asiwapigie sana debe baadhi ya watu ...tusije tukaamini kuwa hao pia wanaamini kama yeye!!!!