Hili ni swali: Hivi Dau ndio Dua? Maanake Mswahili anapommwagia sifa Dau, Dua naye anamkingia kifua!
Lakini siamini kuwa Dua ni mtu mwenye msimamo alionao Mswahili. Michango yake ya EAF haionyeshi mwelekeo wa kuwakataa waTanzania wengine kwa sababu tu za dini au ukabila wao.
Ndugu Wanabodi.
Nimesikitiswa sana na tabia ya baadhi ya wanabodi (Mwanakjj na Phillimon mikael) ambao wanatumia kila hila kuona wanaharibu jina langu au kutaka nifukuzwe humu JF. na wana wafuasi wao kama Kalamu na wenzao wanaofuata tu upepo bila kujua ukweli wa mambo.
Nashukuru wako wanabodi wenye akili ambao hawavamii jambo bila kulifanyia utafiti wa kutosha.
Naamini sheria inatoa nafasi kubwa ya kusikiliza suala kwa pande zote mbili kabla ya kuhukumu( Fairness Hearing) Mwaka juzi kulikuwa na kesi ya Michael Jackson kabla ya kesi kupelekwa mahakamani wakatokea mahakimu wenye makengeza kama Phillimon Mikael na kumuhukumu Jackson, kabla ya kumfikisha mahakamani na kumpa nafasi ya kusikika(kujitetea) Matokeo ya kesi ile sote tunayajua.
Tony Blair aliliambia bunge la serikali yake kuwa Saddam Hussein ana silaha za nyuklia zinazoweza kuangamiza dunia ndani ya dakika 45, kwa vile Saddam hakupewa nafasi ya kujitetea na kueleza ukweli wa mambo matokeo yake kila mtu anajua silaha hadi leo hazijapatikana na watu wanakufa tu kisa uzushi wa watu wachache kwa maslahi yao.
Mwanakjj na Phillimon mikael msiwe mnawachukia watu kiasi hiki nakutunga uongo na story na kumchafua mtu ili tu kulinda maslahi yenu. leo Mtammaliza Mswahili kesho mtahamia kwa Dua na Kesho kutwa Mkandara.
Kilichotokea kwangu siku za nyuma Mwanakjj alileta uzushi mkubwa kwangu kuwa nimesema ni muuza madawa ya kulevya na wakatokea kina PM na kunilaani wakati sentensi niliyoaindika ilikuwa wazi na kila mtu anaiona inajieleza, baada ya kushindwa hilo sasa umekuja uzushi huu wa Private Message.
Wanabodi.
Ukweli wa jambo hili ni uzushi tu wa mwanakjj kunitengezea story na
sijui kafanya vipi kwani yeye ni Moderetor wa hii JF.
Wiki iliyopita kulikuwa na uongo aliouleta Mwanakjj kuwa ana source toka juu sana serikali lakini story iliyokuwepo kwenye thread na connection yake haikuwepo kabisa nikajaribu kumbana kwa hoja na ile thread ilifutwa kuna vitu vingi niliuliza juu ya Mwanakjj na redio yake, majibu yake ndio haya niliyoyapata hapa kwa kuzushiwa uongo kiasi hiki.
Narudi kwenye mjadala huu kuwa kuna sehemu Mwanakjj kasema nikipewa mapanga naweza kuwafyeka wachagga. hii ni kauli ya uchonganishi na ilitakiwa kina pm wamuhoji kwa kuchochea uovu, lakini wamekuwa makengeza tu.nakuthibitishia Mwanakjj imani yangu inakata kumuua mtu naomba uelewe unless kuwe na sababu ya kisheria.
lakini tutizameni vizuri hayo Maandishi anayodai Mwanakjj kuwa mimi nimeyasema "Naona una mchumba wa kichagga au vipi?na uongeze wafanya kazi wawili wa kichagga, ulichosema ni kweli ningekuwa na uwezo ningefanya YALE ULIONISHAURI".
