Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba mnitafutie idara nyingine yoyote ambayo imechukua hatua za kuzuia ufisadi kama TRA!!
Mkandara wrote: Tume ya Edwin Mtei!. Ok now I know!
wana jamboForums,
Mwanzoni mwa miaka ya 1990 Raisi Mwinyi aliunda Tume ya kuchunguza utendaji kazi wa Idara za Ushuru wa Forodha na Kodi ya Mapato.
Tume hiyo ilikuwa chini ya Uenyekiti wa Edwin Mtei. Nimejaribu google search nimeona mjumbe mwingine alikuwa Juma Volta Mwapachu. I wish ningeipata tume nzima.
Mapendekezo ya Tume yalikuwa kuvunjwa kwa hizo Idara mbili na kuundwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania. Wafanyakazi wote walilazimika kuomba kazi upya.
Kamishna Mkuu wa kwanza Melkzedeck Sanare[rip] aliteuliwa na Raisi Mwinyi. Marehemu Sanare[mwenyeji wa arusha] alitokea ATC akiwa GM. Bodi ya Wakurugenzi ilizinduliwa na Raisi Mkapa na Waziri wa Fedha Prof.Simon Mbilinyi. Mwenyekiti wa Bodi alikuwa Dr.Benno Ndulu.
Bodi ya Wakurugenzi wa ATC inakuwa na wajumbe 10. Mwenyekiti huteuliwa na Raisi, na wako wajumbe wengine 5 wanaoingia kutokana na nyadhifa zao serikalini na TRA. Waziri wa fedha huteua wajumbe wanne. Sasa kabla hatujaanza kuwalaumu wakina Mramba ni vizuri tukalizingatia hilo.
Tanzania tumekuwa na Tume nyingi tu zilizoundwa na Maraisi mbalimbali. Imekuwa kama utamaduni kuzipa Tume hizo majina ya wenyeviti wake. Mifano michache ni, Tume ya Edward Ayila,Tume ya Jaji Nyalali,Tume ya Warioba,Tume ya Jaji Kipenka n.k. I dont think one has to read too much into the name "Tume ya Edwin Mtei."
Mkandara wrote:
KNKU,
Well, kusema kuwa kuundwa kwa TRA imetokana na mapendekezo ya Tume ya Mtei!..
inanipa picha nzima ya mwandishi kama mwandishi mmoja aliyesema - Chama cha Mrema badala ya jina la chama sijui kama umeelewa!
Mkandara!Jokakuu,
Tume ya Mtei ilikuwepo 1989 ktk kuitazama sera ya kodi.. sioni kabisa uhusiano wa kuundwa kwa TRA, unless wewe una maana nyingine unapotumia jina la Mtei.
KNKU,
Tume ya Mtei ilihusu mapendekezo ya sheria za kodi nchini mwaka 1989 hakuna kipengele kinachosema kuvunjwa ama kuundwa kwa TRA. TRA imeundwa mwaka 1995 chini ya kifungu cha sheria (act) namba 11. nadhani unaelewa Act inatokana vipi.
Mkandara wrote:
Jokakuu,
Tume ya Mtei ilikuwepo 1989 ktk kuitazama sera ya kodi.. sioni kabisa uhusiano wa kuundwa kwa TRA, unless wewe una maana nyingine unapotumia jina la Mtei.
This mwanakijiji is FOOLiNG YOU ALL!!!!!!why can't you STOP THIS TOPIC??!!
YEYE NDIYE MWENYE DEFINITION SAHIHI YA UKABILA,
SASA MWANAKIJIJI LENGO LAKO HASA NI NINI JUU YA HII TOPIC?
MAANA KILA IKIWEKWA SAWA UNAGEUZA WATU VICHWA CHINI MIGUU JUU!!!!!!!!!!!