Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

MKJJ, you have given me a conditional apology. If you can prove that I am a mkabila, then I will prove you knew what you were doing.
While you are at it, also explain why you did not put much effort in regards to the other drug dealer? I thought you were being humanitarian?
Also, if we can get the thread that was on Tanzatl, it will answer a lot of the questions. But it dont exist because of the re-designing of the website.

LAKINI, inaonekana wewe husomi vizuri ninachosema. Kitu cha kwanza nilichouliza mpaka tumefika hapa ni;



NOW, PLEASE READ THIS CAREFULLY...................
1. Just because I support there is a problem at TRA, does not make me a mkabila. On that note, just because you helped in raising funds for a drug dealer, does that make you a drug dealer?
2. If you make it a problem, I will make it a problem. It is a problem, because you have been associating everyone on mswahili's side as a mkabila, and you have been dropping dangerous words like...kufyeka fyeee. Now that has been a painfull experience. And I asked you before to re-phrase your words and apologise. The words coming out from you, yana uchochezi zaidi. Some people cant step back and read through the lines, and for those people, when they read your sentences without analysing, chuki inajengeka. Ndio maana, sijam-judge Mswahili. Maneno kama yamesemwa ni wrong. Lakini siamini AUTHENTICITY yake!!
Kuhusu interview yako, I listened that time, and the corrections, I was so put off. I got the impression all you care about is getting the 'SCOOP' ASAP kama CNN.......not caring about the source and authenticity of your SCOOP. Other than that, you should be a NEUTRAL interviewer, and with time you will do very well.
Issue ya marehemu, sio ishu kwangu, kwani haya mambo yametokea muda mrefu. Ingekuwa ishu, ningekwambia wakati ule. Lakini kwa vile umeeanza uchochezi, basi nami nitachambua hiyo ishu, kwani there are more questions that answers.
Kuna topic nyingi tu hapa, I may be in the know. Lakini siko interested kuchangia, kwani najua limits zangu. Just because I keep quiet, doesnt mean I dont know. Kwavile sifichi ID yangu, kwanini nijiweke hatarini au mtu mwingine? Therefore I keep quiet.


Defunc.. hivi mimi nilikuwa najua mama Rupia alikuwa anafanya kazi gani nilipowaomba watu kuchangia, au wale vijana wa Detroit, au msaada wa kutafuta familia ya Semgaya. What you are asking of me is almost impossible. Be a realist not an idealist.. what could be done doesnt mean that is what thats done! Ideally, I would have liked to know all the facts before hand, realistically sometimes we miss the mark! Siyo mimi tu hata wale wenye vyombo vikubwa kama CBS, CNN, Fox n.k

Unachosema ni kuwa nikisikia Mtanzania kapata na janga nisiwaambie watu tafute wazazi wake ni kina nani, alikuwa wapi, kwanini alikuwa kule, je alikuwa kule kihalali, shughuli zake je? n.k Is that realistically possible? be real! Of course hujamjudge mswahili, I have noticed that!
 
Mwanakijiji.

WEWE umedai kuwa ulinitumia PM. NDIYO nakuambika kama unajua unasema kweli na ni mkristu mwenye kuamini imani yako toa hizo PM kama ulivyoleta hizo zingine hapo juu otherwise unajua unasema uongo kuwafurahisha jamaa zako.

Ndoa inayozungumzia ni ya wewe kuwa na Gazeti la mchagga Mbowe, kuwa moderator kwenye forum inayomilikiwa na mchagga. ni ya wewe kushirikiana na mchagga Phillimon mikael kupambana na mimi, ni ndoa yako na kina Kittlya huko TRA kuwa utapambana na mswahili. sizungumzii kuoa hayo ni mambo yako person hayanihusu au hujui kiswahili vizuri nikufundishe?

Nakumbuka mwanzoni ulikuwa unazungumza kwenye redio yako huku ukicheka sana KILA sekunde. kwa vile hakuna editorial board huko KLH ikabidi sisi kina Mswahili tuchukue jukumu la kukuelekeza nini ufanye. hatukuona hao wacha... wako uliofunga nao ndoa sasa.

mie sitishwi na uongo wako ila nimezidi kukushusha thamani. na kila atayekuwa akihojiwa na wewe inabidi awe makini kwani unaweza kumzulia jambo baadaye. na KLH NEWS HAINA hata sehemu ya kulalamika(complain procedures).

nauliza vipi ile NGO YA KILIMANJARO uliyosema tuchangie watoto yatima? tunaomba taarifa za matumizi ya michango yetu au ndiyo mayatima imekuwa miradi ya wajanja siku hizi?
 