hapo juu objective evidence inaonesha ni watu wanaofanyiana masihara na pia kuna information zina miss kwani inaonekana kabisa(mawasiliano ni ya pande mbili hapo yameletwa nusu tu) unless uwe makengekeza kama PM, kuwa Mwanakjjj alisema kitu na kumshauri Mswahili kitu au vitu ambavyo Mswahili anakubaliana na ushauri wa Mwanakjj na inaonesha mengi Mwakjj ammemshauri Mswahili.
kuna sehemu anaonekana Mswahili kuwapendelea wachagga kwa kumshauri aongeze ajira kwa wachagga wawili kupata kazi KLH NEWS redio ya kimataifa inayosikika dunia nzima, inapodaiwa kuwa anawachukia wakati hapa anawapia chapua waendelee kupata ajira hadi kwenye redio ya kimaitafa.
Sehemu ya pili inasema "Nadhani wale wayahudi walikuwa millioni sita jee wachagga wanafika million 6? ikaendelea NAOMBA USHAURI WAKO? ikamalizia NIPE JIBU LAKO. hapo Mwanakjj unaonekana wewe ndio mastermind wa mpango mzima inaonekana Mswahili hawezi kufanya kitu bila USHAURI WAKO na akamalizia kuwa nipe JIBU LAKO.
KAMA itafuatwa sheria wewe(Mwankjj) huwezi kukwepa kuwepo humu kama kuna hujuma kama inavyodaiwa ,na hakuna sentensi inayosema wachagga wauliwe, haijitoshelezi sentensi. ni sawa na mtu kusema HAKUNA Mungu... akahukumiwa bila kujua the whole sentensi ilikusudia nini, kumbe alikuwa akikusudia kusema HAKUNA MUNGU ILA ALLAH S.W.
Wanabodi hapo juu kilichotengezwa ni majungu na hata kama ingekuwa kweli nimesema hizo sentensi hazijitosheleze kuniweka hatiani na kama kuna Hatia the brain behind ni Mwanakjj. na HAPA HUYU Mwankjj hajaleta mawasiliano yao wote wawili ameleta nusu ushahidi tu. cha ajabu prosector na hakimu wote tayari wako bias, Mwanakjj huwezi kuwa daktari ukamfanyia operation baba yako au dada yako sheria za udaktari zinakataza. huwezi kuomba kazi referee akawa mkeo sheria inakataza. wewe unaandikia gazeti la Mbowe na una tenda na wachagga huwezi kuwa hakimu wa kweli na pia ushahidi wako utakuwa bias.
Mwanakjj wewe ni muumini wa kikristo kama kweli una imani ya kweli thibitisha humu lini ulinitumia PM? kwa hili nitajua kama kweli wewe ni mkweli au laa. pia naomba admin afuatilie kama kweli kuna PM nimewahi kutumiwa na MWANAKJJ kuniulizia aweke hadharani habari hii na anadai si chini ya mara moja mimi naomba hiyo mara moja tu. kama ipo unifute humu JF.
HATA ukifuatilia zaidi hii story aliyoweka Mwanakjj ni mchezo wa kuigiza tu. yeye kapost 10.17 PM na baada ya dakika 20 akaja Phillimon Mikael na kuandika ALLAH AKHBAR BADALA YA ALLAH AKBAR! namsamehe ni kutokana na matatizo ya makengeza yake,akaja kunihukumu kuwa mimi ni mnafiki.
PM sheria ina sema huwezi kutoa hukumu ya kweli until usikie other side ya kesi hata kesi ya saddam hussien pamoja na kuwa na hukumu mkononi alipewa muda wa kusikilizwa, hakuhukumiwa ndani ya dakika 20.
Baada ya Masaa matatu akaja tena Mwanakjj kusema kuwa kuwa kimya kwangu ni ukweli wa tuhuma zake kwangu.
ADMIN.
naomba tena kama niliwahi kumtumia PM ya matusi MWANAKJJ AU kASHFA yeyote ile japo neno moja tu likithibitika hilo najitoa hata kusoma JF.Usinivumilie bali unifukuze.
mimi nilimtumia salamu za pole kwa kuumwa kwake lakini hata kusema Asante Mswahili ilimshinda. huyu ndio Mwanakjj-Mtangazaji wa redio na Mwandishi wa gazeti la Mbowe-TD.
Mwisho namuomba Mwanasiasa aje kusoma na kutoa kauli yake jee maneno aliyosema Mwanakjj dhidi yangu yanatosha kunihukumu? nahisi Mwanasiasa yuko so fair haongozwi na jazba.
Es. Suala la Tobi ni zito na kama sheria inafuatwa inatakiwa Mwanakjj atiwe hatiani.
Hivi karibuni kuna kijana alifariki Zambia akiwa na madawa ya kulevya Tumboni wakatokea jamaa kwenye genge lao wakajifanya wasamaria wema kwenda kuichukua maiti ile Zambia, huyo Marehemu alizikwa Tanga na hao walioshiriki walikamatwa na polisi-mkoa wa Mbeya. kama tukifuata kesi hiyo kama ni authority basi mwanakjj inabidi nae abanwe na SOCCA (Taasisi ya kimataifa ya kupambana na madawa ya kulevya) au DCI manumba.
Tobi alikuwa maarufu kwenye hizo shughuli, cha ajabu akatoke Mwanakjj kunadai kumsaidie yule marehemu ili maiti izikwe nyumbani, kuna watu wanatumia njia za kusema tunapeleka kuzika maiti huku ndani ya Tumbo la maiti kuna mali,
cha kujiuliza hao watu wanaouza sumu na wanapesa za kutosha iweje sisi tuwachangie? na hawa watu wanaliangamiza taifa lakini Mwakjj akashupaa asaidiwe tu. yaani yeye anajua kumsakama spika na JK tu, lakini hawa wauza madawa ya kulevya anataka kuwafariji,aliipona watu wameshituka akajifanya alikuwa hajui.
kitu ambacho sipati jibu yeye anadai ana redio yenye nyeti nyingi jee hafanyi vetting ya habari? au akipewa habari na chadema anakurupuka tu?
ilitakiwa kama ni responsible journalist hufanya utafiti wa habari kabla ya kukurupuka tu, jee ingekuwa mkataba wa madini unoulalamikia si ungekuwa umetutosa?
Basil Mramba alipoambiwa asinunue ndege ya rais alikuja juu na kusema hata majani wananchi wale lakini ndege ya rais lazima inunuliwe kisa ana ten percent yake, hakutaka kufanya utafiti wala nini?
ndio maana tunalia na ukabila kuwa unarudisha nyuma maendeleo ya taifa.
na hili la kusema kabila fulani wapo sehemu fulani watizamwe kwa macho mawili halina tatizo ni jambo la kawaida sana na lipo dunia nzima. leo Mramba tungemtazama kwa macho mawili ndege mbovu ya rais isingekuwepo.
Mwanakjj na PM.
ukisafiri katika international airport kama za .UK inapokuja ndege toka Nigeria basi hata immigration officers wa Airport huwekwa maalum. na unapo deal na Mnigeria wa kabila la Ibo unatakiwa umtolee macho mara mbili ukizubaa atakuacha.
Ukienda benki ukisema Mnigeria kuna baadhi za benki hawakuruhusu kufungua account.
hata jela wafungwa wanawekwa sehemu kutokana na uzoefu wao au watukutu wana vyumba vyao. sioni dhambi kuwatolea macho wachagga so long wameonesha kuwa ni wakabila na baadhi yao si waaminifu.
kama kulalamika wangelalamika wanigeria au wa IBO.
Huwezi kuona Hausa analeta ujanja wa kijinga in most cases ni Ibo.
katika hiyo PM ulidai nimekutumia imeonesha wazi hujui kitu kinaitwa data protection yaani redio yako haina data protection.hata email ya mtu huwezi kumtumia bila ya ridhaa yake. na kwenye habari kuna kitu kinaitwa off-record.
kwa mada hii uliyoIleta nazidi kuhoji credibility ya the so called redio KLH news (mwanakjj).