Phillimon mikael.

wewe ndio umeshindwa kuthibitisha madai yako.ulisema unaowafanyakazi 1000 wa TRA hadi leo hujawataja. na hujawahi hata siku moja kutaja maRRO NA Officers incharge wa TRA.

MIMI nilikubali hata kuhojiwa na redio ya uvunguni isiyo na viwango. mara tukaambiwa kuwa redio imefungwa kwa vile mtangazaji/mwenyeredio/mtayarishaji/mzalishaji/ripota/editor/ anaumwa na redio haitakuwa hewani hadi apone.

alipopona akaja na mada ya hospital aliyolazwa yeye na uzuri wake. hivyo interview ya TRA ikaahirishwa. toka hapo tunaomba interview jibu hakuna. jee nani ameshindwa kuthibitisha madai yake? jibu ni wewe na anko tomu wako.

SASA najua kwanini kina phillimon mikael waliwaka sana baada ya kuchaguliwa DPP mpya.walitaka pale aende mama Munisi au Lyimo ili mambo yao yasikwame.
naamini anayeogopa polisi huwa ni mhalifu.kwanini mkose usingize kwa kuwa d.pp si mchgga?
 
JF mnachekesha kweli,

yaani mjadala umetoka kwenye ukabila na kwenda kwenye Madawa ya Kulevya na sawa umekuwa personal.

waTanzania ndivyo Tulivyo
 
Unajua hata kwenye magazeti, kuna jambo likijadiliwa wee hufika mahala mhariri huamua kufunga mjadala. Sasa mimi naona ni wakati mwafaka sasa huu mjadala ufungwe. Vinginevyo hii forum itaonekana kama vile haina moderators wala administrator. Ni ushauri tu.
 
JF mnachekesha kweli,

yaani mjadala umetoka kwenye ukabila na kwenda kwenye Madawa ya Kulevya na sawa umekuwa personal.

waTanzania ndivyo Tulivyo
Hasaaaaa, ndivyo tulivyo tena popote tulipo! Wewe angalia hata mwenendo wa topic hapa, ile mada inayojadili watu na matukio huvutia wachangiaji wengi zaidi na hukaa muda mrefu kuliko zile mada zenye kujadili mambo na sera. Angalia mada ya mswaada wa sheria, katiba, zilivyododa. Mimi naamini hii mada imejadiliwa vya kutosha, imefika mahala mjadala ufungwe.

Hapa tungekuwa tunaonana ana kwa ana kuna watu wangeshapigana ngumi vibaya sana!
 
mwanasiasa, nakubaliana na nyinyi. Mnaona wachagga ni wakabila endeleeni. Na ambao tunaona kuna kila dalili ya watu to demonize chaggas tutaendelea kuona hivyo, na wale ambao hawana uamuzi wataendelea kuona hivyo. Binafsi hii mada naacha kuichangia hapa. Anayetaka kunijadili mimi, KLH News au mambo ninayofanya anzisha mada nyingine! I'm out!
 
DATA tunazo.
wanaotaka kuondoka waondoke. kama unataka kuondoka Mwanakjj huna haja ya kumwambia mtu humu kwani ulipokuja ulisema? si ulizuka tu.
cc tutaendelea kuumulika ukabila kila kona ya nchi. tunazidi kukusanya benki kuu. ujenzi na Veta.

wanaosema tujadili sera hawajui kuwa hizi ni sera? kama kuna ukabila sera zitatekelezwa vipi? huoni kila kitu Mramba kapeleka kwao? barabara za rombo bajeti billioni 17 wakati barabara ya kilwa -lindi billion 1.
tumeuziwa ndege ya rais mbovu na tulipouliza tukajibiwa tule hata majani ila ndege lazima inunuliwe.
hujiulizi TRA wachagga wa Rombo ndio wenye meno makali ya kula nyama.
 
Yep,
Turudi kwenye topic.
Tatizo imeonekana liko TRA.
Kama watu wanaona kuna ukabila, doesnt make them wakabila.
Kama wewe unachagua muuza madawa gani umpigie debe, basi na wewe unajishughulisha.

In the meantime, kuna muuza unga mwingine hakufanyiwa mchango na kazikwa Brazil, sijui ni manispaa? I am a Realist. I know every Tanzanian would idealy love to be buried in their home country. Realistically, may not be possible. But if there are funds being collected, why is one better than the other?