hapa kuna defamation nimefanyiwa lakini kwa vile redio ina operate chini ya uvungu wa kitanda sijui nienda wapi Nikashtaki? kwani sijui kama serikali ya Marekani ina taarifa kuwa katika orodha ya redio zake kuna Redio Mwanakijiji kama ni phd basi ni zile feki za PWU, ni sawa Mary Nagu kujaribu kusema kuna chuo kimenipa PHD feki wakati serikali ya marekani haina hicho chuo,
wataniuliza kabla ya kudeal na redio Mwanakjj ulicheki kama kwenye orodha ya redio zetu tu hiyo redio? na ignorance is not an excuse, naomba wanasheria mje kunishauri wapi nikamshtaki REDIO Mwanakjj kwa defamation? aau breach of confidential,jee TZ au MAREKANI?.
Kuna mtu anajaribu kung'ang'aniza kwamba, kwasababu mtu kaleta hii topiki na washabiki wake...basi huyo mtu na washabiki ni wakabila. Mambo ya kuongea kimafumbo, yanafanywa na wanawake.
Ok, kama hiyo ndiyo logic ya famous quote yake 'Hoja hujibiwa kwa hoja'.....mimi nina swali lenye hoja, ina maana; mtu anaye-mislead watu kuwachangisha hela kwaajili ya mtanzania wetu, akificha facts, wakati kila mtu anajua, na yuko convinced, na watu bado tunajua ukweli....je, kwa bidii yake hii iliyopotosha wengi..........je ni haki kumwiita mtu huyu muuza madawa ya kulevya???
Mtu huwezi kutengeneza facts zikae kivyako tu, when it suits you. Mtu hufanyi research yako. Ndio maana mheshimiwa hana time na interview na mtu ambaye hakusanyi facts vizuri.
On that account. I sign out, personally got mad love for ma Chagga peeps.
Ndugu Wanabodi.
Nimesikitiswa sana na tabia ya baadhi ya wanabodi (Mwanakjj na Phillimon mikael) ambao wanatumia kila hila kuona wanaharibu jina langu au kutaka nifukuzwe humu JF. na wana wafuasi wao kama Kalamu na wenzao wanaofuata tu upepo bila kujua ukweli wa mambo.
Nashukuru wako wanabodi wenye akili ambao hawavamii jambo bila kulifanyia utafiti wa kutosha.
Naamini sheria inatoa nafasi kubwa ya kusikiliza suala kwa pande zote mbili kabla ya kuhukumu( Fairness Hearing) Mwaka juzi kulikuwa na kesi ya Michael Jackson kabla ya kesi kupelekwa mahakamani wakatokea mahakimu wenye makengeza kama Phillimon Mikael na kumuhukumu Jackson, kabla ya kumfikisha mahakamani na kumpa nafasi ya kusikika(kujitetea) Matokeo ya kesi ile sote tunayajua.
Tony Blair aliliambia bunge la serikali yake kuwa Saddam Hussein ana silaha za nyuklia zinazoweza kuangamiza dunia ndani ya dakika 45, kwa vile Saddam hakupewa nafasi ya kujitetea na kueleza ukweli wa mambo matokeo yake kila mtu anajua silaha hadi leo hazijapatikana na watu wanakufa tu kisa uzushi wa watu wachache kwa maslahi yao.
Mwanakjj na Phillimon mikael msiwe mnawachukia watu kiasi hiki nakutunga uongo na story na kumchafua mtu ili tu kulinda maslahi yenu. leo Mtammaliza Mswahili kesho mtahamia kwa Dua na Kesho kutwa Mkandara.
Kilichotokea kwangu siku za nyuma Mwanakjj alileta uzushi mkubwa kwangu kuwa nimesema ni muuza madawa ya kulevya na wakatokea kina PM na kunilaani wakati sentensi niliyoaindika ilikuwa wazi na kila mtu anaiona inajieleza, baada ya kushindwa hilo sasa umekuja uzushi huu wa Private Message.
Wanabodi.
Ukweli wa jambo hili ni uzushi tu wa mwanakjj kunitengezea story na
sijui kafanya vipi kwani yeye ni Moderetor wa hii JF.
Wiki iliyopita kulikuwa na uongo aliouleta Mwanakjj kuwa ana source toka juu sana serikali lakini story iliyokuwepo kwenye thread na connection yake haikuwepo kabisa nikajaribu kumbana kwa hoja na ile thread ilifutwa kuna vitu vingi niliuliza juu ya Mwanakjj na redio yake, majibu yake ndio haya niliyoyapata hapa kwa kuzushiwa uongo kiasi hiki.
Narudi kwenye mjadala huu kuwa kuna sehemu Mwanakjj kasema nikipewa mapanga naweza kuwafyeka wachagga. hii ni kauli ya uchonganishi na ilitakiwa kina pm wamuhoji kwa kuchochea uovu, lakini wamekuwa makengeza tu.nakuthibitishia Mwanakjj imani yangu inakata kumuua mtu naomba uelewe unless kuwe na sababu ya kisheria.
lakini tutizameni vizuri hayo Maandishi anayodai Mwanakjj kuwa mimi nimeyasema "Naona una mchumba wa kichagga au vipi?na uongeze wafanya kazi wawili wa kichagga, ulichosema ni kweli ningekuwa na uwezo ningefanya YALE ULIONISHAURI".
hapo juu objective evidence inaonesha ni watu wanaofanyiana masihara na pia kuna information zina miss kwani inaonekana kabisa(mawasiliano ni ya pande mbili hapo yameletwa nusu tu) unless uwe makengekeza kama PM, kuwa Mwanakjjj alisema kitu na kumshauri Mswahili kitu au vitu ambavyo Mswahili anakubaliana na ushauri wa Mwanakjj na inaonesha mengi Mwakjj ammemshauri Mswahili.
kuna sehemu anaonekana Mswahili kuwapendelea wachagga kwa kumshauri aongeze ajira kwa wachagga wawili kupata kazi KLH NEWS redio ya kimataifa inayosikika dunia nzima, inapodaiwa kuwa anawachukia wakati hapa anawapia chapua waendelee kupata ajira hadi kwenye redio ya kimaitafa.
Sehemu ya pili inasema "Nadhani wale wayahudi walikuwa millioni sita jee wachagga wanafika million 6? ikaendelea NAOMBA USHAURI WAKO? ikamalizia NIPE JIBU LAKO. hapo Mwanakjj unaonekana wewe ndio mastermind wa mpango mzima inaonekana Mswahili hawezi kufanya kitu bila USHAURI WAKO na akamalizia kuwa nipe JIBU LAKO.
KAMA itafuatwa sheria wewe(Mwankjj) huwezi kukwepa kuwepo humu kama kuna hujuma kama inavyodaiwa ,na hakuna sentensi inayosema wachagga wauliwe, haijitoshelezi sentensi. ni sawa na mtu kusema HAKUNA Mungu... akahukumiwa bila kujua the whole sentensi ilikusudia nini, kumbe alikuwa akikusudia kusema HAKUNA MUNGU ILA ALLAH S.W.
Wanabodi hapo juu kilichotengezwa ni majungu na hata kama ingekuwa kweli nimesema hizo sentensi hazijitosheleze kuniweka hatiani na kama kuna Hatia the brain behind ni Mwanakjj. na HAPA HUYU Mwankjj hajaleta mawasiliano yao wote wawili ameleta nusu ushahidi tu. cha ajabu prosector na hakimu wote tayari wako bias, Mwanakjj huwezi kuwa daktari ukamfanyia operation baba yako au dada yako sheria za udaktari zinakataza. huwezi kuomba kazi referee akawa mkeo sheria inakataza. wewe unaandikia gazeti la Mbowe na una tenda na wachagga huwezi kuwa hakimu wa kweli na pia ushahidi wako utakuwa bias.
Mwanakjj wewe ni muumini wa kikristo kama kweli una imani ya kweli thibitisha humu lini ulinitumia PM? kwa hili nitajua kama kweli wewe ni mkweli au laa. pia naomba admin afuatilie kama kweli kuna PM nimewahi kutumiwa na MWANAKJJ kuniulizia aweke hadharani habari hii na anadai si chini ya mara moja mimi naomba hiyo mara moja tu. kama ipo unifute humu JF.