Wewe uliambiwa kwamba hawa wauza unga, wakati bado wako Brazil. Haukukatazwa kuendelea kuchangisha. Ulichotakiwa kufanya, ni kueleza ukweli, na watu waendelee kuchanga hela.

Sija-judge Mswahili, kwasababu siamini data zako. Na nimeona hii ime-build kwa muda sasa. Ulikuwa very inclusive in ur threads. Umefika steji unaweka maneno katika mawazo ya Mswahili.......'Mapanga'. Nimesema kama Mswahili kasema hayo maneno, he is wrong. Lakini ambaye haoni vineno vyako unavyodondosha kuhusu Mswahili na 'washabiki wake', basi sielewi. Kwasababu you words are as ruthless as the apparent 'Mswahili's PMs'.

Turudi kwenye topic at hand. Kuna tatizo TRA. Nina girlfriend wa kichagga for 5 years, kama ninachuki na wachagga, then I am the biggest hypocrite alive.
 
Defun.
Tulimwambia kuwa hao wauza unga yeye akaendelea tu na kutupuuza. kutuita wazushi kama tunavyomwambia ya TRA anavyobisha ndio na wauza madawa alibisha hivyo hivyo. hadi alipoona Manumba anafuatilia na interpol akajitoa kinamna.
 
Mswahili;

Ni wapi mlimwambia au kupitia mawasiliano gani.

Unajua mara nyingi sisi watanzania tuna katabia ka kuseama "tuliwaambia, au tulisema..." lakini tukiulizwa tuliwaambia au tulisema nini na ni lini au wapi tunakuwa na kimya cha ghafla.

Nadhani wewe jaribu kupitia michango ya swala hili hapa JF halafu unipe majibu ya maswali yangu hapo juu.

http://jamboforums.com/showthread.php?t=853&highlight=Brazil
 
Defun, nakupata. Nadhani what you said from the beginning was clear. Na MKJJ alivyo smart amekupata...Iam sure kwa hili...UMETAKA KUJUA KWA NINI MMOJA ACHANGIWE MWINGINE ASICHANGIWE. PERIOD. (Nisahihishe kama nimekosea). Nadhani MKJJ he is in position to know. Again I dont question nia ya kitendo cha mwanakijiji in that noble cause, lakini nadhani kuweka rekodi sawa ijulikane kwamba hakukuwa na kitu sinister..let him explain as to why aliappeal mtu mmoja achangiwe mwingine hakuchangiwa wakati 1. wote ni watanzania 2. Mwanakijiji alijua kwamba wote wamepatwa na mauti 3. Wote walikuwa ugenini 4. Wote walikuwa wanahitaji msaada.

Kuhusu Mswahili, well nisingependa kujudge mtu kama ni mkabila au namna gani, kwa sababu Iam not one, but what I see Mswahili has a point na PM and his camp alike kwa sababu..swala la ukabila as I have always said...lina lalamikiwa sana na sio kwenye hii forum tuu, hata huko uswahilini watu wana grievances na issue kubwa ni TRA!!! why????????TRA???? WHY???? (CAVEAT: SIJAWAHI KUAPPLY KAZI TRA)...kumbukeni...katika historia ya binadamu...mitafuruku na majanga makubwa yamesababishwa na discontentment katika public domain (mifano ni mingi na wengi tunaijua). Haiwezekani watu wengi walalamike just kwa sababu wanachukia wachagga! I dont agree with that kabisa.

Iam bet hata mswahili alikuwa anajaribu kuexpress his frustrations kuhusu hii hali ndoo maana as he says alikuwa tayari kuhojiwa, hii inaonyesha kwamba he has evidence to justify his belief (kwa sababu interview inasikika all over). Lets dig deep tujue tatizo liko wapi..was it by accident au by plan kwamba hii hali ilitokea?? we need to know....na sio kukimbilia kudemonize personal intergrity za watu.Again waungwana lets embrace civility in our discussion. Lets try to attack the idea not persons.
 
Mswahili;

Ni wapi mlimwambia au kupitia mawasiliano gani.

Unajua mara nyingi sisi watanzania tuna katabia ka kuseama "tuliwaambia, au tulisema..." lakini tukiulizwa tuliwaambia au tulisema nini na ni lini au wapi tunakuwa na kimya cha ghafla.

Nadhani wewe jaribu kupitia michango ya swala hili hapa JF halafu unipe majibu ya maswali yangu hapo juu.

http://jamboforums.com/showthread.php?t=853&highlight=Brazil

Aljazeera, jamboforum sio source ya info pekeyake. Hata kabla sijajiunga jamboforum niliisoma hiyo thread. Lakini I can put my life online and say, mimi nilishuhudia MKJJ akijibishana na watu wawili watatu katika forum ya Tanzatl. Walimwambia usituchezee akili, watu tunajua wauza madawa. Tena mmoja wao akadiriki kusema na kuhoji. Hivi wauza madawa si wana pesa? Je kama huu mchango ukitumika kujaza madawa ndani ya tumbo na kumsafirishia mtu mzigo? MKJJ akasema, atapataje habari wakati hajuani na Brazil? Akaambiwa we pigia mtu yeyote Brazil, utapata info. Akasema hawezi kupiga simu randomly, anahitaji number. The arguments going there were very detailed. From my experience, wauza unga wa kibongo wanajuana (especially wa huku ulaya), na hawafichi nani anafanya biashara hiyo.

Mimi nilijua ni mambo ya unga that same day. Ila I kept my mouth shut and just watched everything unfold. So when I tell you, MKJJ knew....ni kweli alijua. Kama aliamua kuchagua source ya kuamini. Thats up to him.
 
Mikuki, mimi sina haja hata ya kujua kuhusu hao wauza unga. Tuwaache wapumzike.

MKJJ amekuwa akijaribu kutu-demonise sababu tu tunasema kuna tatizo TRA. MKJJ ana mtindo wa kufuta au ku-edit threads zake. Kama una muda pitia thread zake humu and read carefully the indirect hatred brewed gently. And I felt I had to halt that, for the good of us and him who runs a radio that we appreciate.

He is intelligent, but we are also intelligent!!
 
Al-jazeera.

Mwanakjj aliambiwa tena kwenye podomatic yake www.mwanakijiji.podomatic.com na nilisoma ujumbe wa Kingwendu aliyekuja juu kuwa hawa watu ni wauza madawa ya kulevya iweje tuwasaidie huku wanaua binadamu wenzetu.

Nadhani hata darhotwire nako kulikuwa na mjadala. fuatilia na tzuk.com.na walitajwa maeneo yote yanayofanya biashara hiyo, kundi la U.K la wake kwa waume liliwekwa wazi. Mwanakjj akazidi kukaidi kuwa lazima tu. Tobi au jibaba asaidiwe.

Mwanakijiji alikuwa beneti na Tobi alikuwa moderator mwenzake ndio maana akawa busy kutulazimisha tumsaidie Tobi tu. na account akatupa.na alikuwa akilazimisha tusiushirikishe ubalozi hakuna msaada huko. alijuwa ubalozi ungehoji mambo mengi na kushtuka kuwa jamaaa wako kwenye genge la mafia wauza unga.
 
Mwanakijiji.
Hizi PM ulizoleta hapa zinaonekana wewe uko pamoja na Mswahili.
Labda mmeshindana kwenye biashara zetu na umeamua kutumia PM kumuumbua mwenzio. kisheria huwezi kukwepa kuwa hamkuwa pamoja ushahidi wa kimazingira unaonekana kuwa wewe ni mhusika mkuu.
Kutoa PM kwenye public nalo ni kosa ungetumia njia nyingine.
Endeleeni hayo ni yangu tu.
 
Samahani kwa kuingilia mjadala, isije mjadala ukahamia Mzumbe university kutizama ukabila ambao naamini haupo.
 
DeFunKadelic wrote

"...................MKJJ amekuwa akijaribu kutu-demonise sababu tu tunasema kuna tatizo TRA. MKJJ ana mtindo wa kufuta au ku-edit threads zake. Kama una muda pitia thread zake humu and read carefully the indirect hatred brewed gently. And I felt I had to halt that, for the good of us and him who runs a radio that we appreciate.

He is intelligent, but we are also intelligent!!..........."

you are quite right DeFunKadelic!! we may be crazy but not stupid!
 
Binafsi ninaona one thing kuwa ni clear, ni kwamba kulikuwa na uhusiano wa karibu kati ya Mzee MMJ na Mswahili, wa mpaka kutumiana pm, na ninakumbuka kuwa kuna wakati mpaka mliombana msamaha kwa kutumia pm zenu, na Mzee MMJ ulisema hapa hadharani kuwa Mswahili amekutumia pm na let the bygones be....,

The rest naona tunachanganywa hapa!, ila we are not stupid!
 
Back
Top Bottom