HATA ukifuatilia zaidi hii story aliyoweka Mwanakjj ni mchezo wa kuigiza tu. yeye kapost 10.17 PM na baada ya dakika 20 akaja Phillimon Mikael na kuandika ALLAH AKHBAR BADALA YA ALLAH AKBAR! namsamehe ni kutokana na matatizo ya makengeza yake,akaja kunihukumu kuwa mimi ni mnafiki.
PM sheria ina sema huwezi kutoa hukumu ya kweli until usikie other side ya kesi hata kesi ya saddam hussien pamoja na kuwa na hukumu mkononi alipewa muda wa kusikilizwa, hakuhukumiwa ndani ya dakika 20.
Baada ya Masaa matatu akaja tena Mwanakjj kusema kuwa kuwa kimya kwangu ni ukweli wa tuhuma zake kwangu.
ADMIN.
naomba tena kama niliwahi kumtumia PM ya matusi MWANAKJJ AU kASHFA yeyote ile japo neno moja tu likithibitika hilo najitoa hata kusoma JF.Usinivumilie bali unifukuze.
mimi nilimtumia salamu za pole kwa kuumwa kwake lakini hata kusema Asante Mswahili ilimshinda. huyu ndio Mwanakjj-Mtangazaji wa redio na Mwandishi wa gazeti la Mbowe-TD.
Mwisho namuomba Mwanasiasa aje kusoma na kutoa kauli yake jee maneno aliyosema Mwanakjj dhidi yangu yanatosha kunihukumu? nahisi Mwanasiasa yuko so fair haongozwi na jazba.
mtu mmoja majina kumi ... that i suspect too,ndio maana zikija hoja za msingi kabisa utaona ghafla zinaingia post nyingine nyingi tu za kubadili mwelekeo wa mjadala....hiyo trend ma detective tumeshaiona sana tu....kuna uwezekano kabisa mtu mmoja anapost hoja kutetea NA NEXT anapost kupinga as if those are two different person ,lengo likiwa kutuhamisha kabisa mawazo...naomba mara ukihisi hivyo usihangaike kujibu WEWE ENDELEA KULIMA KWENYE HOJA YA MSINGI!!!!!!!!!!!! i dont mean to aim any specific person ,ila kama kuna mtu ana mchezo huo au anafikiria kuwa nao aache!!!!!
tukate ishuu!
One word tells a million stories. I understand why people are anonymous.
Mwendapole sijakuelewa swali lako?
unaona ajabu kutuma posts mbili zilizofuatana? nimekuwa nikifanya hivyo nyuma tizama vizuri.
na post ya pili ilikuwa ikizungumzia Marehemu Tobi na mipango ya ujanja ujanja wa Mwanakjj kutaka kutuingiza mkenge kwenye mtandao wa madawa ya kulevya.kujitia hajui sheria hailijui hilo hakuna excuse kwenye sheria Mwanakjj akitake kumtupia MAJISU mpira wakati wote mlikuwa kwenye mpango mmoja.
Mwanakjj.
Naomba utoe hizo PM ulizonitumia kuhusiana na suala hili? na kama zipo nitakuwa muongo na sitashiriki humu kabisa. najua huna na muongo mkubwa!
hapa inajulikana kuwa Phillimon Mikael(makengeza) na Mwanakjj mnataka kuhamisha mada baada ya kushindwa kabisa. sio nyinyi mliosema tutafanya interview na TRA then mkaingia mitini? sio wewe Mwanakjj(mnafiki) uliyetuongopea kuwa umeunda Tume ya TRA na hakuna kilichoendelea?
na sasa umekuja na mbinu hii ya PM ili kupoteza muelekeo? sio wewe uliokuja na uongo kuwa una nyeti za serikali ? Mwanakjj sio lazima kila topik uandike au ujifanye unaijua ndio maana kuna thread mimi sichangii kama sina data zakutosha.
inajulikana Mwanakjj uko beneti na Phillimon mikael na ndoa zenu.